Inayoaribu zaidi Mkuu ni kuokota okota......., Mimi nikiwa club nikaweka bapa langu moja lazima niokote pic moja kali, iwe ni malaya iwe nani ila lazima nibebe[emoji3][emoji3]
Sema namshukuru Mungu sijawahi lewa mpaka kubeba pic mbovu yaani nikiamka asubuhi nakuta ni vitu vyangu hivi na lazima game ya kuagana irudiwe baada ya chai.....
Hata hyo kwenda kwa malaya ilitokea maana siku hyo nilitega mtoto kwenye club flan hivi maarufu nikapata mmoja akanywa savana zangu za kutosha halafu baadae akachukukuliwa na msela wake......, Nakumbuka huo ugomvi uliamualiwa na walinzi[emoji28][emoji28][emoji28] nikaona isiwe kesi nikamfata Bodaboda nikamuuliza wapi napata malaya fresh akanichukua kunipeleka kwa malaya......., Asubuhi kuamka kujisachi nina buku 3 tuu na wakati nilienda club na 120k[emoji58][emoji58] mpaka leo club sijarudi wachaa niishie kwenye grocery zikichanganya namla bar maid chooni naenda kulala