sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna demu ni chizi fresh anapenda pombe sana..
Meno yameungua sura imechoka kwa pombe hakuna hata mwanaume atamkubali.
Niko na mshkaji klabu tumewaka kinoma!
Akatokea yule manzi kiukweli sio type yetu ila kipombe pombe tukamwita basi tu ili tumpe pombe asepee zake!
Kunywaaa pombe balaaa baadae akaanza kunipapasa mboh!!!
Nambonyeza msela ona huku huyu dem!tunachekaaa tuu
Mara dem akaingia chini ya meza akatoa mjegeja akaanza kuula..KHAA na yale mapengo yake raha sio ya nchi hii..
Si nikamwambia atangulie kwenye gari bana..nikamfata kisiri siri watu wasione!
Nikalaza siti nkamwambia akalie kwa juu.
Ile amezamisha tu askari hawa hapa.hahaha
Askari akawa anamwinua yule dem na rungu kama anampiga jeki huku anasema wanatombaana kweli asee!!hahaha Wakamtimua huku wananinanga daahh jamaa vipi ni mganga amekutuma nini adi unapiga mzoga..
Sababu wananijua na waliona nimelewa wakaniachia..
Hadi leo nikikumbuka lile tukio najihisi aibu sana hata kama nimekaa mwenyewe tuu.