Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shirikisha ubongo wewe k3nge maji.......unavyoona arusha na mwanza au geita wapi kunapelekwa mirandi ya maendeleo sana.Na wale Wa arusha!?? Mjomba acha mambo ya kike kike
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
Na nchi rasmi inaingia kwenye wa chama kimoja!Atabaki Mbowe mwenyewe na itikadi zake za kupinga kila kitu
Ha ha ha ha ha asante kwa jibu lako lenye faraja tele.Wanahaki ya kikatiba kufuata itikadi yeyote ile.
Waende tu ibaki Chadema haswa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Mgao unapita tanzania nzima. Na kwale wachumia tumbo hii ndo fursa kwaoHawa nao wamelipwa kama wa arusha au vp, mwenye info zaid atuwekee pls
Sio Chadema hii mkuu.....Hii Chadema imepoteana kabisa.Kwani shida iko wapi? Mbona wafanyakazi wote,wanajeshi,polisi, wanafunzi wote wamehamia Chadema (mioyo) na kubaki kimya kulinda maslahi yao?
Kwa taarifa hata mawaziri wengine wako Chadema. Chama cha siasa ni moyoni sio usoni, usoni ni maslahi
"Misungwi"Hawa nao wamelipwa kama wa arusha au vp, mwenye info zaid atuwekee pls
chadema haswa iliondoka na Dr. Slaa. iliyopo ni chadema LowassaWaende tu ibaki Chadema haswa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app