Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
Kafulila una akaunti nyingi sana JF nashauri uzipunguze tumechoka
 
Huyu bwana atatufaa maana ni mzalendo kweli kweli ...alisika kafulila akimsifia kafulila🤣🤣🤣🤣only in Tanzania vituko km hivi vinapatikana.
 
Naona chapuo la mgombea mwenza linapigwa pole pole kuelekea 2025 au mgomnea kamili!!?

Mnatuandaa Kwa lolote!!?

Yote kheri sisi tutamuunga mkono!
 
Kafulila una akaunti nyingi sana JF nashauri uzipunguze tumechoka
huwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hii

Kwani sisi tunauhakika gani kama wewe huna akaunti nyingine kwaaji ya kuchafua nyuzi za watu humu kama unavyofanya hapa?

My friend Don't be stupid jadili hoja achana na swaga za ID unaonekana zwazwa la poli.

Najua hata Mimi hapa baada ya comment hii utasema ni Kafulila

Hivi mtu kama Kafulila aliyesimamisha nchi miaka ya 2014 na 2015 kweli akose watu wa kumjadili na kumwandika mpaka ajiandike mwenyewe?

Halafu anajiandika ili kupata nini?

Sasa mtu alikataa TZS3b pesa ambae hapa hapa tulipo huyu moderator wa Jf akipewa haziachi.

Kwa aliyoyafanya Kafulila unadhani watu wanahitaji pesa ili kumjadili na kumwandika?

Badala ya kupiga kelele wewe iga Uzalendo wa Kafulila na wewe utajadiliwa for free.
 
Huyu bwana atatufaa maana ni mzalendo kweli kweli ...alisika kafulila akimsifia kafulila🤣🤣🤣🤣only in Tanzania vituko km hivi vinapatikana.
Kwa record hizi huyu jamaa atawatesa sana.

Ogopa mtu mwenye record za kukataa rushwa na ufisadi waziwazi.

Nawaonea huruma sana Kafulila anaweza kuwa mtu bora sana kama Chama tutakiona kilichopo ndani yake.
 
huwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hii

Kwani sisi tunauhakika gani kama wewe huna akaunti nyingine kwaaji ya kuchafua nyuzi za watu humu kama unavyofanya hapa?

My friend Don't be stupid jadili hoja achana na swaga za ID unaonekana zwazwa la poli.

Najua hata Mimi hapa baada ya comment hii utasema ni Kafulila

Hivi mtu kama Kafulila aliyesimamisha nchi miaka ya 2014 na 2015 kweli akose watu wa kumjadili na kumwandika mpaka ajiandike mwenyewe?

Halafu anajiandika ili kupata nini?

Sasa mtu alikataa TZS3b pesa ambae hapa hapa tulipo huyu moderator wa Jf akipewa haziachi.

Kwa aliyoyafanya Kafulila unadhani watu wanahitaji pesa ili kumjadili na kumwandika?

Badala ya kupiga kelele wewe iga Uzalendo wa Kafulila na wewe utajadiliwa for free.
Wewe ni Kafulila mtupu
 
huwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hii

Kwani sisi tunauhakika gani kama wewe huna akaunti nyingine kwaaji ya kuchafua nyuzi za watu humu kama unavyofanya hapa?

My friend Don't be stupid jadili hoja achana na swaga za ID unaonekana zwazwa la poli.

Najua hata Mimi hapa baada ya comment hii utasema ni Kafulila

Hivi mtu kama Kafulila aliyesimamisha nchi miaka ya 2014 na 2015 kweli akose watu wa kumjadili na kumwandika mpaka ajiandike mwenyewe?

Halafu anajiandika ili kupata nini?

Sasa mtu alikataa TZS3b pesa ambae hapa hapa tulipo huyu moderator wa Jf akipewa haziachi.

Kwa aliyoyafanya Kafulila unadhani watu wanahitaji pesa ili kumjadili na kumwandika?

Badala ya kupiga kelele wewe iga Uzalendo wa Kafulila na wewe utajadiliwa for free.
Tanzania mtu pekee anayeweza kushangiliwa ni mwizi 🤣🤣
 
Kafulila Wala hana nia yoyote ni Watu tu wameibuka na kuanza kumtamani awe kiongozi wao
Unafikiri ni bahati mbaya!!?

Zipo tetesi Kuna jambo kafanya huko Kwa wenye ofisi zao ambalo limemfanya aonekane mzalendo sana ,wanaanza kutuandaa kisaikolojia kwamba ni good pick kimedani ndani ya chama!!

Sio kwa bahati mbaya Hilo!!!

Ngoja tuone wanavyochanga karata ,tutajua TU!
 
Back
Top Bottom