VIONGOZI AINA YA MAGORI PALE SIMBA NI TATIZO LA KWANZA KWENYE MANAGEMENT, WANAZO AKILI ZA KIZAMANI NA MAMBO YA KIZAMANI!

VIONGOZI AINA YA MAGORI PALE SIMBA NI TATIZO LA KWANZA KWENYE MANAGEMENT, WANAZO AKILI ZA KIZAMANI NA MAMBO YA KIZAMANI!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Niliwai kusema ya kuwa Simba inaongozwa na wazee ambao Awana Tena ubunifu wa kuipeleka timu mbele bali wamebakia na mawazo ya kizamani na akili za kizamani awabadiliki kulingana na wakati bali wamekwamia hapo walipo Awana vision yoyote ya kuivusha Simba!
Viongozi awa wamekuwa wakicheza sana na akili za wanachama na mashabiki wao ili kulinda vibarua vyao pindi wanapoona mambo ayaendi, wamekuwa wakiwatoa mbuzi wa kafara wenzao na wao kujifanya sio Wenye matatizo kwenye uongozi wao!
Kauli zile za magori alizozitweet kwenye mtandao akiwalaumu marefa, kipa wao camarra, na Azam tv ni kiashiria tosha kinachoonyesha ombwe la uongozi lililopo pale Simba!
Viongozi mwenye hekima na busara uwezi kutoa kauli kama zile wazi wazi vile Tena ukimsimanga mchezaji wako hadharani kwamba Kuna viashiria kauza mechi ni utahaira wa viwango vya lami!!
Viongozi Hawa wameshajua pona pona yao ni kuwatupia wenzao mizigo ya lawama ili wao waendelee kuwa safe kwenye nafasi zao, Kila mechi wanakuja na malalamiko mapya wakifungwa awaangalii ubora wa wenzao, wanawajaza mashabiki wao maneno kwamba Wana kikosi Bora cha kushindana na yanga matokeo yake wakijua uwanjani wakakuta vitu tofauti na wao wanaanza kutafuta visababu vya ovyo ovyo waonekane wameonewa!
Ukirudi kwenye takwimu maana Mpira ni namba na sayansi ungeshindwa kuona ni wapi Simba angetokea kumfunga yanga na kupata ushindi, Kila eneo yanga ni Bora kuliko Simba kimbinu na kiufundi, lakini Hawa viongozi wanawaaminisha watu wao kwamba tiyali wako na timu Bora kama yanga uko ni kujidanganya!
Uwezi kukosa ubora wa wachezaji na kikosi kizima alafu ukategemea kupata ushindi kwa kutegemea nguvu na maelekezo ya waganga wa kienyeji ukatoboa ni ngumu!
Angalia Simba kikosi chao cha kwanza kikifanyiwa sub tu ya mchezaji Mmoja wanapoteana mazima, angalia wenzao yanga akitoka mtu anayeingia anauwasha kama aliyetoka, akuna tofauti ya viwango vya waliopo benchi na wanaonza,
Kocha wa Simba jana aliamua kumuanzisha kagoma na hamza ambao awakuwa fiti na match fitness awakuwa nayo kutokana na kuona waliokuwepo fit Awana ubora kama hao matokeo yake awakumaliza ata dk 90 wakapata Tena maumivu na kutolewa!
Iyo kitu inaashiria Simba wanacho kikosi kifinyu cha kutegemea baadhi ya wachezaji wasipokuwepo wanakuwa na hali mbaya!
Sasa iyo timu ndiyo inakuwa inategemea kupata matokeo mbele ya yanga yenye kikosi kipana na quality ya wachezaji Kila idara ni vichekesho kabisa!
Tumeona alitoka Aziz ki, pacome na dube lakini walipoingia chama, musonda na mzize ikawa mafuriko ya hatari kwa Simba!
Wao sub yao ikawa okejepha, barua na kijiri kilichotokea Kila mtu aliona!
Sasa bwana magori na wenzake wasipobadilika wataendelea kuitumbukiza iyo timu shimoni wanasajiri cheap labour alafu wanategemea wawape matokeo the same na wenzao iyo kitu aipo na aitokuwepo! Uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mchicha!
 
