Vingunguti: Watu wawili wauawa kwa kupigwa na risasi

Vingunguti: Watu wawili wauawa kwa kupigwa na risasi

Mahakama zimewekwa za nini? Utajua fulani ni mwizi bila kumfikisha mahakamani? Huoni utaratibu wa aina hii unatoa mwanya kwa polisi kuua mtu yeyote kwa kisingizio kuwa ni mwizi? Hivi kama mna ugomvi na mtu, na huyo mtu akampa polisi fedha nyingi ili akupige risasi kwa kisingizio cha kuwa wewe ni mwizi huoni unaweza kuuawa bila sababu?
Lakini waganga ndio uwajua wachawi maana wote fani moja
 
Lakini waganga ndio uwajua wachawi maana wote fani moja
Ni hatari sana kutoa adhabu kwa wezi bila kutumia mahakama. Hili likiruhusiwa kuna watu wengi wabaya watatumia huu mwanya kuua maadui zao kwa kisingizio cha kuibiwa. Utakuwa umebeba fedha nyingi ukutane na hawa polisi wetu walio na njaa na ukatili uliopitiliza, watakutandika risasi ya kichwa halafu watasema ni jambazi.
 
Ni hatari sana kutoa adhabu kwa wezi bila kutumia mahakama. Hili likiruhusiwa kuna watu wengi wabaya watatumia huu mwanya kuua maadui zao kwa kisingizio cha kuibiwa. Utakuwa umebeba fedha nyingi ukutane na hawa polisi wetu walio na njaa na ukatili uliopitiliza, watakutandika risasi ya kichwa halafu watasema ni jambazi.
Unabeba pesa mingi za nini Bado unatembea na pesa zama hizi.
Nani kakuambia mahakamani Kuna haki.
Mahakamani ni mdomo wako na pesa Yako TU.
 
Mahakama zimewekwa za nini? Utajua fulani ni mwizi bila kumfikisha mahakamani? Huoni utaratibu wa aina hii unatoa mwanya kwa polisi kuua mtu yeyote kwa kisingizio kuwa ni mwizi? Hivi kama mna ugomvi na mtu, na huyo mtu akampa polisi fedha nyingi ili akupige risasi kwa kisingizio cha kuwa wewe ni mwizi huoni unaweza kuuawa bila sababu?

Tanzania hamnaga mahakama, kutakuwa na mahakama siku zitatengenishwa na mhimili wa siasa!!
 
Unabeba pesa mingi za nini Bado unatembea na pesa zama hizi.
Nani kakuambia mahakamani Kuna haki.
Mahakamani ni mdomo wako na pesa Yako TU.
Lakini huoni akifikishwa mahakamani hata kama haki haitatendeka lakini atakuwa hajauawa? Kuna sehemu na siku inabidi ubebe cash money. Anyways unaonekana wewe ni hawa akina IQ 7 hivyo mambo mengi unayaona kivyako.
 
Tanzania hamnaga mahakama, kutakuwa na mahakama siku zitatengenishwa na mhimili wa siasa!!
I think umerukia bila kujua tunazungumzia nini. Nani kakumbia kuwa tunazungumzia haki kwenye mahakama zetu?
 
Lakini huoni akifikishwa mahakamani hata kama haki haitatendeka lakini atakuwa hajauawa? Kuna sehemu na siku inabidi ubebe cash money. Anyways unaonekana wewe ni hawa akina IQ 7 hivyo mambo mengi unayaona kivyako.
Huduma za pesa kila mtaa Hadi vijijini zimejaa.
Thus utekaji mabus umepungua.
Kwann ubebe cash.
Wakishanunua haki wanarudi kwa Kasi sana mtaani kulipiza kisasi.
Risasi pekee ndio inaweza maliza uhalifu mtaani na sio sheria
 
Mahakama zimewekwa za nini? Utajua fulani ni mwizi bila kumfikisha mahakamani? Huoni utaratibu wa aina hii unatoa mwanya kwa polisi kuua mtu yeyote kwa kisingizio kuwa ni mwizi? Hivi kama mna ugomvi na mtu, na huyo mtu akampa polisi fedha nyingi ili akupige risasi kwa kisingizio cha kuwa wewe ni mwizi huoni unaweza kuuawa bila sababu?
kichwa panzi huyo,amesahau ya Abdala Zombe na bageni na wale wafanyabiashara wa madini tulioambiwa ni majambazi waliopora NBC ubungo!
 
