ANT - NYONDENYONDE
Senior Member
- Jul 29, 2024
- 154
- 173
Mimi siachi hata mia mbovu Uzalendo ni Kwa familia yangu tuHata kama bado ila siwezi kufanya Usaliti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siachi hata mia mbovu Uzalendo ni Kwa familia yangu tuHata kama bado ila siwezi kufanya Usaliti
Tunajua amekulipaKama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
HakukataaTofautisha kati ya Uzalendo na Ushamba,Kafulila ni mshamba unakataaje 3B halafu home majanga😀
😡😡amenilipa yeye kukataa rushwa?Tunajua amekulipa
Sijazungumzia mambo ya kurudisha pesa kwenye mradi jitulize soma vizuriHakukataa
Kurudisha pesa iliyobaki kwenye miradi now wajibu
ILA jamaa sijui analipa kiasi gani kurushwa humu jf
Inanikumbusha MUSAFIRI DIOUF NA WAPII PAPAA MUNDENDE, 🎼🎺🎹 au ndanda Kosovo kichaa na pedejshee ndama
Ngoja tuone CCM kama kweli haitambui vijana Wazalendo kama huyu wakukataa 3b mchana kweupeUtumbili ni ujinga, unahangaika sana mitandaoni kujipost post, CCM sio wajinga hivyo hadi ujitangaze tangaze kila mitandao unajitangaza, huo ni ujinga mkubwa,, huna la maana lolote, CCM ni Chama chenye watu wenye akili nyingi mno, hata ujipost mara milioni, kama hufai hufai tu
Walioninuliwa huwajui?Kafulila huyuhuyu aliyenunuliwa na Magu au mwingine?
Ngoja tuone CCM kama kweli haitambui vijana Wazalendo kama huyu wakukataa 3b mchana kweupe
Ngoja tuone kama CCM haipendi watu waadilifu namna hii,Acha ujinga wako, pumbaf, CCM impeleke wapi huyo?
Idadi ya Chawa wa Kafulila JF inazidi ya SamiaKama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
CCM kama itamlea vizuri huyu bwana anaweza kuwa kama Nyerere wa piliKama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Wewe pia ni chawa wake?Idadi ya Chawa wa Kafulila JF inazidi ya Samia
3b😭😭😭😭Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Nchi inawatu wa hovyo sana hiiTofautisha kati ya Uzalendo na Ushamba,Kafulila ni mshamba unakataaje 3B halafu home majanga😀
Wewe pia wa ovyo nakataaje pesa na kwenye Siasa nimeenda kutafuta hela?Nchi inawatu wa hovyo sana hii
Kwani mfumo ndio hautaki watu Wazalendo?Ngoma ikipigwa sana mwishowe....
Angalieni msije mkaishia kumharibia; maana anaweza kuishia kuonekana kama threat kwa wenye mfumo!