Magori ni mjinga mmoja, mechi ya Coast hakupost lolote kuhusu Camara, kafanya kosa moja mechi ya yanga anakuja kuandika mitandaoni upumbavu.
1729416042918.jpg
 
Niliwai kusema ya kuwa Simba inaongozwa na wazee ambao Awana Tena ubunifu wa kuipeleka timu mbele bali wamebakia na mawazo ya kizamani na akili za kizamani awabadiliki kulingana na wakati bali wamekwamia hapo walipo Awana vision yoyote ya kuivusha Simba!
Viongozi awa wamekuwa wakicheza sana na akili za wanachama na mashabiki wao ili kulinda vibarua vyao pindi wanapoona mambo ayaendi, wamekuwa wakiwatoa mbuzi wa kafara wenzao na wao kujifanya sio Wenye matatizo kwenye uongozi wao!
Kauli zile za magori alizozitweet kwenye mtandao akiwalaumu marefa, kipa wao camarra, na Azam tv ni kiashiria tosha kinachoonyesha ombwe la uongozi lililopo pale Simba!
Viongozi mwenye hekima na busara uwezi kutoa kauli kama zile wazi wazi vile Tena ukimsimanga mchezaji wako hadharani kwamba Kuna viashiria kauza mechi ni utahaira wa viwango vya lami!!
Viongozi Hawa wameshajua pona pona yao ni kuwatupia wenzao mizigo ya lawama ili wao waendelee kuwa safe kwenye nafasi zao, Kila mechi wanakuja na malalamiko mapya wakifungwa awaangalii ubora wa wenzao, wanawajaza mashabiki wao maneno kwamba Wana kikosi Bora cha kushindana na yanga matokeo yake wakijua uwanjani wakakuta vitu tofauti na wao wanaanza kutafuta visababu vya ovyo ovyo waonekane wameonewa!
Ukirudi kwenye takwimu maana Mpira ni namba na sayansi ungeshindwa kuona ni wapi Simba angetokea kumfunga yanga na kupata ushindi, Kila eneo yanga ni Bora kuliko Simba kimbinu na kiufundi, lakini Hawa viongozi wanawaaminisha watu wao kwamba tiyali wako na timu Bora kama yanga uko ni kujidanganya!
Uwezi kukosa ubora wa wachezaji na kikosi kizima alafu ukategemea kupata ushindi kwa kutegemea nguvu na maelekezo ya waganga wa kienyeji ukatoboa ni ngumu!
Angalia Simba kikosi chao cha kwanza kikifanyiwa sub tu ya mchezaji Mmoja wanapoteana mazima, angalia wenzao yanga akitoka mtu anayeingia anauwasha kama aliyetoka, akuna tofauti ya viwango vya waliopo benchi na wanaonza,
Kocha wa Simba jana aliamua kumuanzisha kagoma na hamza ambao awakuwa fiti na match fitness awakuwa nayo kutokana na kuona waliokuwepo fit Awana ubora kama hao matokeo yake awakumaliza ata dk 90 wakapata Tena maumivu na kutolewa!
Iyo kitu inaashiria Simba wanacho kikosi kifinyu cha kutegemea baadhi ya wachezaji wasipokuwepo wanakuwa na hali mbaya!
Sasa iyo timu ndiyo inakuwa inategemea kupata matokeo mbele ya yanga yenye kikosi kipana na quality ya wachezaji Kila idara ni vichekesho kabisa!
Tumeona alitoka Aziz ki, pacome na dube lakini walipoingia chama, musonda na mzize ikawa mafuriko ya hatari kwa Simba!
Wao sub yao ikawa okejepha, barua na kijiri kilichotokea Kila mtu aliona!
Sasa bwana magori na wenzake wasipobadilika wataendelea kuitumbukiza iyo timu shimoni wanasajiri cheap labour alafu wanategemea wawape matokeo the same na wenzao iyo kitu aipo na aitokuwepo! Uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mchicha!
Povu lote kisa timu imefingwa jana. Kwani hamjui mpira una matokeo aina tatu na yanaweza kuipata timu yoyote.
 
