Vinyago/midoli vina roho

Vinyago/midoli vina roho

. View attachment 703387
very_strange_doll.jpg
 
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
si hivyo tu,hata haya mapicha tunayobandika ukutani katika nyumba zetu sio mazuri,nilikuwa na shemeji yangu anasumbuliwa na majini kila masheikh wakija kumwombea anapona wakiondoka tu yanarudi,kuna siku akaja sheikh mmoja kumsomea dua alivyoona sebule imejaa mapicha akaomba picha zote ziondolewe kwanza,zilipoondolewa zile picha,akaanza kusoma dua yale majini yakaanza kulalamika kuwa yameondolewa maficho yao
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
tapatalk_1523470979960.jpeg
 
si hivyo tu,hata haya mapicha tunayobandika ukutani katika nyumba zetu sio mazuri,nilikuwa na shemeji yangu anasumbuliwa na majini kila masheikh wakija kumwombea anapona wakiondoka tu yanarudi,kuna siku akaja sheikh mmoja kumsomea dua alivyoona sebule imejaa mapicha akaomba picha zote ziondolewe kwanza,zilipoondolewa zile picha,akaanza kusoma dua yale majini yakaanza kulalamika kuwa yameondolewa maficho yao
Kuna huu mtindo wa kuchora mapicha ya ajabu kwenye kumbi za starehe.... Ukifika usiku huwashwa taa za kufifia na mziki mnene.. Basi majini wachafu na maruhani wote huhamia hapo
 
Huwa tunafuga majini, vinyamkera, madogoli na roho chafu majumbani kwetu bila kujua. Tunanunua vinyago na midoli ya gharama kwa ajili ya kupendezesha sebule zetu na wakati mwingine kama kampani vitandani mwetu...

Hatutishani lakini ni hatari, vina roho hivi vitu!

Wengi wetu tumeshawahi kuona zana za waganga wa kienyeji na wachawi, hawakosi vinyago na midoli, pia tumeshawahi kuona wale wenzetu waabuduo miungu wana masanamu mengi sana...! Yale yote yamebeba roho na ndio hizo wanazoziabudu.

Kuna roho zinatangatanga duniani hazina makazi baada ya majumba (miili) yao kuharibika (kufa) hivyo huwayawaya huku na kule zikitafuta makazi. Kwa kuwa roho haiwi na nguvu mpaka ipate pa kukaa. Sasa ndugu yangu unajaza midoli nyumbani au kwenye gari au ofisini unavutia na kukaribisha mapepo.

Zipo shuhuda mbalimbali za watu waliofanyiwa mambo au kuona mambo ya ajabu kutoka kwenye midoli na vinyago....

Punguza kuhifadhi hivi vitu vyaweza kuwa na roho zenye madhara makubwa..
IMG_20180411_220056_700.JPG
hii bila hata kuuliza inaonesha kabisa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna hii midoli kama huu, ubavu wangu alienda huko Egypt akarudi nao kama souvenir, ni mzito ni wa chuma flan hivi na alama ya nyoka hapo juu. niliambiwa sijui ni Pharaoh. Tatizo upo chumbani kwetu tena juu ya kabati oposite na kitanda, kila tukilala unatuangalia. Sasa mimi huwa unanikosesha amani kabisa kila nikiuangalia nakosa amani kabisaa ila kuutoa na kuuhamisha siwezi maana itazua ugomvi, Hapo vipi Mshana, hii ni alama tu ya kawaida ya Pharaoh kweli maana mi sina amani nao kabisa.
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    12.1 KB · Views: 23
Back
Top Bottom