Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hako University kataongoza migomo sana.
 
Wa kwangu amewahi niambia hampendi mzee Mag... Ana sura ngumu baada ya kumuona TBc
 
Wa kwangu atatimiza 4yrs next month. Ananipenda sana na mm nampenda sana.
Utundu umepitiliza. Kuta zote zimechafuliwa kwa kuchorwa ni hatari.
 
Wangu alichukua mtihani kuja kufanya nyumbani dada amsahishie mbona kila Siku huwa anamsahishia zoezi basi na mtihani asahishe.
Doto anamwambia baba sisi wanaume au wanawake kama mama?baba akajibu wanaume anamwambia sasa si uje ulale huku chumbani kwa wanaume mbona unalala chumbani kwa wanawake!
 
Watoto wana vioja na story nyingi sn na huo ni wkt mzuri sn wa kumsoma mtoto wako na kuchukua hatua za kumsaidia
 
Nilivyoona hii picha nikakumbuka vituko vya humu[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • 1497613262602.jpg
    74.3 KB · Views: 74
Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.
Sijajua ila naisi ni naniliuuu ana aleji nae[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Baba analala Na wanawake Sio? Dogo jiniaz
 
Wa kwangu akiwa na 3yrs nilikuwa nampeleka sehemu akabembee, tukiwa njian kuna jamaa akanipigia simu tukaongea, katika maelezo yangu sijui aliniuliza nini nkamwambia nipo njian nampeleka dogo sehemu akachezecheze, baadae yamepita masaa kama manne hivi tukiwa njian tunarudi akaniukiza swali, eti baba kwani mimi naitwa nani? Nkamwambia Joyce, akaniuliza sasa mbona mda ule uliniita dogo? Hahahha, loh, nilikuwa mpole kama piriton
 
Usiwaze vibaya my dearmuombee mtoto,mtoto wa like haina kubwa,hawezi kukuuza hata iweje,wanazaliwa namfupa kwenye nguvu ya uchungu wa uzazi
 
Wangu ni wa miezi 3 sasa , kanapenda starehe sana, anapenda abebwe na uwe unafanya safari. Akishiba anapenda sana kucheka, njaa ikimuuma hana urafiki na mtu ni mwendo wa kulia. Anapenda kutazama video au kukaa nje aone mwanga.
 
Mimi wangu nilimkata mwenyewe na kiwembe akiwa na siku 40
 
Nina watatu hao hao wawili hawana shida. Wa kwanza yy mpole sana na anapenda kusali,wa pili wa kiume hapendi kabisa kusali wkt wa kulala akisikia mda wa kusali anaanza kulegea mara achuchumae cha kuchekesha zaidi mwenzake huyo wa kwanza 5 yrs akianzisha sala basi yy anamfanyia alama ya dole huyu dogo ana miaka 3. Wa tatu yy ni seven months yani huyu mtt toka azaliwe siku alipoanza kuoga akishaoga hataki kuvaa kabisa analiaaa basi nikajua labda sababu ni bibi yake ndo anamvalisha kumbe ni katabia mpk leo akivuliwa nguo akioga anatuliaa sasa kimbembe wkt wa kuvaa. Lol ila raha Mungu nashukuru kwa uzao.
 

amelilia peni na daftari mpaka nimempa daftar langu muhimu alichoandika sasaaa
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…