Wewe kupoteza derby 4 times . Ya Jana ndo kabisa . Simba did everything right . Mchawi lazima
 
Imeenda hiyo? Soma jedwali l point!
 
Tatizo uongozi ndio maana wakatuletea kocha wa Bei rahisi. Wachezaji wapo wa kutosha lakini yeye amekazania wachezaji walewale kwa maana nyingine anaua viwango vya wachezaji wengine
 
Quality..!! Quality..!! Quality..!! yanga anatuzidi quality na si kitu kingine we need to sign quality players not average players. mutale,kibu,balua,okejepha,nouma,mukwala hawa ni average players hawana uwezo wa kubattle na the likes of pacome a.k.a kajala,azizi,max,aucho,muda n.k magori anatakiwa aombe radhi shoga mzee yule.
 
Tatizo uongozi ndio maana wakatuletea kocha wa Bei rahisi. Wachezaji wapo wa kutosha lakini yeye amekazania wachezaji walewale kwa maana nyingine anaua viwango vya wachezaji wengine

Acha ujinga wewe, kocha Fadlu ni bonge la strategist, inabidi aongezewe watu dirisha dogo
 
Simba badala ya kuajiri wachezaji wenye viwango vikubwa wao wanaajiri waganga wa kienyeji.
 
Niliwai kusema ya kuwa Simba inaongozwa na wazee ambao Awana Tena ubunifu wa kuipeleka timu mbele bali wamebakia na mawazo ya kizamani na akili za kizamani awabadiliki kulingana na wakati bali wamekwamia hapo walipo Awana vision yoyote ya kuivusha Simba!
Viongozi awa wamekuwa wakicheza sana na akili za wanachama na mashabiki wao ili kulinda vibarua vyao pindi wanapoona mambo ayaendi, wamekuwa wakiwatoa mbuzi wa kafara wenzao na wao kujifanya sio Wenye matatizo kwenye uongozi wao!
Kauli zile za magori alizozitweet kwenye mtandao akiwalaumu marefa, kipa wao camarra, na Azam tv ni kiashiria tosha kinachoonyesha ombwe la uongozi lililopo pale Simba!
Viongozi mwenye hekima na busara uwezi kutoa kauli kama zile wazi wazi vile Tena ukimsimanga mchezaji wako hadharani kwamba Kuna viashiria kauza mechi ni utahaira wa viwango vya lami!!
Viongozi Hawa wameshajua pona pona yao ni kuwatupia wenzao mizigo ya lawama ili wao waendelee kuwa safe kwenye nafasi zao, Kila mechi wanakuja na malalamiko mapya wakifungwa awaangalii ubora wa wenzao, wanawajaza mashabiki wao maneno kwamba Wana kikosi Bora cha kushindana na yanga matokeo yake wakijua uwanjani wakakuta vitu tofauti na wao wanaanza kutafuta visababu vya ovyo ovyo waonekane wameonewa!
Ukirudi kwenye takwimu maana Mpira ni namba na sayansi ungeshindwa kuona ni wapi Simba angetokea kumfunga yanga na kupata ushindi, Kila eneo yanga ni Bora kuliko Simba kimbinu na kiufundi, lakini Hawa viongozi wanawaaminisha watu wao kwamba tiyali wako na timu Bora kama yanga uko ni kujidanganya!
Uwezi kukosa ubora wa wachezaji na kikosi kizima alafu ukategemea kupata ushindi kwa kutegemea nguvu na maelekezo ya waganga wa kienyeji ukatoboa ni ngumu!
Angalia Simba kikosi chao cha kwanza kikifanyiwa sub tu ya mchezaji Mmoja wanapoteana mazima, angalia wenzao yanga akitoka mtu anayeingia anauwasha kama aliyetoka, akuna tofauti ya viwango vya waliopo benchi na wanaonza,
Kocha wa Simba jana aliamua kumuanzisha kagoma na hamza ambao awakuwa fiti na match fitness awakuwa nayo kutokana na kuona waliokuwepo fit Awana ubora kama hao matokeo yake awakumaliza ata dk 90 wakapata Tena maumivu na kutolewa!
Iyo kitu inaashiria Simba wanacho kikosi kifinyu cha kutegemea baadhi ya wachezaji wasipokuwepo wanakuwa na hali mbaya!
Sasa iyo timu ndiyo inakuwa inategemea kupata matokeo mbele ya yanga yenye kikosi kipana na quality ya wachezaji Kila idara ni vichekesho kabisa!
Tumeona alitoka Aziz ki, pacome na dube lakini walipoingia chama, musonda na mzize ikawa mafuriko ya hatari kwa Simba!
Wao sub yao ikawa okejepha, barua na kijiri kilichotokea Kila mtu aliona!
Sasa bwana magori na wenzake wasipobadilika wataendelea kuitumbukiza iyo timu shimoni wanasajiri cheap labour alafu wanategemea wawape matokeo the same na wenzao iyo kitu aipo na aitokuwepo! Uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mchicha!
Umeniwahi kuandika hii kitu asee. Mimi ni Yanga mnooo na matokeo nimetafurahia. But honestly hiyo post ya Magori imeniumiza sana. Kiongozi unaanzaje kumtuhumu mchezaji wako kwa mistake kama ile? Seriously?! Ndio viongozi wetu wa mpira hawa? Simba bado wana safari ndefu sana
 
