YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hivi bonge hskukudukua kweli?[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe akiongea anatoa cheche za moto! Kakalia kitanda peke yake tu chalia kakakaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bonge hskukudukua kweli?[emoji28]
Mnigeria vipi kasitisha kukuubilia [emoji23]
Na bahati yako hukunywa kinywaji au kurudi maana ile siku ya kwanza alikupa pesa for free ili akusogeze, next time ungeenda ungeshtuka kesho asubuhi huku ukiwa juu ya kifua cha bonge 😄Sauti ya radi anatisha mweusi km usiku wa balaa sema pesa nilikuwa naichukua uku naogopa!! [emoji1787][emoji1787]
Hahah..mi nshakwambia wewe unazo nondo kibao ila unazibaniaUnafukunyua ili tu nikupe muendelezo [emoji3]
Na bahati yako hukunywa kinywaji au kurudi maana ile siku ya kwanza alikupa pesa for free ili akusogeze, next time ungeenda ungeshtuka kesho asubuhi huku ukiwa juu ya kifua cha bonge [emoji1]
Hii noma sasa 😆Kuna siku ilkua kidogo niondoke na dem wa jamaa tena kwa kutumia gari yake [emoji28][emoji28]
Ilkua hivi pale tengeru Arusha Kuna sehemu kume waka iyo siku tumeenda na jamaa yangu .tume fika tume kaa hapo tuna kunywa taratibu me na mtindo wa K vant iki kolea na weka pilipili mzuka una panda.
Sasa kuna jamaa mwigine tuli mkuta alkua ame kaa pembeni yetu yuko na pisi yake ,alivyo ona meza yetu ina vibe afu hatuna fujo waka hamia apo .while tuna kunywa mdogo mdogo ,jamaa alivyo ona nme mix pili pili akaomba ajaribu kumbe ni kichwa cha kuku .
kilicho fata ni kelele tu jamaa alkua ana ng'ang'ania bia zote anywe yeye , dem wake nae kachangamka mimi sielewi hadi na romance na dem wa jamaa ye kakimbilia counter ukoo
kufupisha ni nilkua sha ondoka nae kabisa hadi kweny gari . sijui kili tokea nini tuka zima humo humo kwenye gari kati kati ya kuchombezana . asubuhi tuna amka tuko wote plus yule jamaa na mwanangu tume lala kwenye gari hadi leo sikumbuki wala jamaa angu akumbuki tuli fikaje wote mule [emoji28][emoji28]
Kuna watu wanikunywa kama chaiPombe sio chai
Kuna wale wanaoshindana na pombe na mshindi n pombe alwaysKuna watu wanikunywa kama chai
kuna wale wanafikaka bar wanaifunga yani wanalipia crate zote na kufukuza watu bar inafungwa wanabakia wao tu na wadada watakao wapenda dadekiKuna wale wanaoshindana na pombe na mshindi n pombe always
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DahNakumbuka nilipiga vitu baada ya kurudi home around sa 11 alfajiri nikataka nmpigie mtu nimpe maelekezo ili ni pumzike. Nikatype namba fresh kupiga sasa ikawa mziki. Sioni green icon ya kupiga instead naona + na -. Nikaona kii plus ndio yenyewe naponyeza wapi, kumbe nipo kwenye calculatorView attachment 2627609
Hiyo hatarikuna wale wanafikaka bar wanaifunga yani wanalipia crate zote na kufukuza watu bar inafungwa wanabakia wao tu na wadada watakao wapenda dadeki
Hizo Arusha na Kahama kwa wachimbaji huko ndo zipo sanaHiyo hatari
😁😁Bwege wewe sio kama nililala au ilinizidia hapana sema nilikua nafanya vtuko najiamini afu kamwili kadogo nabshana na vidali saa 8 usku nikieudisha chenji ile mbaya nilitaka niondoke na malaya tena yule nngeoga kavukavu mungu n mwema demu akinikataa nakuja kuoneshwa vdeo za jana yaKeHope ilikuwa ni chips kavu tu yai halikupasuliwa
Hahahah😁😁Bwege wewe sio kama nililala au ilinizidia hapana sema nilikua nafanya vtuko najiamini afu kamwili kadogo nabshana na vidali saa 8 usku nikieudisha chenji ile mbaya nilitaka niondoke na malaya tena yule nngeoga kavukavu mungu n mwema demu akinikataa nakuja kuoneshwa vdeo za jana yaKe
Hahahahah😁😁Bwege wewe sio kama nililala au ilinizidia hapana sema nilikua nafanya vtuko najiamini afu kamwili kadogo nabshana na vidali saa 8 usku nikieudisha chenji ile mbaya nilitaka niondoke na malaya tena yule nngeoga kavukavu mungu n mwema demu akinikataa nakuja kuoneshwa vdeo za jana yaKe