Viongonzi wa vyama vya upinzani mnafanya kazi nzuri ila kuna sehemu mnakwama kama sio kukosea.

Viongonzi wa vyama vya upinzani mnafanya kazi nzuri ila kuna sehemu mnakwama kama sio kukosea.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Happy new year .

Leo napenda kutoa ushauri mdogo Kwa vyama vya siasa hasa Chadema ambao wamekuwa wakipambana na kujaribu kuingia madarakani.


Katika siasa kinachohitajika zaidi sio Good plan pekee bali na good strategies .

Mbinu nzuri na mipango mizuri , kila uchaguzi huwa nafatilia na kusoma manifesto mbali mbali ikiwemo ya Chadema , niseme tu ukweli Chadema ilani yao huwa inakuwa nzuri sana .


Ila chadema wanachokihitaji Kwa sasa na katika nyakati hizi ni zile siasa Kama za 2010-2015 chini ya Dr Slaa .

Je zilikuwa ni aina gani za siasa ?

Za Kuzungumzia maslahi ya wananchi ambayo yanawagusa moja Kwa moja wapiga kura.

Mfano
Ajira
Hali ya maisha
Miundombinu
Afya
Elimu.

Sera hizi ndo sera bora ambazo ukizungumzia mtu anajihisi unamzungumzia yeye .

Dr Slaaa alifanikiwa Sana hapa.

Lile wimbi la lowassa (RIP) it was nothing kwa wananchi Ila Kazi kubwa aliifanya Dr Slaa .


Kuzungumzia Demokrasia na Katiba Mpya ni muhimu Ila asilimia kubwa ya Watanzania Hawaelewi Demokrasia ni nini na Katiba ina umuhimu gani .


Katika kufanya Mass mobilization kaeni chini muangalie namna ya kurudisha hali za watu kuwaunga mkono Kama ilivyokuwa 2010-2015.


Wapiga kura na wafuasi wengi ili kuwafanya kuwa upande wako ni kuongelea zaidi interest zao.

I remember kupitia operation mbali mbali chini ya Dr Slaa kuna mambo Chadema ilifanikiwa Sana na ilikuwa haina haja ya kumchukua Lowassa ili kuongeza namba.


Ili mtu aweze kuandamana , kukupigia kura na kuwa mfuasi wako lazima awe na ufahamu wa kile anachopambania.


Unfortunately hauwezi ukaongelea haya mambo katika kampeni ambazo huwa zinadumu muda mfupi Sana .
 
Chadema ni Kikundi cha Wala Ruzuku Hakunaga Siasa inafanyika pale 🐼
 
Happy new year .

Leo napenda kutoa ushauri mdogo Kwa vyama vya siasa hasa Chadema ambao wamekuwa wakipambana na kujaribu kuingia madarakani.


Katika siasa kinachohitajika zaidi sio Good plan pekee bali na good strategies .

Mbinu nzuri na mipango mizuri , kila uchaguzi huwa nafatilia na kusoma manifesto mbali mbali ikiwemo ya Chadema , niseme tu ukweli Chadema ilani yao huwa inakuwa nzuri sana .


Ila chadema wanachokihitaji Kwa sasa na katika nyakati hizi ni zile siasa Kama za 2010-2015 chini ya Dr Slaa .

Je zilikuwa ni aina gani za siasa ?

Za Kuzungumzia maslahi ya wananchi ambayo yanawagusa moja Kwa moja wapiga kura.

Mfano
Ajira
Hali ya maisha
Miundombinu
Afya
Elimu.

Sera hizi ndo sera bora ambazo ukizungumzia mtu anajihisi unamzungumzia yeye .

Dr Slaaa alifanikiwa Sana hapa.

Lile wimbi la lowassa (RIP) it was nothing kwa wananchi Ila Kazi kubwa aliifanya Dr Slaa .


Kuzungumzia Demokrasia na Katiba Mpya ni muhimu Ila asilimia kubwa ya Watanzania Hawaelewi Demokrasia ni nini na Katiba ina umuhimu gani .


Katika kufanya Mass mobilization kaeni chini muangalie namna ya kurudisha hali za watu kuwaunga mkono Kama ilivyokuwa 2010-2015.


Wapiga kura na wafuasi wengi ili kuwafanya kuwa upande wako ni kuongelea zaidi interest zao.

I remember kupitia operation mbali mbali chini ya Dr Slaa kuna mambo Chadema ilifanikiwa Sana na ilikuwa haina haja ya kumchukua Lowassa ili kuongeza namba.


Ili mtu aweze kuandamana , kukupigia kura na kuwa mfuasi wako lazima awe na ufahamu wa kile anachopambania.


Unfortunately hauwezi ukaongelea haya mambo katika kampeni ambazo huwa zinadumu muda mfupi Sana .
Chadema kujipiga kifua mitandaoni kwamba eti sijui itashinda uchaguzi wapi na wapi na kuporomosha matusi mazito mazito kwa wenye maoni tofaut na yao mitandaoni hapajawahi kuisaidia chadema hata kidogo, bali kumewaumiza sana kisiasa kwa miaka mingi.