Wakifanya sub ni majanga zaidi, yaani ile first eleven yao ndio inabidi ile ile imalize mechi, wakifanya sub tu wanahemewa
Awatakiwi kufanya sub walisajili kauka nikuvae ndio kikosi cha bilioni 7 icho aisee alichosema yule Mzee jaribu Tena🤣🤣
 
Tatizo uongozi ndio maana wakatuletea kocha wa Bei rahisi. Wachezaji wapo wa kutosha lakini yeye amekazania wachezaji walewale kwa maana nyingine anaua viwango vya wachezaji wengine
umesema kocha anang'ang'ania wachezaji wale wale nakuuliza swali ukimtoa che malone anacheza nani nafasi yake? Ukimtoa debora nani anacheza nafasi yake? Ukimtoa ateba nani anacheza nafasi yake? Sisi simba hatuna quality ya kumzidi yanga uto is far better compared to us. Jana katoka kagoma na hamza timu nzima imepotea unajua kwanini we don't have qualities on the bench that can match those qualities on the pitch hatuna timu bora ya kumfunga yanga wametuzidi wametuzidi wametuzidi wametuzidi wametuzidi ubora kila sehemu.
 
Kauli zile za magori alizozitweet kwenye mtandao akiwalaumu marefa, kipa wao camarra, na Azam tv ni kiashiria tosha kinachoonyesha ombwe la uongozi lililopo pale Simba!
Viongozi mwenye hekima na busara uwezi kutoa kauli kama zile wazi wazi vile Tena ukimsimanga mchezaji wako hadharani kwamba Kuna viashiria kauza mechi ni utahaira wa viwango vya lami!!
kwani hapo simba hakuna vijana wnye weredi hao wazee wanafanya nini maofisini huku mambo yakiendelea kuwashinda kila siku..!
 
Kuna haja ya Simba kuweka viongozi vijana kama walivyofanya Yanga.

Hizi timu zinahitaji fikra mpya na za kisasa, mambo yamebalika.
 
kwani hapo simba hakuna vijana wnye weredi hao wazee wanafanya nini maofisini huku mambo yakiendelea kuwashinda kila siku..!
Tatizo la wazee linaanzia Serikalini na kwenye cha CCM kwa mfano Kwenye Raisi Samia akimteua Yusuph Makamba kuwa Makamu mwenyekiti wa CCM Bara makamba atakubali na kufurahi ni kama ilivyotekea kwa Kinana Mzee wazaidi ya Miaka Sabina ana wajukuu lakini bado alikua hataki kuachia Uongozi, Ngozi nyeusi ni tatizo kubwa, Kiongozi ana Staafu Utumishi wa Uma lakini Moyoni hataki kustaafu anataka kuendelea kuwa ofisini mpaka kifo kimtoe.
 
Back
Top Bottom