Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Aisee mie sitaki hata kukumbuka,mwanang alikuwa mtundu balaa at least sasa hivi nimepumua,wakati akiwa na miaka mitano akiwa shuleni (boarding) sijui alitoa wapi mfuko ule wa Salfeti akawachukua watoto wadogo watatu akawafungia kwenye mfuko halaf akawaambia atakayepiga kelele namchapa viboko,akatoka akaenda kucheka bahati nzuri mwalimu akapita pale akaona mfuko unacheza cheza akashangaa kuufungua akakuta watoto walishaanza kuchoka, huku na huku nani kafanya hivi wakamtaja,mwalimu wake ananipigia simu mwanao leo kafanya kosa hili yaani nliishiwa pozi, nkaenda shuleni kwao namuuliza akanambia ahaa niliwaweka watulie maana walikuwa wanasumbua,siku nyingine karudi likizo niko kazini , akaweka Cd tano kwenye radio inayobeba cd tatu, nilivyorudi kanipokea getini akanambia yaani Mom radio yako imegoma kabisaa kuimba leo ahaa itakuwa ulinunua radio ya kichina,nafungua pale kaweka cd kushinda uwezo na sijui alichokonoa nn radio ikafa kabisaaaa
Atakuja kuwa Iddi Amini huyo.
 
Mie nimeipaka juzi juzi tu hapo. Nayo ishachorwa zamani. Patterns na days na dates.
Suluhisho ni kupaka rangi washable. Silk au water guard. Wakichora unaweza kufuta.

Bora umenipa akili mumy
 
Mwenzenu ukuta ushaanza kuwa ubao, hapa nijiandae tu lita kadhaa za rangi...
 

Attachments

  • IMG_20170615_120940.jpg
    IMG_20170615_120940.jpg
    68.7 KB · Views: 60
namba 3 hiyo....simu ya wyf daaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mi wangu miaka 3 now....nilimnunulia baiskeri tulilala saa nane usiku siku hiyo....anaendesha chumbani....mbaya zaid anataka muwe wote...akikwama umsaidie kumgeuza#nakupendamwanangu#
 
Kama ni nyumba ya kupanga andika maumivu zaidi maana mwenye nyumba akijua ni hatari sana.

Kweli mkuu, yaan hapa kabla sijahama nitahakikisha naipaka rangi. Hapo ni intro sasa kila nikirudi home panaongezeka...

Tatizo huwa hawakubali kuandika eneo moja, let say unampa ubao ataandika ubaoni baadae atasahau atarudi mule mule
 
mtoto wa rafiki yangu 4yrs mda wote yeye ni kuangalia katuni ila akimuona mama yake tu anabadilisha station anaweka sinema zetu ili apate chance ya kucheza game kwenye simu ya mama ake
 
[emoji23][emoji23]
mimi nmelea watoto wengi.
jamani huyu mmoja alikua ananiimbia Dar mpaka moro, Anakwambia "Wapi Dar mpaka Bo.ro" [emoji23]
akila anakwambia baba unato
mba mboga (unakomba mboga) mama anaondeza tu(anaongeza)[emoji23][emoji23]

sasa hivi yuko secondary mbaba, mwingine yuko Darasa la 5 mdada
 
Back
Top Bottom