Raffa
Senior Member
- May 28, 2024
- 182
- 120
Ni sawa lakini kuwatambua kama hivi ni jambo la muhimu sanaCCM ni Chama chenye wazalendo wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa lakini kuwatambua kama hivi ni jambo la muhimu sanaCCM ni Chama chenye wazalendo wengine
Siwezi kuvumilia upuuzi mnaoposti nyie familia YA TUMBILI 🤔😅Unalipwa na nani kutaka kuzuia wazalendo wasisike?
Kafulila una akaunti nyingi sana JF nashauri uzipunguze tumechokaKama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.
Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.
Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.
huwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hiiKafulila una akaunti nyingi sana JF nashauri uzipunguze tumechoka
Kwa record hizi huyu jamaa atawatesa sana.Huyu bwana atatufaa maana ni mzalendo kweli kweli ...alisika kafulila akimsifia kafulila🤣🤣🤣🤣only in Tanzania vituko km hivi vinapatikana.
Kafulila Wala hana nia yoyote ni Watu tu wameibuka na kuanza kumtamani awe kiongozi waoNaona chapuo la mgombea mwenza linapigwa pole pole kuelekea 2025 au mgomnea kamili!!?
Mnatuandaa Kwa lolote!!?
Yote kheri sisi tutamuunga mkono!
Ona huyu,,🤣🤣🤣Siwezi kuvumilia upuuzi mnaoposti nyie familia YA TUMBILI 🤔😅
Mnalipwa ngapi ??🤣🤣Ona huyu,,🤣🤣🤣
Uzalendo ni zaidi ya pesaMnalipwa ngapi ??🤣🤣
Wewe ni Kafulila mtupuhuwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hii
Kwani sisi tunauhakika gani kama wewe huna akaunti nyingine kwaaji ya kuchafua nyuzi za watu humu kama unavyofanya hapa?
My friend Don't be stupid jadili hoja achana na swaga za ID unaonekana zwazwa la poli.
Najua hata Mimi hapa baada ya comment hii utasema ni Kafulila
Hivi mtu kama Kafulila aliyesimamisha nchi miaka ya 2014 na 2015 kweli akose watu wa kumjadili na kumwandika mpaka ajiandike mwenyewe?
Halafu anajiandika ili kupata nini?
Sasa mtu alikataa TZS3b pesa ambae hapa hapa tulipo huyu moderator wa Jf akipewa haziachi.
Kwa aliyoyafanya Kafulila unadhani watu wanahitaji pesa ili kumjadili na kumwandika?
Badala ya kupiga kelele wewe iga Uzalendo wa Kafulila na wewe utajadiliwa for free.
akaunti nyingine ya Daudi KafulilaHuyu bwana atatufaa maana ni mzalendo kweli kweli ...alisika kafulila akimsifia kafulila🤣🤣🤣🤣only in Tanzania vituko km hivi vinapatikana.
duuuhWewe ni Kafulila mtupu
Daah!! soma basi hata alichoandika?akaunti nyingine ya Daudi Kafulila
Tanzania mtu pekee anayeweza kushangiliwa ni mwizi 🤣🤣huwa nakasirishwa sana na comment za kidenzi namna hii
Kwani sisi tunauhakika gani kama wewe huna akaunti nyingine kwaaji ya kuchafua nyuzi za watu humu kama unavyofanya hapa?
My friend Don't be stupid jadili hoja achana na swaga za ID unaonekana zwazwa la poli.
Najua hata Mimi hapa baada ya comment hii utasema ni Kafulila
Hivi mtu kama Kafulila aliyesimamisha nchi miaka ya 2014 na 2015 kweli akose watu wa kumjadili na kumwandika mpaka ajiandike mwenyewe?
Halafu anajiandika ili kupata nini?
Sasa mtu alikataa TZS3b pesa ambae hapa hapa tulipo huyu moderator wa Jf akipewa haziachi.
Kwa aliyoyafanya Kafulila unadhani watu wanahitaji pesa ili kumjadili na kumwandika?
Badala ya kupiga kelele wewe iga Uzalendo wa Kafulila na wewe utajadiliwa for free.
Sio kweli Tanzania ni nchi ya kizalendo sana tuache kujidharauTanzania mtu pekee anayeweza kushangiliwa ni mwizi 🤣🤣
Unafikiri ni bahati mbaya!!?Kafulila Wala hana nia yoyote ni Watu tu wameibuka na kuanza kumtamani awe kiongozi wao
Unajua maana uzalendo, au Bora istilahi uzalendo imekujiankichwani???🤔🤔🤔Uzalendo ni zaidi ya pesa
Mbona unahangaika sana wewe ni nani?Unajua maana uzalendo, au Bora istilahi uzalendo imekujiankichwani???🤔🤔🤔
Ujinga ni mzigo kwakweli 🤔🤔😅😅