Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Kwani ni Raia sasa?
 
Nyie watu acheni kutuchanga,no wonder Kuna siku mtasema uzalendo alionao Nawanda unatosha kumpa nchi yetu ili awe Rais,nilienda kwa ofisi ya kafulila kumweleza shida zangu alinitimua kama mbwa,Bado Ile kashifa ya kuzuia michomoko isibebe abilia kule simiyu inamtafuna maana alizuia michomoko ili kuruhusu yeye kuingiza Hiace zake barabarani apige pesa ndefu.

Kwangu Mimi Kafulila ni muhuni tu
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Kafulila una hangaika sana aisee, kila siku unatoa nyuzi zaaidi ya 10 kuna shida gani?
 
Nyie watu acheni kutuchanga,no wonder Kuna siku mtasema uzalendo alionao Nawanda unatosha kumpa nchi yetu ili awe Rais,nilienda kwa ofisi ya kafulila kumweleza shida zangu alinitimua kama mbwa,Bado Ile kashifa ya kuzuia michomoko isibebe abilia kule simiyu inamtafuna maana alizuia michomoko ili kuruhusu yeye kuingiza Hiace zake barabarani apige pesa ndefu.

Kwangu Mimi Kafulila ni muhuni tu
Ile michomoko ili zuiliwa nchi kwani huko kote alikuwa ni Kafulila?
 
Kafulila una hangaika sana aisee, kila siku unatoa nyuzi zaaidi ya 10 kuna shida gani?
Kwani wewe hizo nyuzi 10 zinakuingizia hasara yoyote?
Tanzania mnapenda sana nyuzi za umbea na udaku vitu serious kama hivi inakuwa nongwa.

Hivi kweli mtu aliyekataa 3bn za rushwa mnataka tusimjadili kweli?
Tunahitaji akina Kafulila wangapi kuipeleka hii nchi viwango vya juu?

Acha wazalendo wajadiliwe ndio Afya kwa Taifa
 
Kwani wewe hizo nyuzi 10 zinakuingizia hasara yoyote?
Tanzania mnapenda sana nyuzi za umbea na udaku vitu serious kama hivi inakuwa nongwa.

Hivi kweli mtu aliyekataa 3bn za rushwa mnataka tusimjadili kweli?
Tunahitaji akina Kafulila wangapi kuipeleka hii nchi viwango vya juu?

Acha wazalendo wajadiliwe ndio Afya kwa Taifa
Ukifanya uzalendo hakuna haja ya kuhangaika kujipigia chapuo ili upate madaraka kwa njia za huruma au hisani. Hakuna uzalendo wa KULAZIMISHA kama huu wako unaojaribu kutuaminisha hapa kwa kutumia nguvu nyingi.

Kama vipi chukua fomu kwenye chama chako upimane nguvu na wagombea wenzako wa chama chako ili ukadhihirishe uzalendo wako kwa vitendo, sawa sawa?
 
Ukifanya uzalendo hakuna haja ya kuhangaika kujipigia chapuo ili upate madaraka kwa njia za huruma au hisani. Hakuna uzalendo wa KULAZIMISHA kama huu wako unaojaribu kutuaminisha hapa kwa kutumia nguvu nyingi.

Kama vipi chukua fomu kwenye chama chako upimane nguvu na wagombea wenzako wa chama chako ili ukadhihirishe uzalendo wako kwa vitendo, sawa sawa?
Hata hivyo Mimi sio Kafulila ila napendezwa sana na wazalendo wote bila kujali wanatoka chama gani
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Mrundi huyu
 
Back
Top Bottom