Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

..ila 2020 itafika na tutajua wapi ukweli upo,hapa tulipo ama pale,wala tusiwe na hofu kati yetu hio ni haki yao tena yakikatiba.thankx
 
Watu wenye uelewa mdogo tu ndo atakuwa na chama ambacho kina viongozi dhaifi.kama chama kina rasilimali watu kwanini kisiweke watu makini wenye kuangalia maendeleo endelevu ya chama.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Chama makini kuweka viongozi ni mchakato wa kidemokrasia na una muda wake. Kiongozi mbovu akipewa madaraka basi kumtoa mchakato lazima ufuate demokrasia pia kwa muda muafaka. Kwa nyinyi vijana wa St Kayumba ni ngumu kuelewa
 
Mtanzania Mzalendo na mwenye uwezo wakufikiria hawezi kuendelea kuwa pamoja na hawa watu
wasaka tonge na Wanafiki.
Pongezi nyingi ziwafikie hao watu
mungu azidi kuwapa Upeo zaidi
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako.
(hasa kwenye mambo ya kishirikina kama haya, ebo!)
 
Ila kwa mtindo huo ccm haiwezi kuonekana ni bora.
Kwa kutegemea kuua vyama vya upinzani. ccm wananchi walisha ichoka na muda ukifika itabidi tu ccm ije iondoke madarakani.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
Huo upinzani unajifia wenyewe tu manake wameshapotezana vibaya sana, wakati wenzao wa CCM wanajenga nchi wao wapo busy kupambana kibinafsi na JPM.Na bado mtachanganyikiwa sana hadi mtakua mnafunga magoli kwenye goli lenu wenyewe


Sent from my Lenovo A606 using JamiiForums mobile app
 
Mmh kama ni kweli inabidi CHADEMA mjipange haswaa kufikia 2020 unaeza ukajikuta umebaki mwenyekiti na wabunge wako..pesa ina nguvu mno
 
Viongozi 84 wenye nyadhifa zipi?!

Sent from my KITOCHI CHANGU KUTOKA HAPA MISUNGWI using JamiiForums mobile app
 
Chama cha siasa ni vema kikawa na mipango ya muda mrefu , lazima kiwe na dira ya kukiongoza, sio chama cha kuamua nani awe mgombea urais ndani ya masaa 24, makamu wa rais ndan ya less than a month , na baada ya uchaguz mgombea wa uspeaker awe wa hati ya dharura pia, matokeo ya aina hii ya siasa ni aibu, ...chademu ni chama kisicho na dira
 
For sure upinzani Tanzania hauhitajiki. Na hatujui sababu na faida yake. Unapikuwa na Taifa ambalo watu hawawezi kufikiri ujue una Taifa mfu. Ni kama mtoto aliyezaliwa na hakulia.
Hakuna haja ya kukata tamaa. Alisalitia mesaya itakuwa hawo wapuuzi! Wache waende
 
Hao wote msiwalaumu, elimu ndio tatizo kubwa kwao. Na aliyewanyima fursa hiyo mhimu maishani ndio leo wanamfuata. CCM acha iwapokee manamba wake ili iindelee kujiburuzia.

Uhuru na harakati za kweli zitapatikana tu pale watu wetu watakapoelimika na kupata ufunuo wa hatima yao na mambo mbalimbali ya kitaifa na kujua nafasi zao binafisi katika Taifa.

Sent from my LG-H815 using JamiiForums mobile app
 
Sishangai kwa kuwa ni Wasukuma .

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Ni ushahidi tosha kwamba hawana hoja sasa wameamua kununua watu kwa mabilioni kuelekea 2020.

Ila kwa mtindo huo ccm haiwezi kuonekana ni bora.
Kwa kutegemea kuua vyama vya upinzani. ccm wananchi walisha ichoka na muda ukifika itabidi tu ccm ije iondoke madarakani.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna haja ya kukata tamaa. Alisalitia mesaya itakuwa hawo wapuuzi! Wache waende
Kwa taarifa yako hawajasaliti ni kuwa opposition is rejected by the current system. Hakuna aliyeimara atabaki salama hao wsdhaifu ni kilimo chao na ndio price yao.
 
ONDOENI ZUIO, MJIPIME KAMA KWELI MNAKUBALIKA KWA KIWANGO HICHO.
ukifanya mtihani peke yako matokeo utakuwa wa kwanza na wa mwisho.
 
Imeandika kwenye vitabu vitakatifu kuwa rushwa hupofusha na huleta uziwi, ccm inajisumbua mwisho wa siku wenye maamuzi wakati wa kupiga kura ni sisi wananchi
Mkuu hapa naona kama unataka kusema kwamba, hata CHADEMA kuna wala rushwa kama waliopo CCM.
Sasa kama tumefika hapa basi hili ni pigo kwa opposition. Manake zamani ajenda kuu ya upinzani ilikuwa ni vita dhidi ya rushwa na ufisadi wa aina zote. Na pia ilikuwa haitegemewi watu wetu kutuhumiwa kwa mlungula wa aina zote. Sijui sisi tusio wafia vyama tutakimbilia upande gani, manake wote naona sasa wamekuwa "maji-ga-nyanza".
 
CHADEMA imeendelea kupata pigo baada ya viongozi wake 84 ktk Wilaya ya Misungwi, Mwanza kufunga Ofisi za chama hicho na kuhamia CCM.
Acha waende hao ni ng"ombe kasoro mkia JPM aliwaita!!!!!
 
Back
Top Bottom