Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

View attachment 2284531
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.

Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.

Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.

Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.

Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer 🍺 siipi nafasi.
Nilikuwa nawaza hili neno vimto nimelisikia wapi siku za karibuni..baada ya kugoogle nikagundua kumbe azam group na wao wana soda zinaitwa vimto sasa sijajua ladha ni zilezile au ndio copycatting kama kawaida
 

Attachments

  • images - 2022-07-12T192804.156.jpeg
    images - 2022-07-12T192804.156.jpeg
    20.2 KB · Views: 49
Zilikuwa zinatengenezwa zamani hapa Tanzania na kiwanda cha mhindi mmoja akiitwa Viran. Kusema kweli kwangu ni kinywaji kizuri sana. Ukiinywa ya baridi wakati wa joto la Dar unapata burudani ya aina yake.
Kipindi hicho Uto walikuwa wanavaa jersy zilizoandikwa "Vimto"
 
Asili ya kinywaji hiki kilitengenezs mwa kwanza Manchester Uingereza miaka ya 1800+. Ni mchanganyiko wa berries na zabibu zilizosagwa pamoja na viasilia vingine.

Kinywaji hiki kilitumiwa sana na wanajeshi wakati wa WWI, walifungiwa mabox ya Vimto na kuoekekewa huko mstari wa mbele.

Miaka ya 1900+ waarabu walipata leseni ya kutengeneza Vimto na waliendelea kuitengeneza kwa ubora ule ule. Leo hii Vimto ya Saudia imebaki kuwa bora kuliko ile inayotengenezwa Uingereza. Arabuni kinywaji hiki ni maarufu hasa wakati wa Ramadhani baada ya mfungo wa siku nzima.

Kwa ubora wake changanya 100mls za Vimto kwenye jug la maji lenye ujuzi wa 500mls. Maji ya baridi yanafaa zaidi.

Si kuwa ninawafanyia promotion lakini ningependa kizuri tukinywe wote. Mbele ya Vimto ya Saudia huwa beer [emoji481] siipi nafasi.
Vimto waliwahi kua na kiwanda pale Musoma miaka ya 1993-96

Ilikua ni soda tamu kuliko soda zote
 
Unakumbuka zamani kuna mhindi mmoja nadhani sasa ni marehemu, aliitwa Viran. Nadhani alikuwa mfadhili wa Yanga. Kiwanda chake kilikuwa kinatengeza na zilikuwa zinapatikana kwenye vichupa vidogo vidogo hasa maeneo ya Kariakoo. Sidhani kama zilikuwa zinafika mikoani.
Eti sidhani kama zilikua zinafika mikoani[emoji1787][emoji1787]wabongo bhana, kwa taarifa yako kiwanda kilikuaga Musoma Mara
 
Eti sidhani kama zilikua zinafika mikoani[emoji1787][emoji1787]wabongo bhana, kwa taarifa yako kiwanda kilikuaga Musoma Mara
Unadandia kitu ambacho hata hujaelewa. Unajua maana ya ''sijui''? Vimto za Dar zilikuwa zinatengenezwa na kiwanda cha Viran, ambaye alikuwa mfadhili wa Yanga miaka hiyo! Kama alikuwa na kiwanda kingine huko ungesema bila kebehi za kijinga. Ama kama kulikuwa na kiwanda kingine ni kiasi cha kusema. Mbona kuna mtu member amechangia vizuri tu kusema hata Tanga kulikuwa na kiwanda na zilikuwepo?
 
Back
Top Bottom