Vimto kutoka Saudia ni kinywaji bora kama utaweza jaribu kunywa hutajuta

Acha upuuzi,unamfokea nani nyaanoko!!! Unajifanya unajua na haujui,huyo unayemsema alikua agent,usiniijie na mihemko mwehu nini wewe
 
Miaka ya 80 nilipokuwa huko ndio kilikuwa kinywaji changu bora kabisa na pia inakuja kwenye kopo pia ya 330ml ni tamu haswa Halafu iwe baridiiiii

Yaani na joto lile la 50 something degrees daaa umenikumbusha mbali sana ingawa naona kama juzi tu
Kuna kiwanda pale Jahra kuwait cha vimto.Ama kweli nimefaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…