Hata iwe ni wezi hakuna justification ya kuua watu ambao hawana silaha. Jaribu kuingia YouTube usikiliza maelezo ya huyo kaka mtu ndiyo utajua ni mauaji ya kinyama. Wanasema polisi walikuwa wanafanya doria tangu mchana na walishawakamata na kuwaweka chini ya ulinzi. wakaanza kuwapiga risasi za miguuni na baadae mwilini tena mbele za watu. Mimi ndiyo maana huwa nasema watanzania tuko kama manyumbu. Mtu anaua na watu wanaona ni sawa tu.
wabongo vichwa panzi wengi,wamesahau ya mwaka 2006 kina Abdala Zombe na wale wafanyabiashara wa madini toka Mahenge tulioambiwa ni majambazi waliopora NBC ubungo
 
Sababu inadaiwa kuwa ni hii, sijui kuna ukweli gani???
Hii nchi ina laana! Kwenye hiyo clip kuna mama ambaye mwanae alichomwa kisu na Panya road. Kufika hospital hawakumpa huduma yoyote hadi mama yake afike. Mama kufika akaambiwa anunue drip ndo mtoto ahudumiwe. Sasa sijui ni muda gani ulipita Kabla hiyo drip haijanunuliwa. Lakini mtoto akatapika damu na kufariki hapo hapo. Mama analia kwa uchungu sana kumpoteza mwanae.

Hapo najiuliza hiyo hospital iko ya kazi gani? Halafu tunasema kuna viongozi kwenye Hii nchi. Tunaishi kama wanyama tu daah!

Lakini pesa zipo hadi za kulipia magoli yanayofungwa sijui na Yanga na Simba. Hakuna vipaumbele vya kutatua matatizo ya wananchi hata kama ni kuanza na jambo moja kidogo kidogo.

Sijui tukoje sisi watanzania? Halafu polisi kibao na sometimes jeshi na usalama wanatumika kudhibiti upinzani hili waendelee wao kufisadi Taifa huku wanananchi wakiishi kama wanyama. Eti Panya road?!
 
Hii nchi ina laana! Kwenye hiyo clip kuna mama ambaye mwanae alichomwa kisu na Panya road. Kufika hospital hawakumpa huduma yoyote hadi mama yake afike. Mama kufika akaambiwa anunue drip ndo mtoto ahudumiwe. Sasa sijui ni muda gani ulipita Kabla hiyo drip haijanunuliwa. Lakini mtoto akatapika damu na kufariki hapo hapo. Mama analia kwa uchungu sana kumpoteza mwanae.

Hapo najiuliza hiyo hospital iko ya kazi gani? Halafu tunasema kuna viongozi kwenye Hii nchi. Tunaishi kama wanyama tu daah!

Lakini pesa zipo hadi za kulipia magoli yanayofungwa sijui na Yanga na Simba. Hakuna vipaumbele vya kutatua matatizo ya wananchi hata kama ni kuanza na jambo moja kidogo kidogo.

Sijui tukoje sisi watanzania? Halafu polisi kibao na sometimes jeshi na usalama wanatumika kudhibiti upinzani hili waendelee wao kufisadi Taifa huku wanananchi wakiishi kama wanyama. Eti Panya road?!
Daaah! Eti waliompiga Lissu risasi hawajulikani mpaka leo na Lissu hajawahi kuhojiwa mpaka leo.
 
