Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ile yakuchanganya na maji?Ni taamu, naipenda sana.
Ndio dear.Hii ni ile yakuchanganya na maji?
SawaNdio dear.
PM hufungui tunakinywaje wote sasa au ndio hapa story tu kula kwenu..... kizur tukinywe wote....
Nilikuwa nawaza hili neno vimto nimelisikia wapi siku za karibuni..baada ya kugoogle nikagundua kumbe azam group na wao wana soda zinaitwa vimto sasa sijajua ladha ni zilezile au ndio copycatting kama kawaidaView attachment 2284531
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.
Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.
Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.
Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.
Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer 🍺 siipi nafasi.
na sisi tunaopanga kuikosa tutajipoza kwa blackcurrantberries na zabibu
Ss kumbe unatangaza kinywaji kinachopatikana Dubai?[emoji849],unaamini wote watakaobahatika kuona huu uzi wana uwezo wa kununua hicho kinywaji Dubai?Dubai maduka yote ya vyakula yaani supermarket.
Miaka ya 80 nilipokuwa huko ndio kilikuwa kinywaji changu bora kabisa na pia inakuja kwenye kopo pia ya 330ml ni tamu haswa Halafu iwe baridiiiii
Yaani na joto lile la 50 something degrees daaa umenikumbusha mbali sana ingawa naona kama juzi tu
Babu shikamoo
Kipindi hicho Uto walikuwa wanavaa jersy zilizoandikwa "Vimto"Zilikuwa zinatengenezwa zamani hapa Tanzania na kiwanda cha mhindi mmoja akiitwa Viran. Kusema kweli kwangu ni kinywaji kizuri sana. Ukiinywa ya baridi wakati wa joto la Dar unapata burudani ya aina yake.
Vimto waliwahi kua na kiwanda pale Musoma miaka ya 1993-96Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.
Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.
Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.
Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.
Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer [emoji481] siipi nafasi.
Eti sidhani kama zilikua zinafika mikoani[emoji1787][emoji1787]wabongo bhana, kwa taarifa yako kiwanda kilikuaga Musoma MaraUnakumbuka zamani kuna mhindi mmoja nadhani sasa ni marehemu, aliitwa Viran. Nadhani alikuwa mfadhili wa Yanga. Kiwanda chake kilikuwa kinatengeza na zilikuwa zinapatikana kwenye vichupa vidogo vidogo hasa maeneo ya Kariakoo. Sidhani kama zilikuwa zinafika mikoani.
Unadandia kitu ambacho hata hujaelewa. Unajua maana ya ''sijui''? Vimto za Dar zilikuwa zinatengenezwa na kiwanda cha Viran, ambaye alikuwa mfadhili wa Yanga miaka hiyo! Kama alikuwa na kiwanda kingine huko ungesema bila kebehi za kijinga. Ama kama kulikuwa na kiwanda kingine ni kiasi cha kusema. Mbona kuna mtu member amechangia vizuri tu kusema hata Tanga kulikuwa na kiwanda na zilikuwepo?Eti sidhani kama zilikua zinafika mikoani[emoji1787][emoji1787]wabongo bhana, kwa taarifa yako kiwanda kilikuaga Musoma Mara