Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Inayoaribu zaidi Mkuu ni kuokota okota......., Mimi nikiwa club nikaweka bapa langu moja lazima niokote pic moja kali, iwe ni malaya iwe nani ila lazima nibebe[emoji3][emoji3]

Sema namshukuru Mungu sijawahi lewa mpaka kubeba pic mbovu yaani nikiamka asubuhi nakuta ni vitu vyangu hivi na lazima game ya kuagana irudiwe baada ya chai.....

Hata hyo kwenda kwa malaya ilitokea maana siku hyo nilitega mtoto kwenye club flan hivi maarufu nikapata mmoja akanywa savana zangu za kutosha halafu baadae akachukukuliwa na msela wake......, Nakumbuka huo ugomvi uliamualiwa na walinzi[emoji28][emoji28][emoji28] nikaona isiwe kesi nikamfata Bodaboda nikamuuliza wapi napata malaya fresh akanichukua kunipeleka kwa malaya......., Asubuhi kuamka kujisachi nina buku 3 tuu na wakati nilienda club na 120k[emoji58][emoji58] mpaka leo club sijarudi wachaa niishie kwenye grocery zikichanganya namla bar maid chooni naenda kulala
😂😂😂😂😂😂
 
Enzi za viroba kuna siku baada ya kumaliza pepa chuo nilitandika viroba vya Konyagi mixer Viroba vya burudani vya kutosha kurudi geto usiku nikakojoa kwenye sufuria nimekuja kushtuka saa 8 mchana sufuria imejaa mkojo, kweli pombe ukiizidisha kweli inakuwa soo
Hahahahahaa..wee noma, kuna clip ilisambaa ya mwamba alikua anakojoa seblen kwenye home party watu wamejaa wanamshangaa
 
Nakumbuka nilipiga vitu baada ya kurudi home around sa 11 alfajiri nikataka nmpigie mtu nimpe maelekezo ili ni pumzike. Nikatype namba fresh kupiga sasa ikawa mziki. Sioni green icon ya kupiga instead naona + na -. Nikaona kii plus ndio yenyewe naponyeza wapi, kumbe nipo kwenye calculatorView attachment 2627609
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣😂🤣😂
 
Hakunaga urafiki kati ya ke/me ni km kutembelea mua ipo siku utakate ule
Lakini wewe mroho sana...ukamnyang'anya bonge 50k yote bila kumrudishia hata fungu la kumi??😂
 
Lakini wewe mroho sana...ukamnyang'anya bonge 50k yote bila kumrudishia hata fungu la kumi??[emoji23]

Sauti ya radi anatisha mweusi km usiku wa balaa sema pesa nilikuwa naichukua uku naogopa!! [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom