Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

Unadandia kitu ambacho hata hujaelewa. Unajua maana ya ''sijui''? Vimto za Dar zilikuwa zinatengenezwa na kiwanda cha Viran, ambaye alikuwa mfadhili wa Yanga miaka hiyo! Kama alikuwa na kiwanda kingine huko ungesema bila kebehi za kijinga. Ama kama kulikuwa na kiwanda kingine ni kiasi cha kusema. Mbona kuna mtu member amechangia vizuri tu kusema hata Tanga kulikuwa na kiwanda na zilikuwepo?
Acha upuuzi,unamfokea nani nyaanoko!!! Unajifanya unajua na haujui,huyo unayemsema alikua agent,usiniijie na mihemko mwehu nini wewe
 
Miaka ya 80 nilipokuwa huko ndio kilikuwa kinywaji changu bora kabisa na pia inakuja kwenye kopo pia ya 330ml ni tamu haswa Halafu iwe baridiiiii

Yaani na joto lile la 50 something degrees daaa umenikumbusha mbali sana ingawa naona kama juzi tu
Kuna kiwanda pale Jahra kuwait cha vimto.Ama kweli nimefaidi.
 
Back
Top Bottom