Vinyago/midoli vina roho

Vinyago/midoli vina roho

w
Ungetuwekea Nyota na Mwezi na wapi Allah aliteremsha aya kuwaambieni mziweke kwenye Miskitini yenu. Upagani alio ukuta Muhammad mnandelea nao mpaka hii leo.



Ona mnavooabudu midoli, hamna hata haya.
 
w
Ungetuwekea Nyota na Mwezi na wapi Allah aliteremsha aya kuwaambieni mziweke kwenye Miskitini yenu. Upagani alio ukuta Muhammad mnandelea nao mpaka hii leo.

Huhitaji kubishana na mataifa na wasio mjua Kristo utapoteza muda na nguvu zako bure
 
Hili duka la midoli ya kutisha ktika mji wa Coventry UK ImageUploadedByJamiiForums1434207879.574314.jpgImageUploadedByJamiiForums1434207959.991679.jpgImageUploadedByJamiiForums1434208065.962601.jpg
 
Huhitaji kubishana na mataifa na wasio mjua Kristo utapoteza muda na nguvu zako bure

Tusipeleke huu uzi kwenye udini....bse either way...it remains a fact kuwa midoli si bure.....kila mtu achukue approach yake...mtuache sis tujifunze yaliyoko sirini
 
Huhitaji kubishana na mataifa na wasio mjua Kristo utapoteza muda na nguvu zako bure
Huyo Ms. Fox ni mpagani anaye abudi Nyota, Mwezi na Jiwe Jeusi la Makka. Nimemuomba anipe aya wapi Allah kawamrisha waabudi Nyota, Jiwe na Mwezi? Amekuja na picha kama vile Yesu katuamrisha tuabudu Nyota Jiwe na Mwezi.

Kumbe ndio maana Allah wao alikuwa anaapa kwa Mwezi na Nyota.
 
Huyo Ms. Fox ni mpagani anaye abudi Nyota, Mwezi na Jiwe Jeusi la Makka. Nimemuomba anipe aya wapi Allah kawamrisha waabudi Nyota, Jiwe na Mwezi? Amekuja na picha kama vile Yesu katuamrisha tuabudu Nyota Jiwe na Mwezi.

Kumbe ndio maana Allah wao alikuwa anaapa kwa Mwezi na Nyota.


mshana jr, umeshasahau nyuzi yako inasema nini? Ona mambo hayo. Ndani ya Kanisa.
 
Last edited by a moderator:
Usipoteze nguvu zako kwa wasioamini

"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).





cc MaxShimba
 
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).





cc MaxShimba
Kumbe unafahamu kuwa Sanamu haziruhusiwi, sasa wewe kwanini unaleta sanamu ambazo umesha kiri kuwa haziruhusiwi? Kwanini nyie mnaabudu Mwezi, Nyota na lile jiwe Jeusi mnalo litazama kila mnapo fanya ibada?

Hakika mnajiongezea malundo ya dhanb kwa kuabudu Sanamu za Makka.
 
Ukijaribu kuchek altare yeyote lazima kuwe na symbol au ishara ya roho husika wanayoiabudu, inayowapa ulinzi n.k. Katika baadhi ya ishara ni kutumia midoli/sanamu, picha au idol yeyote. Hapo ndo huwa ile spiriti imepaweka kama sebule yake so muda wote hupatikana, ndio maana kama mganga au mchawi akizidiwa nguvu au kushndwa kufanya jambo fulani ukimbilia kwenye altare yake aka kiringe. Sasa hii miungu sometimes inawapa oda waumini wake kuweza kuwajengea altare nyingine, so wanacho kifanya ni kufanya ibada na kuingiza hizo roho kwenye picha,vinyago,midoli,kacha za kuvaa, cheni,pete n.kSo unaponunua kitu hiko na kukivaa au kukiweka mahali popote kwako endapo kinakuwa kina roho fulani unakuwa umemkabidhi mamlaka ya sehemu husika na inakuwa kama altare yake mwisho wa siku unakuwa unauabuduu bila wew kujua hilo.Cha kufanya ni kama unapenda vitu vya aina hiyo ni vema una vunja na kutoa roho zilizopo, kama umekaa vibaya jua hizi roho zitarudi kwa revenge so jipange. Njia sahihi ya kubaki salama ni kupoetezea hivyo vidude
NIONGEZE POINT; MAMBO YA KIROHO AU YA KIMUNGU HAPA DUNIANI YANAENENDA KATIKA PLINCIPLE KUU MBILI 1. Kuwa katika usiri au uficho fulani. hii imewekwa kutokana na upeo wa akili ya binadamu. yakiwekwa wazi binadamu akijua yote atachananyikiwa bali NI MPAKA UPATE UVUVIO WA ROHO WAKE PALE ANAPOTAKA KUKUONYESHA KITU. Shetani kaiga na yeye yake anayaficha mfano mambo ya akina freemason.2. Kutumia maumbo. roho haina umbo lakini ikiamuliwa yaweza ishi ktk umbo lolote likapata uhai. mfano binadamu. shetani nae kaeiga anatumia vitu kama vinyago. (sorry natumia phone siwezi kumwaga sana) ila kumalizia hila za rusifa ni kuwahadaa binadamu mpaka kujikuta wanamkufuru MUNGU BILA WAO KUJIJUA. Ntakupa mfano japo wapo wale watakaopinga. rozali ni kinyago au mdoli kama mingine. hicho kinyago kilichopo kwenye msalaba wa rozari SIO YESU NA WALA HAKIFANANI NA YESU lakini wakatoriki wanavyokiabudu tena wamekitundika kwenye makanisa yao DAA.... KINGINE NI CHA BIKIRA MARia. nani kawaambia mkipigie magoti. WAPI KATIKA BIBLE. hapo shetani kawapiga bao mana mnamkufuru mungu bila kujijua
 

