Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Hata mezee alisema maendeleo ayana chama, kwaiyo nibla bla tuu izo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA imeendelea kupata pigo baada ya viongozi wake 84 ktk Wilaya ya Misungwi, Mwanza kufunga Ofisi za chama hicho na kuhamia CCM.
Nadhani nitumie nafasi hii kuwaasa wanaoitwa viongozi wa vyama vyote vya upinzani na wanachama wa kawaida, tumuunge mkono Rais Magufuli, ili tuijenge nchi yetu.Kumbukeni kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.Kujiunga CCM ndio njia pekee ya kumhamasisha,kumtia moyo na kumuonyesha kwa dhati kwamba tunamuunga mkono katika yale anayoyafanya.Karibuni nyumbani.

JPM ameonyesha kwa vitendo kwamba ana nia ya kweli ya kuwatoa Watanzania kwenye umaskini.Tusipoteze muda bure kwa kushabikia hoja za kipuuzi,kitoto na zisizo na tija.Ni wazi sasa kwamba upinzani hakuna hoja ya msingi.
 
Nitakua wa mwisho kuliamini hili


Lakini kama linaukweli sio la kushangaliwa kwa mtanzania mwenye nia njema na taifa hili hata kwa wana ccm wenyewe.

Ikumbukwe hata huyu tunaemsifu ni kwa nguvu ya vyama vya upinzani ndio ilisaidia.
Sasa ikitokea vyama vikafa nchi itarudi ilikotoka

Inapaswa upinzani uwepo tena imara ili kuleta ushindani katika uchaguzi kusaidia kila chama kiweke mtu makini. Vinginevyo tutawekewa hata vivuli na kwa sababu hakuna m badala tutavichagua na hapo ndio uwe mwisho wa taifa hili.



Ombi langu, popote alipo dr. Slaa kwa maslahi ya taifa arudishwe kwenye chama na kwa vile imeshaonyesha dhahili yeye ndie dereva wa kweli, basi tujirekebishe tusonge mbele


Dr. Slaaa njooo tz utusaidie baba yetu, tumekukwaza sana, tunakulilia na tunakuomba utumie hekima yako ya utumishi wa Mungu uliokoe taifa hili,

Tuendako tutakulilia wewe kwani ulikuwa na uwezo wa kutuokoa lakini hukufanya hivyo. Rudi kokote uliko tz ni kwako na ni taifa lako

Sent from my HUAWEI G615-U10 using JamiiForums mobile app
 
Atabaki Mbowe mwenyewe na itikadi zake za kupinga kila kitu
Sio hiyo tu mbona unasahau itikadi za kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi. Maana wao wwnyewe walikua wanasema hawasafishiki. Kumbe ilikuwa ni TUNGO TATA.. ukweli ndio huu wanaoutekeleza sasa
 
Nitakua wa mwisho kuli! ini hili


Lakini kama linaukweli sio la kushangaliwa kwa mtanzania mwenye nia njema na taifa hili hata kwa wana ccm wenyewe.

Ikumbukwe hata huyu tunaemsifu ni kwa nguvu ya vyama vya upinzani ndio ilisaidia.
Sasa ikitokea vyama vikafa nchi itarudi ilikotoka

Inapaswa upinzani uwepo tena imara ili kuleta ushindani katika uchaguzi kusaidia kila chama kiweke mtu makini. Vinginevyo tutawekewa hata vivuli na kwa sababu hakuna m badala tutavichagua na hapo ndio uwe mwisho wa taifa hili.



Ombi langu, popote alipo dr. Slaa kwa maslahi ya taifa arudishwe kwenye chama na kwa vile imeshaonyesha dhahili yeye ndie dereva wa kweli, basi tujirekebishe tusonge mbele


Dr. Slaaa njooo tz utusaidie baba yetu, tumekukwaza sana, tunakulilia na tunakuomba utumie hekima yako ya utumishi wa Mungu uliokoe taifa hili,

Tuendako tutakulilia wewe kwani ulikuwa na uwezo wa kutuokoa lakini hukufanya hivyo. Rudi kokote uliko tz ni kwako na ni taifa lako

Sent from my HUAWEI G615-U10 using JamiiForums mobile app
Kwani vipi kuhusu Mashinji aliyepo. Mbona unakata tamaa mapema kamanda..aaah !hapo nyuma nilikua nazungumza sana kuhusu Dr Slaa lakin niliishia kushutumiwa tu. Viongozi walikua hawahitaji mtu mzuri walikua wanahitaji pesa.hustukii tuu
 
Siwalaumu maana wao wanataka maendeleo na kwa bahati nzuri maendeleo asilimia kubwa yanapelekwa kanda ya ziwa ikimaanisha mwanza, geita, shy town.......wacha wahame makamanda tusife moyo tuendelee na kwingine.

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
Umenena. Hata kwetu ilikuwa wazi kwenye mabango ya campaign "CHAGUA MAG..."
 
Hata cuf na nccr mageuzi waliwahi kujipa moyo hivyo hivyo..leo ni wasindikizaji
Tuweke fair play,kiasi kwamba demokrasi ifanye kazi yake ,tuone hayo unayosema,mtabaki na lipumba tu,lakini mchezani ndo refa,halafu unamshikilia gorikipa unategemea nn

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ni sawa tu kila mtu anayo haki ya kufuata sera na chama anachoona yy kinamvutia kwa mujibu wa sheria
 
Waende hao ni mikia.mradi wanachama wapo haina tatizo tunaweka viongozi wapya

Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
 
Hawa nao wamelipwa kama wa arusha au vp, mwenye info zaid atuwekee pls
Mtaishia kusema wamelipwa kama njia ya kujifariji,kazi za hao ccm zinaonekana kwa sasa dhidi ya kiongozi wa nchi,kujipotezesha na kudharau ni kama kazi bule tu.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Kwani vipi kuhusu Mashinji aliyepo. Mbona unakata tamaa mapema kamanda..aaah !hapo nyuma nilikua nazungumza sana kuhusu Dr Slaa lakin niliishia kushutumiwa tu. Viongozi walikua hawahitaji mtu mzuri walikua wanahitaji pesa.hustukii tuu
Mkuu embu acha masihara tuu, tuliobaki nao ni hatari sana tuu

Inauma kiasi kwamba ukilifikiria hili kwa jicho la mbele tunakokwenda sio kuzuri kabisaaaa.

Embu fikiria ikitokea chadema ikafa, au upinzani ukafa unahisi nini kitafuata??
Raisi tulie nae kiukweli tunamuunga mkono lakini ujue kabisa ni matunda ya upinzani mkuu.



Naomba:-

Aliko Dr. Slaa aambiwe wanainchi tunanuhitaji na tumejifunza kitu asee

DR. RUDII UANZISHE HATA CHAMA KINGINE BASI KAMA CHADEMA HAWAKUTAKI

MIMI NINKAMANDA WA CHADEMA, LAKINI PENGO SLAA NALIONA LINAZIDI KUWA PANA
 
Back
Top Bottom