Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Hm..sawa.
Umenikumbusha namimi mzee wangu alikua mnywaji mzuri tena anapiga hasa ila akija home huwezi muona anayumba yumba.
Macho yanakua nyanya tu.
Matukio yake sasa nisiyaseme kwa heshma yake. 😀
Mimi mzee hakua mzinguaji....sikuwai muona akiyumba yumba pia..

Mother hakupenda kabisa na alikua anachukia sana unywaji NDIO kisa Cha Mimi kuchukua POMBE na sipendagi kabisa....
 
Nililikata jibapa, tena dry, yule mhudumu akaja kuniuliza "kaka nikuongeze nyingine"? Nilimwambia tu pumbavu! we unafikiri ni chai ya maziwa hii?! Baada ya hapo nakumbuka tu nilijikuta nipo naye chumbani nampa mikito ya hatari pembeni yangu kuna chupa tatu za maji ya kunywa makubwa na saint Anne moja kwaajili yake. Ila sura yake ilikuwa ni ngumu kiasi kwamba kama sio kilevi nisingethubutu kum**mba yule chuda
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mimi mzee hakua mzinguaji....sikuwai muona akiyumba yumba pia..

Mother hakupenda kabisa na alikua anachukia sana unywaji NDIO kisa Cha Mimi kuchukua POMBE na sipendagi kabisa....
Bi mkubwa wangu alimpigia maombi, hadi mwisho wa siku mzee anafariki si mnywaji tena, na akisikia harufu ya pombe anaumwa
 
Inaongeza kujiamini ata km mzigo mkubwa unaona kawaida tu haunitishi, unapiga hadi shilingi inazama meli inaelea ukisindikiza na paka chongo [emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna ile moment umeshiba, upo unachek game ya timu yako pendwa weekend huku unagonga chupa zako za serengeti lager, unatoka hapo unaenda kwa mtoto mzuri lile bao huwa unajihisi uko peponi
 
Kuna demu ni chizi fresh anapenda pombe sana..
Meno yameungua sura imechoka kwa pombe hakuna hata mwanaume atamkubali.
Niko na mshkaji klabu tumewaka kinoma!
Akatokea yule manzi kiukweli sio type yetu ila kipombe pombe tukamwita basi tu ili tumpe pombe asepee zake!
Kunywaaa pombe balaaa baadae akaanza kunipapasa mboh!!!
Nambonyeza msela ona huku huyu dem!tunachekaaa tuu
Mara dem akaingia chini ya meza akatoa mjegeja akaanza kuula..KHAA na yale mapengo yake raha sio ya nchi hii..

Si nikamwambia atangulie kwenye gari bana..nikamfata kisiri siri watu wasione!
Nikalaza siti nkamwambia akalie kwa juu.
Ile amezamisha tu askari hawa hapa.hahaha
Askari akawa anamwinua yule dem na rungu kama anampiga jeki huku anasema wanatombaana kweli asee!!hahaha Wakamtimua huku wananinanga daahh jamaa vipi ni mganga amekutuma nini adi unapiga mzoga..
Sababu wananijua na waliona nimelewa wakaniachia..
Hadi leo nikikumbuka lile tukio najihisi aibu sana hata kama nimekaa mwenyewe tuu.
 
Kuna ile moment umeshiba, upo unachek game ya timu yako pendwa weekend huku unagonga chupa zako za serengeti lager, unatoka hapo unaenda kwa mtoto mzuri lile bao huwa unajihisi uko peponi
Ukiachana na hili kuna lile bao ukiwa umetoka ku smoke, smokers wanalielewa hiyo raha yake ni mara kumi ya hili la juu
 
Bi mkubwa wangu alimpigia maombi, hadi mwisho wa siku mzee anafariki si mnywaji tena, na akisikia harufu ya pombe anaumwa
Maombi yananguvu sana trust me naogopaa sana kuja kufuata mkondo....
Najichunga sana datc nasema pombe sio Tatizo Tatizo ni overdrinking
 
Pombe Ina sheria zake. Moja ule chakula, maji kabla hujaanza kunywa. Unywe kwa starehe sio kwa sifa au kukomoa. Hakuna kitu kitamu kama bia unakunywa taratibu vibe linaingia taratibu unaenjoy sana. Halafu lazima uwe na Kipimo sio unafakamia tu.
True
 
Yule mwanamke akilewa huwa nafanya na kwa Raha Sana, minyege na uchangamfu sio wa nchi Hii, Kuna show huwa ananipa nabaki mdomo wazi.

Kwa kifupi mamaJ kilewa,
Yeye ndo huwa ananipelekea Moto
Hanipi pumzi kabisa, Ni mpela mpela mwanzo mwisho[emoji1]
Irudiwe....
😊😊😊🤓🤓
 
Yule mwanamke akilewa huwa nafanya na kwa Raha Sana, minyege na uchangamfu sio wa nchi Hii, Kuna show huwa ananipa nabaki mdomo wazi.

Kwa kifupi mamaJ kilewa,
Yeye ndo huwa ananipelekea Moto
Hanipi pumzi kabisa, Ni mpela mpela mwanzo mwisho[emoji1]

Na usiombe mwanamke akupelekee moto mbona pumbu zitapata pancha [emoji39]
 
Back
Top Bottom