FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
w
w
Ungetuwekea Nyota na Mwezi na wapi Allah aliteremsha aya kuwaambieni mziweke kwenye Miskitini yenu. Upagani alio ukuta Muhammad mnandelea nao mpaka hii leo.
Huhitaji kubishana na mataifa na wasio mjua Kristo utapoteza muda na nguvu zako bure
Endele kukimbia maswali yangu yalio enda shule.
Huyo Ms. Fox ni mpagani anaye abudi Nyota, Mwezi na Jiwe Jeusi la Makka. Nimemuomba anipe aya wapi Allah kawamrisha waabudi Nyota, Jiwe na Mwezi? Amekuja na picha kama vile Yesu katuamrisha tuabudu Nyota Jiwe na Mwezi.Huhitaji kubishana na mataifa na wasio mjua Kristo utapoteza muda na nguvu zako bure
Hili duka la midoli ya kutisha ktika mji wa Coventry UKView attachment 259849View attachment 259851View attachment 259854
Huyo Ms. Fox ni mpagani anaye abudi Nyota, Mwezi na Jiwe Jeusi la Makka. Nimemuomba anipe aya wapi Allah kawamrisha waabudi Nyota, Jiwe na Mwezi? Amekuja na picha kama vile Yesu katuamrisha tuabudu Nyota Jiwe na Mwezi.
Kumbe ndio maana Allah wao alikuwa anaapa kwa Mwezi na Nyota.

Usipoteze nguvu zako kwa wasioamini

Kumbe unafahamu kuwa Sanamu haziruhusiwi, sasa wewe kwanini unaleta sanamu ambazo umesha kiri kuwa haziruhusiwi? Kwanini nyie mnaabudu Mwezi, Nyota na lile jiwe Jeusi mnalo litazama kila mnapo fanya ibada?"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).
cc MaxShimba
I don't worship idols like you guys.
NIONGEZE POINT; MAMBO YA KIROHO AU YA KIMUNGU HAPA DUNIANI YANAENENDA KATIKA PLINCIPLE KUU MBILI 1. Kuwa katika usiri au uficho fulani. hii imewekwa kutokana na upeo wa akili ya binadamu. yakiwekwa wazi binadamu akijua yote atachananyikiwa bali NI MPAKA UPATE UVUVIO WA ROHO WAKE PALE ANAPOTAKA KUKUONYESHA KITU. Shetani kaiga na yeye yake anayaficha mfano mambo ya akina freemason.2. Kutumia maumbo. roho haina umbo lakini ikiamuliwa yaweza ishi ktk umbo lolote likapata uhai. mfano binadamu. shetani nae kaeiga anatumia vitu kama vinyago. (sorry natumia phone siwezi kumwaga sana) ila kumalizia hila za rusifa ni kuwahadaa binadamu mpaka kujikuta wanamkufuru MUNGU BILA WAO KUJIJUA. Ntakupa mfano japo wapo wale watakaopinga. rozali ni kinyago au mdoli kama mingine. hicho kinyago kilichopo kwenye msalaba wa rozari SIO YESU NA WALA HAKIFANANI NA YESU lakini wakatoriki wanavyokiabudu tena wamekitundika kwenye makanisa yao DAA.... KINGINE NI CHA BIKIRA MARia. nani kawaambia mkipigie magoti. WAPI KATIKA BIBLE. hapo shetani kawapiga bao mana mnamkufuru mungu bila kujijuaUkijaribu kuchek altare yeyote lazima kuwe na symbol au ishara ya roho husika wanayoiabudu, inayowapa ulinzi n.k. Katika baadhi ya ishara ni kutumia midoli/sanamu, picha au idol yeyote. Hapo ndo huwa ile spiriti imepaweka kama sebule yake so muda wote hupatikana, ndio maana kama mganga au mchawi akizidiwa nguvu au kushndwa kufanya jambo fulani ukimbilia kwenye altare yake aka kiringe. Sasa hii miungu sometimes inawapa oda waumini wake kuweza kuwajengea altare nyingine, so wanacho kifanya ni kufanya ibada na kuingiza hizo roho kwenye picha,vinyago,midoli,kacha za kuvaa, cheni,pete n.kSo unaponunua kitu hiko na kukivaa au kukiweka mahali popote kwako endapo kinakuwa kina roho fulani unakuwa umemkabidhi mamlaka ya sehemu husika na inakuwa kama altare yake mwisho wa siku unakuwa unauabuduu bila wew kujua hilo.Cha kufanya ni kama unapenda vitu vya aina hiyo ni vema una vunja na kutoa roho zilizopo, kama umekaa vibaya jua hizi roho zitarudi kwa revenge so jipange. Njia sahihi ya kubaki salama ni kupoetezea hivyo vidude
NIONGEZE POINT; MAMBO YA KIROHO AU YA KIMUNGU HAPA DUNIANI YANAENENDA KATIKA PLINCIPLE KUU 21. Kuwa katika usiri au uficho fulani. hii imewekwa kutokana na upeo wa akili ya binadamu. yakiwekwa wazi binadamu akijua yote atachananyikiwa bali NI MPAKA UPATE UVUVIO WA ROHO WAKE PALE ANAPOTAKA KUKUONYESHA KITU. Shetani kaiga na yeye yake anayaficha mfano mambo ya akina freemason.2. Kutumia maumbo. roho haina umbo lakini ikiamuliwa yaweza ishi ktk umbo lolote likapata uhai. mfano binadamu. shetani nae kaeiga anatumia vitu kama vinyago. (sorry natumia phone siwezi kumwaga sana) ila kumalizia hila za rusifa ni kuwahadaa binadamu mpaka kujikuta wanamkufuru MUNGU BILA WAO KUJIJUA. Ntakupa mfano japo wapo wale watakaopinga. rozali ni kinyago au mdoli kama mingine. hicho kinyago kilichopo kwenye msalaba wa rozari SIO YESU NA WALA HAKIFANANI NA YESU lakini wakatoriki wanavyokiabudu tena wamekitundika kwenye makanisa yao DAA.... KINGINE NI CHA BIKIRA MARia. nani kawaambia mkipigie magoti. WAPI KATIKA BIBLE. hapo shetani kawapiga bao mana mnamkufuru mungu bila kujijua
Mh! sidhani, midoli nimelala nayo yapata miaka kumi sasa lakini sijaona chochote, hizo ni stori tu!