Hata iwe ni wezi hakuna justification ya kuua watu ambao hawana silaha. Jaribu kuingia YouTube usikiliza maelezo ya huyo kaka mtu ndiyo utajua ni mauaji ya kinyama. Wanasema polisi walikuwa wanafanya doria tangu mchana na walishawakamata na kuwaweka chini ya ulinzi. wakaanza kuwapiga risasi za miguuni na baadae mwilini tena mbele za watu. Mimi ndiyo maana huwa nasema watanzania tuko kama manyumbu. Mtu anaua na watu wanaona ni sawa tu.
Wewe kama ni mwalifu basi jiandae kisakologia kuwa yatakukuta hayo swalq ni muda tu!
Pia ikiwa wewe ni mwanaharakati za haki za binadamu basi nakushauri paza sauti kwa usawa sio tu unatetea PANYA ROAD pekee, kumbuka kupaza sauti na wakati watu wanapoteza Mama zao, dada,baba na watoto wao kwa kuchomwa visu, . Nachokiona kinachokuchanganya ni kati ya KISU NA RISASI, NA KATI YA KUFA SIKU 10 mbele baada ya kupata jeraa la kisu na kufa on spot kwa risasi. MWANAHARAKATI AU MWIZI CHANGUA NJIA SAHIHI wakati bado unao
 
Wewe kama ni mwalifu basi jiandae kisakologia kuwa yatakukuta hayo swalq ni muda tu!
Pia ikiwa wewe ni mwanaharakati za haki za binadamu basi nakushauri paza sauti kwa usawa sio tu unatetea PANYA ROAD pekee, kumbuka kupaza sauti na wakati watu wanapoteza Mama zao, dada,baba na watoto wao kwa kuchomwa visu, . Nachokiona kinachokuchanganya ni kati ya KISU NA RISASI, NA KATI YA KUFA SIKU 10 mbele baada ya kupata jeraa la kisu na kufa on spot kwa risasi. MWANAHARAKATI AU MWIZI CHANGUA NJIA SAHIHI wakati bado unao
Akili vizibo kama hizi hufunguka zinapokutana na dhahma! Ni kama panya, mpaka limpate ndiyo ajue halifai! Nina uhakika kwa Bongo ilivyo sasa kuna siku litakupata wewe au mtu wako wa karibu sana. Inaweza kuwa siyo kupigwa risasi ila kuna siku inakuja......
 
Akili vizibo kama hizi hufunguka zinapokutana na dhahma! Ni kama panya, mpaka limpate ndiyo ajue halifai! Nina uhakika kwa Bongo ilivyo sasa kuna siku litakupata wewe au mtu wako wa karibu sana. Inaweza kuwa siyo kupigwa risasi ila kuna siku inakuja..
Ushauri nishakupa hapo juu ikiwa wewe ni mmoja wao basi jambo sahihi ni kuacha au ikiwa, kaa na family yako wakanye wanao na wewe acha janja janja, PIA, Kama ikiwa wewe ni wanaharakati wa haki za binadamu basi wakupuke na ndugu zetu walipoteza maisha kwajili ya hizo umbwa PANYA road...
 
I think umerukia bila kujua tunazungumzia nini. Nani kakumbia kuwa tunazungumzia haki kwenye mahakama zetu?
Kama unajua hatuzungumzii haki kwenye mahakama kinachokusukuma kusema watu wapelekwe nn?
 
Mdogo wangu Shomari Salehe Kacheuka mtoto wa Salehe Shomari Kacheuka ambaye alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya GS Group Limited inayoingiza na kuuza pikipiki aina ya Haujue eneo lake la kazi likiwa mtaa Nyamwezi na Msimbazi ameuawa na polisi siku ya Jumatano, Desemba 27. Shomari nilikuwa naye katika eneo la kazi mpaka ofisi ilipofungwa mida ya saa kumi na mbili kama na robo hivi. Aliondoka Kariakoo majira ya hayo kuelekea nyumbani kwake Vingunguti Kiembembuzi. Muda wa kama dakika 40 baadae kaka yake anaietwa Omary Salehe Kacheuka alipiga simu kusema Shomari anashambuliwa na Polisi. Kwa maelezo ni kwamba Shomari alipaki pikipiki akaingia ndani na kutoka muda huohuo. Alipotoka akakutana na watu waliojitambulisha kama askari waliotaka kuondoka naye. Alipowauliza kulikoni wakamtolea bastola. Punde kuna kijana wa Car wash ya jirani anaejishughulisha na kuosha pikipiki alikuwa akipita. Akahoji kulikoni wakampiga risasi ya mguu. Katika hali ya sintofahamu na taharuki wakampiga risasi ya goti Shomari. Wakawaburuza kutoka nyumbani mpaka barabarani. Barabarani wakaendelea kumshambulia Shomari na kumfyatulia risasi kadhaa. Wakamburuta mpaka kwenye defender na yule waliempiga risasi ya mguu wakampakiza kwenye IST na kutokomea kusikojulikana.

