Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Hao nyumbu waliokuwa na ngozi ya Mbuzi, wanaohama uwezo mdogo kifkira

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Siwalaumu maana wao wanataka maendeleo na kwa bahati nzuri maendeleo asilimia kubwa yanapelekwa kanda ya ziwa ikimaanisha mwanza, geita, shy town.......wacha wahame makamanda tusife moyo tuendelee na kwingine.

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
Wewe uko wapi mpaka usione maendeleo ya awamu hii?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Chadema walitegemea nini kuwakumbatia mafisadi?
 
Yaani hiyo ni kama kuwalipa watu fidia ili wahamie mahali fulani....hakuna cha ajabu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hivi wanaotajwa na ccm kuwa ni mafisadi hasa ni akina nani?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu embu acha masihara tuu, tuliobaki nao ni hatari sana tuu

Inauma kiasi kwamba ukilifikiria hili kwa jicho la mbele tunakokwenda sio kuzuri kabisaaaa.

Embu fikiria ikitokea chadema ikafa, au upinzani ukafa unahisi nini kitafuata??
Raisi tulie nae kiukweli tunamuunga mkono lakini ujue kabisa ni matunda ya upinzani mkuu.



Naomba:-

Aliko Dr. Slaa aambiwe wanainchi tunanuhitaji na tumejifunza kitu asee

DR. RUDII UANZISHE HATA CHAMA KINGINE BASI KAMA CHADEMA HAWAKUTAKI

MIMI NINKAMANDA WA CHADEMA, LAKINI PENGO SLAA NALIONA LINAZIDI KUWA PANA
Hahahaha naona umetoa ya moyoni. Tatizo lenu hampendagi kusema ukweli au kuambiwa ukweli. Unabaki unagugumia. Sasa hivi mhe. Rais anatenda mambo ya kizalendo sana. Tumuungeni mkono. Achaneni ma wanasiasa uchwara wenye siasa za matukio.eti mtu anaibuka sijui kutoka wapi anakurupuka na kusema jamaa wa uamsho waachiwe wamekaa mno gerezani. Sass sijui yeye ndio askari au mpelelezi au vip. Ukiambiwa anahusiana na mambo ya Kibiti sijui utajificha wapi. ... tuache siasa za matukio. Dr Slaa alikuwa anajua anachofanya. Na sio hawa ambao kuna tetesi walishanunuliwa na hawajawahi kanusha....wajinga ndio waliwao
 
Back
Top Bottom