Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Siwalaumu maana wao wanataka maendeleo na kwa bahati nzuri maendeleo asilimia kubwa yanapelekwa kanda ya ziwa ikimaanisha mwanza, geita, shy town.......wacha wahame makamanda tusife moyo tuendelee na kwingine.

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
 
Ccm saizi wapo kuibongonyoa chadema

Lakini hawata imaliza. Kwasababu chadema ni kubwa sana. Ni sawa na bahari uchote ndoo 84 za maji na utegemee bahari itaisha maji.

Hapo utakuwa unajidanganya.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
 
Mi magu ananimaliza anaposema, maendeleo hayana chama uwe cuf, ccm, chadema nk ukizinguwa utanyooshwa tu.
 
Hata cuf na nccr mageuzi waliwahi kujipa moyo hivyo hivyo..leo ni wasindikizaji
Ila kwa mtindo huo ccm haiwezi kuonekana ni bora.
Kwa kutegemea kuua vyama vya upinzani. ccm wananchi walisha ichoka na muda ukifika itabidi tu ccm ije iondoke madarakani.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
 
Imeandika kwenye vitabu vitakatifu kuwa rushwa hupofusha na huleta uziwi, ccm inajisumbua mwisho wa siku wenye maamuzi wakati wa kupiga kura ni sisi wananchi
 
Waende tu ibaki Chadema haswa

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Na wale Wa arusha!?? Mjomba acha mambo ya kike kike

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Ccm saizi wapo kuibongonyoa chadema

Lakini hawata imaliza. Kwasababu chadema ni kubwa sana. Ni sawa na bahari uchote ndoo 84 za maji na utegemee bahari itaisha maji.

Hapo utakuwa unajidanganya.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
Je ingekuwa kwamba ni viongozi wa CCM wamefunga ofisi na kuhamia CDM, narrative ingekuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…