Dogo atakuja kuwa mtumishi wa Mungu. Ameishafahamu nguvu zaidi ya binadamu.Nimkatalia kitu Baraka na kumwambia "no yo can't have it" yeye anageuka naa kuniambia "when Jesus says yes nobody can say no" Ikabidi nimpe!
Umenikumbusha mbali sana.Me wangu ana shoo yakubeba makororo yake ya ovyo anayochezea na wenzie unakuta kayajaza sebuleni eti wenzie wasimuibie akiweka nje,,,,
Huyu dogo an 3Yrs
#1. Siku moja aliniambia "Baba nataka kuolewa"... Nikamuuliza unataka kuolewa na nani akanijibu " na wewe"..... Nikapigwa na butwaa.
#2. Siku nyingine akaniambia "Baba nina mimba".... Nikajifanya kama sijamsikia.
#3. Siku nyingine akaja na ua anaiambia "Baba ua la bibi harusi".
#4. Siku moja nilienda naye nyumbani akamuuliza baba yangu " Babu wazazi wako wapi?.... Baba akamjibu " wamefariki"... Dogo akasema "unaishi vipi bila ya wazazi".
Hayo ni machache
Wangu ni 3yrs now amewah kuniuliza nilimtoa wapi nkamdanganya nilimnunua dukan akakaa kimya kama dk 3 akanirushia swali tena "sasa baba mbuzi anapata wapi hela ya kununua mtoto".nlijikausha kama vle cjamsikia bahat nzur mama yake akamwita akanywe maziwaWatoto katika hatua zao za ukuaji na kujifunza wanakuwa na mambo flani flani ya kufurahisha sana yaani mwanao anaweza kukuvunja mbavu balaa.
Mfano
1. Mwanangu (1.5years) anaweza kuwa anatazama TV akisikia unaongea na simu au umeweka music kwenye simu anakimbia kuja kuangalia simu hata kama TV ilikuwa na TV program ya katuni nzuri kiasi gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
2. Ukitaka alale we nenda kitandani weka music kwenye simu yako atakuja mwenyewe hata kama alikuwa anakwepa kulala[emoji23]
3. Anaheshimu simu yangu kama kituo cha polisi ila ya mama yake kashaipasua ukiiona utajua mama yake anafanya kazi idara ya miamba (geology)[emoji23]
4.Kupenda safari akiona mtu anatoka tu anaanza kuaga bye bye akijua nayeye anahusika na safari[emoji23] [emoji23]
5. Chakula kikiwa tayari, kabla sijaitwa kula yeye akiona mambo yako tayari anakuja kunipigapiga mgongoni(hajajua kuongea) akiashiria msosi tayari basi ukipotezea anaenda anarudi mpaka utakapoinuka[emoji23] [emoji23]
6. Mwanangu anatabia flani kama wivu, akiona naongea na mama yake mara nimemshika mkono tunaongea kama jambo la siri anakuja fasta analia anataka mama yake ambembe[emoji23]
Nadhani hajajua kwamba mama yake ni mke wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ni baadi ya vituko vya watoto mdau ongeza vya mwanao
Watoto wanaleta raha sanaaa
View attachment 521347
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wangu ni 3yrs now amewah kuniuliza nilimtoa wapi nkamdanganya nilimnunua dukan akakaa kimya kama dk 3 akanirushia swali tena "sasa baba mbuzi anapata wapi hela ya kununua mtoto".nlijikausha kama vle cjamsikia bahat nzur mama yake akamwita akanywe maziwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Were mtoto nani kakhukwaruza hapa karibu na jicho?
Sijui.
Wangekutoboa jicho!
Shindwa baba sitoboki jicho. (5 yrs)