Kama familia tulianza kumtafuta kuanzia majira hayo. Tunaruhusu kufuatilia mawasiliano yetu yote kuanzia saa moja ya siku mpaka sasa. Tulifika vituo vyote vya polisi bila mafanikio. Tulimpigia mkuu wa kituo Buguruni kwenye namba yake hii 0787668306 tuliyopatiwa na msamalia mida ya saa mbili usiku. Akasema bado hajapata taarifa ila ataifanyia kazi. Tuluripoti vituo kadhaa vya polisi ikiwemo Tabata, Vingunguti, Stakishari, Msimbazi, Central, lakini tuliambiwa hata taarifa hizo hazijawafikia. Tulifika Buguruni polisi usiku ule na alfajiri hakukuwa na taarifa. Tukaenda Selander Bridge tulipotoka Buguruni na kufuatilia Muhimbili bila mafanikio. Tukipotoka Muhimbili tukapita Msimbazi na kwenda Amana hospital. Amana hakukuwa na rekodi za kupata majeruhi wala miili ya watu wa tukio aina hiyo. Hivyo kama familia tukaamua kurudi Buguruni kufungua jalada. Buguruni tukakabidhiwa Askari aliejulikana kwa jina la Sylvanus baada ya kuzunguushwa mara kadhaa ili atufungulie jalada. Namba ya Afande Sylvanus ni hii 0755329211. Afande Sylvanus akatuambia kwasababu tukio limetokea majira ya saa moja kasoro usiku inatubidi tuvute subira yafike masaa 24 ndio tufungue jalada. Mimi nikamwambia hatukuja kufungua jalada la kupotelewa na ndugu. Tumekuja kufungua jalada la ndugu kutekwa na wasiojulikana. Tena wakiwa wamepigwa risasi miguuni. Na pamoja na jitihada zetu kama familia kufika sehemu zote ambazo tungesaidia mmeshindwa kutusaidia kutuma hata askari kwenda eneo la tukio. Lakini akiongozwa na askari mwenzake mwenye kama suzua kadhaa ukubwa wa zabibu na ndimu changa kichwani walitugomea kabisa kutufungulia jalada. Ikabidi tutoke nje tuanze kujadiliana. Pembeni yetu tukiwa na askari wawili wanaosikiliza maongezi yetu ambapo tukisema maadamu Polisi wameshindwa kutusaidia basi twende kwa Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa. Tukaachana ambapo wengine wakarudi kwanza nyumbani. Tunafika nyumbani tunakutana na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa nadhani ambaye anasema amepigiwa simu kuwa vijana wale wawili wapo Amana hospital hali zao ni mbaya. Baadhi ya wana familia wakarudi Amana ambako bado wakasema hakuna majeruhi wa risali wala maiti zilizoingia. Mwishoni tukajaribu kwenda moja kwa moja Mortuary kuulizia. Ndio mtu wa Mortuary akasema leo asubuhi kuna miili miwili ililetwa na askari imeokotwa maeneo ya Vingunguti labda mkaangalie. Kuangalia ndio tukatambua kuwa ni wale vijana wetu tuliokesha tukiwatafuta bila mafanikio zikiwa na majaraha mengi ya risasi.

