Maswali yaliyoenda shule![emoji23]kuna haka kamoja ndo balaa kabisa,
mama: itabdidi uhame chumba umeshakuwa mkubwa, kitanda hakitutoshi watatu!!
mtoto: kwani mi na baba nani mkubwa?
mama: baba......
mtoto: basi baba ndo ahame yeye ndo mkubwa kuliko mimi!!!!!!
mama alikosa jibu. watoto burudani sana aisee, mnaweza mkawa mnacheza naye anacheka lakini ndani ya dakika moja akaaza kulia unashindwa kuelewa imekuwaje.
Mtakua mnafanana tabiamtoto wa sister angu akisikia nyimbo ya hainaga ushemeji hata kama kalala anaamka kisha atacheza
poleeeTuliotelekeza mimba haituhusu hii
Naenjoy sana, sipati picha huko mtaani lione wababa wanamuongelesha mama yake.... Litakua linanuna sana hili toto languwanaume wana wivu sana,, naanza kugundua watoto wakiume wanawivu sana natural,,, hope una enjoy kulea mkuu!! Huoni kero
Wanaume mnaojihusisha na mambo ya jinsia moja huwa mnajishtukia sana, sasa mwanaume rijali uliezalisha ukijisifia kuhusu mtoto wako nao sio uanaume? Haya tukupishe ww umsifie bwana wakoMada kama hii huwa zinaletwa na wanawake halafu wanaume ndio wanachangia.
Sasa kidume mzima unajipinda unaanzisha uzi kama huu....!!!!
Unatukosea sana wanaume wenzako.
Ahahahahahh unataka tufananaje? 100% naamini wangu mtoto sio mpaka mufanane sura kuna baadhi ya viungo lazima muendane japo amepelekana na mama ake kisuraHamjafanana...umebambikiwa
Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.
Jamaniii she loves you mpaka anatamani umuoe (anajua mtaishi milele) mpende sana mwanao
πππ atakuwa kinara wa migomo kama atabahatika kufika chuo kikuu.Huyo atakuja kuwa kiongozi wa migomo mingi huko mashuleni
Dogo mDaDisi sana huyu, NimempenDa buree kabisaaAisee mie sitaki hata kukumbuka,mwanang alikuwa mtundu balaa at least sasa hivi nimepumua,wakati akiwa na miaka mitano akiwa shuleni (boarding) sijui alitoa wapi mfuko ule wa Salfeti akawachukua watoto wadogo watatu akawafungia kwenye mfuko halaf akawaambia atakayepiga kelele namchapa viboko,akatoka akaenda kucheka bahati nzuri mwalimu akapita pale akaona mfuko unacheza cheza akashangaa kuufungua akakuta watoto walishaanza kuchoka, huku na huku nani kafanya hivi wakamtaja,mwalimu wake ananipigia simu mwanao leo kafanya kosa hili yaani nliishiwa pozi, nkaenda shuleni kwao namuuliza akanambia ahaa niliwaweka watulie maana walikuwa wanasumbua,siku nyingine karudi likizo niko kazini , akaweka Cd tano kwenye radio inayobeba cd tatu, nilivyorudi kanipokea getini akanambia yaani Mom radio yako imegoma kabisaa kuimba leo ahaa itakuwa ulinunua radio ya kichina,nafungua pale kaweka cd kushinda uwezo na sijui alichokonoa nn radio ikafa kabisaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sikubali hakyanani sikubali namfata mwanangu , mama mkwe ntakulipa tu mahari yako nirudishie mke wang na mwanang , ona sasa mi nitaeleza nini hapa' mke wang toka amejifungua huu mwezi wa pili umeisha bado unawang'ang'ania tu aaaaagrahhh!!!???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hili toto langu la kiume la mwaka mmoja halipend niwe karib sana na mama yake, hata tukikumbatiana tu mbele yake linaanza kulia, kituko chake kikubwa mkianza kugegedana ni lazima lishtuke na linaanza kunitoa nisiwe juu ya mama yake
Ebhana utanivunja Mbavu aseeh..Wangu alikuwa halali mpaka awe amenusa nusa chupi yake chafu.
Hahahaha haya bwanaDogo mDaDisi sana huyu, NimempenDa buree kabisaa
Same thing I Was thinkingmpaka kufikia page hii ya tatu, inaonekana watoto wengi wa siku hizi wanapenda sana simu, naendelea kusoma.