City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Kuna watu huwa wanakera sana kwa uharibifu wa ufupisho wa majina.
The Same na wakwangu ananiita baba malu Kama anavyoniita mama ake, kenyewe kanaitwa Marcus sasa kitaani wakalitohoa jina na kumuita malu kwa kifupi