Sisi kama familia tuliamini labda kijana alipita eneo lisilo sahihi katika muda huo na kupelekea kufananishwa na mtu fulani. Tuliamua kumshitakia Mungu tukampumzisha Marehemu ili maisha yasonge. Mengine tumemwachia Mungu. Lakini kilichotusikitisha ni ripoti iliyotolewa na Kamanda Murilo kwa kuwabatiza uhalifu na kuwahusisha na tukio la panya road lililotokea majira ya saa mbili huko Vingunguti huku likiwahusisha vijana hao. Bila haya wala hofu ya Mungu akawabatiza na majina mabaya. Kama familia tunatoa ruhusa kwa mamlaka kufuatilia mawasiliano yetu wote wana familia kuanzia saa moja usiku ili kuonesha ni namna gani jeshi letu lilivyowafanyia udhalimu vijana hawa. Pia tunaomba serikali ifuatilie mtaani alipoishi Shomari nyumba kwa nyumba kujua alikuwa na tabia zipi na kama ashawahi hata kulala ndani kwa kukaa tu kijiweni ama kuzurula. NB. Hakuna jirani anaemjua Marehemu kwa jina la Shomari. Toka mchanga anajulikana kwa jina moja tu la Babuu. Shomari ni jina analotumia kwenye documents tu na shuleni.
Naomba taarifa hii imfikie Mheshimiwa Raisi huenda akatia mkono wake na ukweli ukabainika na ikawa faraja kwa familia.
Natanguliza shukran.
Mungu asimame na wote wenye kuisimamia na kuiishi Haki
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Mdogo wangu Shomari Salehe Kacheuka mtoto wa Salehe Shomari Kacheuka ambaye alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya GS Group Limited inayoingiza na kuuza pikipiki aina ya Haujue eneo lake la kazi likiwa mtaa Nyamwezi na Msimbazi ameuawa na polisi siku ya Jumatano, Desemba 27. Shomari nilikuwa naye katika eneo la kazi mpaka ofisi ilipofungwa mida ya saa kumi na mbili kama na robo hivi. Aliondoka Kariakoo majira ya hayo kuelekea nyumbani kwake Vingunguti Kiembembuzi. Muda wa kama dakika 40 baadae kaka yake anaietwa Omary Salehe Kacheuka alipiga simu kusema Shomari anashambuliwa na Polisi. Kwa maelezo ni kwamba Shomari alipaki pikipiki akaingia ndani na kutoka muda huohuo. Alipotoka akakutana na watu waliojitambulisha kama askari waliotaka kuondoka naye. Alipowauliza kulikoni wakamtolea bastola. Punde kuna kijana wa Car wash ya jirani anaejishughulisha na kuosha pikipiki alikuwa akipita. Akahoji kulikoni wakampiga risasi ya mguu. Katika hali ya sintofahamu na taharuki wakampiga risasi ya goti Shomari. Wakawaburuza kutoka nyumbani mpaka barabarani. Barabarani wakaendelea kumshambulia Shomari na kumfyatulia risasi kadhaa. Wakamburuta mpaka kwenye defender na yule waliempiga risasi ya mguu wakampakiza kwenye IST na kutokomea kusikojulikana.