UNAULIZA NENO BADALA YA KUMUULIZA ALIETOA NENO. MJUE UZIMA ndio umuulize sio neno likiwa katika maandishi. WATU WA MUNGU MBONA MNAANGAMIA KWA UKOSEFU WA MAARIFA. UZIMA ndiye yeye mwenye mamlka y UZIMA WAKO. NDIYE ALIEUMBA MBIGU NA NCHI. PUMZI YAKE NI UZIMA. na ndio alieipulizia katika dongo alilofinyanga ukatokea. UZIMA yupo katika nafsi 3 soma neno lake kwa kumjua zaidi. UKIPENDA KUMZIHAKI NI JUU YAKO NA PUMZI YAKE ALIOKUPA. HAYUPO KATIKA VINYAGO BALI YEYE NI UZIMA. ILA UKWELI NI KUWA WAKOLIKI WAMEPOTOKA SANA HASA KWA DHANA YA VINYAGO. KUNATIA DOA IMQNI YA YESU. YESU HAYUPO KATIKA MAMBO MAMBO YENU NDIO MANA WENGI MKIHOJIWA KONA HIZOO AMBAZO RUSIFA KAWANASA MNAKOSA HOJA NA KURUDISHA MATUSI. HONA IBADA ZA VINYAGO KATIKA PICHA WAPI KATIKA BIBLE IPO. MIE MKRISTO NITUKANENI KWAHOJA YANGU.
 
Mh! sidhani, midoli nimelala nayo yapata miaka kumi sasa lakini sijaona chochote, hizo ni stori tu!
 
NIONGEZE POINT; MAMBO YA KIROHO AU YA KIMUNGU HAPA DUNIANI YANAENENDA KATIKA PLINCIPLE KUU 21. Kuwa katika usiri au uficho fulani. hii imewekwa kutokana na upeo wa akili ya binadamu. yakiwekwa wazi binadamu akijua yote atachananyikiwa bali NI MPAKA UPATE UVUVIO WA ROHO WAKE PALE ANAPOTAKA KUKUONYESHA KITU. Shetani kaiga na yeye yake anayaficha mfano mambo ya akina freemason.2. Kutumia maumbo. roho haina umbo lakini ikiamuliwa yaweza ishi ktk umbo lolote likapata uhai. mfano binadamu. shetani nae kaeiga anatumia vitu kama vinyago. (sorry natumia phone siwezi kumwaga sana) ila kumalizia hila za rusifa ni kuwahadaa binadamu mpaka kujikuta wanamkufuru MUNGU BILA WAO KUJIJUA. Ntakupa mfano japo wapo wale watakaopinga. rozali ni kinyago au mdoli kama mingine. hicho kinyago kilichopo kwenye msalaba wa rozari SIO YESU NA WALA HAKIFANANI NA YESU lakini wakatoriki wanavyokiabudu tena wamekitundika kwenye makanisa yao DAA.... KINGINE NI CHA BIKIRA MARia. nani kawaambia mkipigie magoti. WAPI KATIKA BIBLE. hapo shetani kawapiga bao mana mnamkufuru mungu bila kujijua

Naomba nikuweke sawa hapo hivyo ulivyovitaja vipo kwa lengo maalum na linajulikana vinyago vipo kwenye imani zote lakini kwa mfano ukishasema hii ni picha ya Bwana Yesu automatically inakuwa hivyo roho ya Yesu huweka makao pale ukisema hii ni picha ya shetani tayari unavutia shetani kuja kuweka makao hapo
Ishu kwenye hii mada ilikuwa kuhusu midoli kuwa na roho na haikuwa nani anaabudu nini hiyo ni mada nyingine kabisa ambayo siwezi kuiweka hapa kwakuwa wengi wana akili ndogo tutaishia kutukanana kukashifiana kiimani na malumbano yasiyo na afya
Watu wana midoli na vinyago majumbani maofisini nk lakini vina maelezo unamuuliza hiki ni cha nini anakupa maelezo
Kwahiyo kwa maelezo haya utaona wazi kuwa picha alizopost faiza na haya uliyoandika wewe vinapwaya kwenye hii post
 
Mh! sidhani, midoli nimelala nayo yapata miaka kumi sasa lakini sijaona chochote, hizo ni stori tu!

Haimaanishi kwamba ni mpaka uone kitu ndio uamini, kila kitu kina jinsi yake ya kutokea isipotokea kwako haimaanishi hicho kitu hakipo
 
Hii ishu nzima ya vinyago ilianza tangu uumbaji wa dunia, Pale Mwenyezi Mungu aliposema na tuumbe mtu kwa mfano wetu, yule mtu alibaki kuwa mdoli/kinyago mpaka pale Mungu Mwenyezi alipompulizia pumzi ya uhai(roho)
Na hapa ndio unaweza kujua ni kwanini roho haifi, mwili huharibika na kuoza lakini roho hubaki duniani ikitafuta makazi mapya
Na kwakuwa asili ya roho ni kwenye mwili basi hutafuta mwili wowote usio na roho uliopo duniani (midoli na vinyago) zinaitwa rohochafu chafu kwakuwa hazina uvuvio wa Mungu kuingia kwenye mwili husika na huingia zikitokea kuzimu(makaburini )
 
Back
Top Bottom