Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

Shirikisha ubongo wewe k3nge maji.......unavyoona arusha na mwanza au geita wapi kunapelekwa mirandi ya maendeleo sana.

Na bado povu litawakauka Lumumba buku jero jero maana mnajikaanga kwa mafuta yenu

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
Sawa kenge mdogo uwe unaelewa swali! Nimekuuliza wale madiwani Wa chadema arusha wanaohamia ccm nao ni kwa sababu ya hayohayo maendeleo ya huko kanda ya ziwa.

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Watahama sana

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
 
Ccm saizi wapo kuibongonyoa chadema

Lakini hawata imaliza. Kwasababu chadema ni kubwa sana. Ni sawa na bahari uchote ndoo 84 za maji na utegemee bahari itaisha maji.

Hapo utakuwa unajidanganya.

Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app

Ukubwa wa cdm unapita wa enzi za Mrema?? CUF??
 
CHADEMA imeendelea kupata pigo baada ya viongozi wake 84 ktk Wilaya ya Misungwi, Mwanza kufunga Ofisi za chama hicho na kuhamia CCM.
Mkoa mzima wa mwanza hauna viongozi 84,lini lumumba mtakua na akili misungwi ina viongozi 84 kweli au wanaccm wenzenu.
Misungwi ndio koromije ambapo genius wao ni bashite

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Siwalaumu maana wao wanataka maendeleo na kwa bahati nzuri maendeleo asilimia kubwa yanapelekwa kanda ya ziwa ikimaanisha mwanza, geita, shy town.......wacha wahame makamanda tusife moyo tuendelee na kwingine.

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
Mlipokuwa mnajioelejea umeme miliman na lami migombani kuna mtu aliwasema? Hivyo vitu vinavyopelekwa maeneo mengine nyie mlijiwekea miaka nenda rudi kwa ubinafsi wenu na wazee wenu kina mzee mtei na wengine sitawataja humu kwa heshima zao kubwa

Havome
 
Imeandika kwenye vitabu vitakatifu kuwa rushwa hupofusha na huleta uziwi, ccm inajisumbua mwisho wa siku wenye maamuzi wakati wa kupiga kura ni sisi wananchi
Kama ile bilioni 10 ya kuuza chama, lazima iwatafune!!
 
Viongozi 84 wilaya ya misungwi? naona usanii unaendelea hapa
 
Ujinga mtupu misungi labda pale kolomije kwa bashite

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Swing politicians..!!
They don't know what they stand for; so they will fall for anything..!!
 
Bado Dj Majicho nae maana soon ata fly to ccm

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Waondoke hata mwanza nzima chadema itaendelea kuwepo.

Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
 
Mtanzania Mzalendo na mwenye uwezo wakufikiria hawezi kuendelea kuwa pamoja na hawa watu
wasaka tonge na Wanafiki.
Pongezi nyingi ziwafikie hao watu
mungu azidi kuwapa Upeo zaidi
 
Mtanzania Mzalendo na mwenye uwezo wakufikiria hawezi kuendelea kuwa pamoja na hawa watu
wasaka tonge na Wanafiki.
Pongezi nyingi ziwafikie hao watu
mungu azidi kuwapa Upeo zaidi
 
Back
Top Bottom