Kama familia tulianza kumtafuta kuanzia majira hayo. Tunaruhusu kufuatilia mawasiliano yetu yote kuanzia saa moja ya siku mpaka sasa. Tulifika vituo vyote vya polisi bila mafanikio. Tulimpigia mkuu wa kituo Buguruni kwenye namba yake hii 0787668306 tuliyopatiwa na msamalia mida ya saa mbili usiku. Akasema bado hajapata taarifa ila ataifanyia kazi. Tuluripoti vituo kadhaa vya polisi ikiwemo Tabata, Vingunguti, Stakishari, Msimbazi, Central, lakini tuliambiwa hata taarifa hizo hazijawafikia. Tulifika Buguruni polisi usiku ule na alfajiri hakukuwa na taarifa. Tukaenda Selander Bridge tulipotoka Buguruni na kufuatilia Muhimbili bila mafanikio. Tukipotoka Muhimbili tukapita Msimbazi na kwenda Amana hospital. Amana hakukuwa na rekodi za kupata majeruhi wala miili ya watu wa tukio aina hiyo. Hivyo kama familia tukaamua kurudi Buguruni kufungua jalada. Buguruni tukakabidhiwa Askari aliejulikana kwa jina la Sylvanus baada ya kuzunguushwa mara kadhaa ili atufungulie jalada. Namba ya Afande Sylvanus ni hii 0755329211. Afande Sylvanus akatuambia kwasababu tukio limetokea majira ya saa moja kasoro usiku inatubidi tuvute subira yafike masaa 24 ndio tufungue jalada. Mimi nikamwambia hatukuja kufungua jalada la kupotelewa na ndugu. Tumekuja kufungua jalada la ndugu kutekwa na wasiojulikana. Tena wakiwa wamepigwa risasi miguuni. Na pamoja na jitihada zetu kama familia kufika sehemu zote ambazo tungesaidia mmeshindwa kutusaidia kutuma hata askari kwenda eneo la tukio. Lakini akiongozwa na askari mwenzake mwenye kama suzua kadhaa ukubwa wa zabibu na ndimu changa kichwani walitugomea kabisa kutufungulia jalada. Ikabidi tutoke nje tuanze kujadiliana. Pembeni yetu tukiwa na askari wawili wanaosikiliza maongezi yetu ambapo tukisema maadamu Polisi wameshindwa kutusaidia basi twende kwa Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa. Tukaachana ambapo wengine wakarudi kwanza nyumbani. Tunafika nyumbani tunakutana na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa nadhani ambaye anasema amepigiwa simu kuwa vijana wale wawili wapo Amana hospital hali zao ni mbaya. Baadhi ya wana familia wakarudi Amana ambako bado wakasema hakuna majeruhi wa risali wala maiti zilizoingia. Mwishoni tukajaribu kwenda moja kwa moja Mortuary kuulizia. Ndio mtu wa Mortuary akasema leo asubuhi kuna miili miwili ililetwa na askari imeokotwa maeneo ya Vingunguti labda mkaangalie. Kuangalia ndio tukatambua kuwa ni wale vijana wetu tuliokesha tukiwatafuta bila mafanikio zikiwa na majaraha mengi ya risasi.

Sisi kama familia tuliamini labda kijana alipita eneo lisilo sahihi katika muda huo na kupelekea kufananishwa na mtu fulani. Tuliamua kumshitakia Mungu tukampumzisha Marehemu ili maisha yasonge. Mengine tumemwachia Mungu. Lakini kilichotusikitisha ni ripoti iliyotolewa na Kamanda Murilo kwa kuwabatiza uhalifu na kuwahusisha na tukio la panya road lililotokea majira ya saa mbili huko Vingunguti huku likiwahusisha vijana hao. Bila haya wala hofu ya Mungu akawabatiza na majina mabaya. Kama familia tunatoa ruhusa kwa mamlaka kufuatilia mawasiliano yetu wote wana familia kuanzia saa moja usiku ili kuonesha ni namna gani jeshi letu lilivyowafanyia udhalimu vijana hawa. Pia tunaomba serikali ifuatilie mtaani alipoishi Shomari nyumba kwa nyumba kujua alikuwa na tabia zipi na kama ashawahi hata kulala ndani kwa kukaa tu kijiweni ama kuzurula. NB. Hakuna jirani anaemjua Marehemu kwa jina la Shomari. Toka mchanga anajulikana kwa jina moja tu la Babuu. Shomari ni jina analotumia kwenye documents tu na shuleni.
Naomba taarifa hii imfikie Mheshimiwa Raisi huenda akatia mkono wake na ukweli ukabainika na ikawa faraja kwa familia.
Natanguliza shukran.
Mungu asimame na wote wenye kuisimamia na kuiishi Haki
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Dah unaweza hisi sio Tanzania, haya mambo wanafanya sana na kwao sio ishu wanalindwa. Washamaliza walichopanga kufanya na maisha yao yanaenda fresh tu.
 
Back
Top Bottom