Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Sauti ya radi anatisha mweusi km usiku wa balaa sema pesa nilikuwa naichukua uku naogopa!! [emoji1787][emoji1787]
Na bahati yako hukunywa kinywaji au kurudi maana ile siku ya kwanza alikupa pesa for free ili akusogeze, next time ungeenda ungeshtuka kesho asubuhi huku ukiwa juu ya kifua cha bonge 😄
 
Hii noma sasa 😆
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah
 
Hope ilikuwa ni chips kavu tu yai halikupasuliwa
😁😁Bwege wewe sio kama nililala au ilinizidia hapana sema nilikua nafanya vtuko najiamini afu kamwili kadogo nabshana na vidali saa 8 usku nikieudisha chenji ile mbaya nilitaka niondoke na malaya tena yule nngeoga kavukavu mungu n mwema demu akinikataa nakuja kuoneshwa vdeo za jana yaKe
 
Hahahah
 
Hahahahah
 
Chanzo cha yote ni pombe. Picha limeanza unarudi uko vibe kama lote kwanza nyumba unayokaa umefika kwa shida na kuna muda ulipasahau ukapata msamaria akakuleta. Kuingia ndani tu mama mwenye nyumba huyu hapa, unaanza kuongea naye unamshawishi akuongezee kodi ya nyumba.

Mikasa ya pombe ni kama bilioni 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…