My friends, ladies and gentlemen,
Field mambo huwa ni tofauti kabisa,
hususan kwa wagombea udiwani au ununge wa chadema. Vipaumbele na mahitaji ya wananchi ni tofauti mno eneo moja na jingine. Na chadema hupoteza muda na nguvu nyingi mno kuhubiri agenda zisizo muhimu maeneo husika, na hapo huonekana wanapiga makelele tu..

Mostly ya wagombea uongozi wa upinzani,
hua wanaonekanaga kama vibaka tu. Kwa mfano wagombea ubunge anaweza kujulikana kijijini kwake na kwenye vijiji vingine viwili au vitatu tu kwenye kwenye jimbo zima, Sasa mgombea kama huyo atamshinda nani?

unakuta haiaminiki, hajulikani na wala haifahamiki kwasabb haifahamiki hata ofisi ya chama chake iko wap, na kwahivyo unakuta wanajipumbaza na kujiliwaza mitandaoni, na hapo uchaguzi nao unakua umeisha 🐒
 
kujipiga kifua mitandaoni kwamba eti sijui itashinda uchaguzi na kuporomosha matusi mazito mazito mitandaoni hapajawahi kuisaidia chadema hata kidogo,

Field mambo huwa ni tofauti kabisa,
hususan kwa wagombea udiwani au ununge wa chadema.

Mostly wanaonekanaga kama vibaka tu. Kwa mfano wagombea ubunge anaweza kujulikana kijijini kwake na kwenye vijiji vingine viwili au vitatu tu kwenye kwenye jimbo zima, Sasa mgombea kama huyo atamshinda nani?

unakuta haiaminiki, haijulikani na wala haifahamiki ofisi ya chama chake iko wap, na kwahivyo unakuta wanajipumbaza na kujiliwaza mitandaoni, na hapo uchaguzi nao unakua umeisha 🐒
Msitumie harsh language .

Mh Mbunge tunakutegemea.
 
Kweli kabisa doktori, watu wanataka kuguswa moja kwa moja kwa mahitaji yao na shida zao,watu hawataki kusikia vyama vinakosoa ajenda za vyama vingine

Wanataka kusikia je chama husika kitawafanyia nini wananchi wake,ukigusa mioyo ya watu utapata heshima yao na kura zao
 
Msitumie harsh language .

Mh Mbunge tunakutegemea.
ni muhimu sana kuelezana ukweli kwa uwazi gentleman,

binafsi nahitaji kua challenged with vibrant opposition field, sio weak and divide opposition kama ilivyo sasa,

ningependelea ile opposition ya kushindanisha mipango mikakati ya kutatua changamoto na mahitaji ya wananchi kwa mathalan Maji, Afya, elimu au kilimo, kuliko hii siasa ya kusemana vibaya na kutuhumiana uongo na uzushi. hiyo haiwezi kumfanya mtu akashinda uchaguzi,

Hata hii ya chama kimoja kinahubiri katiba na tume huru ya uchaguzi tu, wakati chama kingine kina hubiri maji, afya, kilimo n.k

hapo mtu mwenye IQ kubwa anajua kabisa chama hiki kina uchu wa vyeo na madaraka na hiki kingine kina kinalenga kutatua changamoto na mahitaji ya wananchi 🐒
 
ni muhimu sana kuelezana ukweli kwa uwazi gentleman,

binafsi nahitaji kua challenged with vibrant opposition field, sio weak and divide opposition kama ilivyo sasa,

ningependelea ile opposition ya kushindanisha mipango mikakati ya kutatua changamoto na mahitaji ya wananchi kwa mathalan Maji, Afya, elimu au kilimo, kuliko hii siasa ya kusemana vibaya na kutuhumiana uongo na uzushi. hiyo haiwezi kumfanya mtu akashinda uchaguzi,

Hata hii ya chama kimoja kinahubiri katiba na tume huru ya uchaguzi tu, wakati chama kingine kina hubiri maji, afya, kilimo n.k

hapo mtu mwenye IQ kubwa anajua kabisa chama hiki kina uchu wa vyeo na madaraka na hiki kingine kina kinalenga kutatua changamoto na mahitaji ya wananchi 🐒

Sawa MH MBUNGE.
 
Wananchi wako tayari ,kumbuka 2010 _2015 wananchi walipata fursa ya maarifa ya uraia kupitia bunge live,mikutano ya kisiasa na vyombo vya habari ,sasa kama njia hizo zmepigwa Pini ,vyama vitajengaje ushawishi na nguvu ya
kuaminiwa
 
Wananchi wako tayari ,kumbuka 2010 _2015 wananchi walipata fursa ya maarifa ya uraia kupitia bunge live,mikutano ya kisiasa na vyombo vya habari ,sasa kama njia hizo zmepigwa Pini ,vyama vitajengaje ushawishi na nguvu ya
kuaminiwa
Kuna mikutano ya hadhara
 
Back
Top Bottom