Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mbowe ni nyoka na inawezekana ndio anawachoma wenzie wanauwawa na kupigwa risasiYani wanaboa sana. Mwenyewe nilikuwa kwenye kundi Hilo ila nimeshtuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni nyoka na inawezekana ndio anawachoma wenzie wanauwawa na kupigwa risasiYani wanaboa sana. Mwenyewe nilikuwa kwenye kundi Hilo ila nimeshtuka.
Wasiposhiriki wananchi hawatawaelewa (watawalaumu) na kusema kama wangeshiriki wangeweza kushinda. Lakini wskishiriki na kufanyika ubakaji kama uliofanyika, wananchi watajionea wenyewe, then wataweza kuamua wawaunge mkono namna gani. Jambo linalotakiwa ni kutafuta kuungwa mkono na wananchi, lakini chama kama chama hakiwezi kushinda bila ya kuwa na support ya wananchi. Kwa baadhi ya clips zilizorusha mtandaoni na ushahidi wa aina nyingine wananchi wanaopata clues ya mambo Chadema au vyama vya upinzani vinavyofanyiwa rough.
Katiba mpya ni kwa maslahi ya wananchi wote na sio chama peke yake kama ni hivyo hawa jamaa nao watakuwa chega tu🤔Kuna kitu waliahidiwa kwenye Yale maridhiano ndio maana wakaitupilia mbali.
Kama Watanzania wameridhika hamna tabu. Uchaguzi ni wao. Kura zilizoibiwa ni zao.Viongozi wa chadema utawaonea tu maana hata wasingeshiriki tlp, udp na vyama vingine rafiki wangeshiriki na lawama zingekua kwa staili tofauyi tu kwamba hamjashiriki mmewapa fursa.
Mtu pekee wa kupewa lawama ni mwananchi wa tanzania
Siku kikiibuka chama kipya chenye nguvu kipesa ambacho ni Cha kizalendo kweli kweli na sio maigizo ndio mwanzo wa chadema kukosa wafuasi
Itachukua muda, ila kushiriki kwao ndiko kutakaowafanya wananchi wawaunge mkono. Wasiposhiriki CCM itatumia huo mwanya kuwaonyesha wananchi kwamba wasichague chama kinachoogopa uchaguzi. Lakini wakishiriki na kufanyika madudu wananchi watazinduka na kusema ngoja wawaunge mkono. Hata kwenye mashindano ya michezo ni heri timu ishiriki na ifanyiwe faulo, maana mashabiki wataona, kuliko ile ambayo haishiriki maana mashabiki hawataelewa - wanahitaji waone. Kushiriki uchaguzi na kufanyiwa madudu ndiko kunskoleta support ya wananchi. Siku moja nili'share' na watu niliosoma nao kwenye group letu kwamba sijawahi kushiriki uchaguzi wowote tangu mwaka 2020. Wadau walinipakia sana, wakisema "watu wote wangekuwa kama wewe Botswana chama cha upinzani kingrdhinda?" Nikatafakari, nikaona ni kweli, maana unaweza kususia uchaguzi kumbe mwaka huo ndio wananchi wsmesmua wakuunge mkono, sasa utashindaje kama hudjiriki uchaguzi? Upo hapo?Kushiriki UCHAGUZI unaijua mshindi nani ni ujinga wa Karne Kila mwaka baada ya UCHAGUZI chadema ni kulalamika tu unaona wapo sawa kichwani halafu UCHAGUZI ujao wanashiriki tena
Nadhani pia chadema inatakiwa kubadilisha uongozi wa juu. Mbowe apumzike abaki kuwa mshauri ikipendeza hata Heche awe mwenyekiti na katibu awe Mwabukusi huku makamu akiendelea kuwa Lissu.
Ili kuitikisa CCM kunahitajika viongozi aggressive Mbowe ni amezeeka na ameanza kukihofia sana kifo.
We jiulize Kila akikamatwa yaani ni kama igizo anakamatwa kibosi kabisa tena mda mwingine mpaka unaona askari wanamuogopaMbowe ni hatari Sana. Mimi simwamini kabisa.
Itachukua muda, ila kushiriki kwao ndiko kutakaowafanya wananchi wawaunge mkono. Wasiposhiriki CCM itatumia huo mwanya kuwaonyesha wananchi kwamba wasichague chama kinachoogopa uchaguzi. Lakini wakishiriki na kufanyika madudu wananchi watazinduka na kusema ngoja wawaunge mkono. Hata kwenye mashindano ya michezo ni heri timu ishiriki na ifanyiwe faulo, maana mashabiki wataona, kuliko ile ambayo haishiriki maana mashabiki hawataelewa - wanahitaji waone. Kushiriki uchaguzi na kufanyiwa madudu ndiko kunskoleta support ya wananchi. Siku moja nili'share' na watu niliosoma nao kwenye group letu kwamba sijawahi kushiriki uchaguzi wowote tangu mwaka 2020. Wadau walinipakia sana, wakisema "watu wote wangekuwa kama wewe Botswana chama cha upinzani kingrdhinda?" Nikatafakari, nikaona ni kweli, maana unaweza kususia uchaguzi kumbe mwaka huo ndio wananchi wsmesmua wakuunge mkono, sasa utashindaje kama hudjiriki uchaguzi? Upo hapo?
Shida ya kutoshiriki ni hii. Mfano, wananchi (kila mmoja moyoni mwake anaweza akasema 'mwaka huu napiga kura ya ndiyo kwa Chadema'). Sasa Chadema isiposhiriki, unafikiri hiyo kura itakwenda kwa nani, si ni kwa CCM? Kwa sababu wananchi wakiamua kupiga kura ya ndiyo, hujui na wanaweza wakataka wakuchague mwaka huo, then wewe unasusia, na CCM Ina mbinu nyingi za kuwaaminisha wananchi jambo fulani, na vyama vingine havina. Si hata huwa unaona habari nyingi zinazotoka kwenye vyombo vya habari ni za CCM.Sawa nimekuelewa unachosema. Ila fahamu kwamba hii sio mara ya kwanza. Wananchi wanajua mfumo upoje ila CHADEMA inalazimisha washiriki. Mimi naamini CHADEMA wangegoma kushiriki wananchi wengi wangewaunga mkono.
mimi kwa sasa naenda na hii theory kama wananchi tumekubali basi tuendelee tuKama Watanzania wameridhika hamna tabu. Uchaguzi ni wao. Kura zilizoibiwa ni zao.
Ukiibiwa kwa ridhaa yako, nani anastahili kukulaumu?
Huyo ngumu kutoka ni pandikizi la ccm yaani inabidi ifanywe kazi ya Hali ya juu Ili kutokaYule atupishe CHADEMA. Hata akina Halima mdee nao wanadai Mwenyekiti ndio aliwaruhusu waende bungeni.
Ndio kulegea Kwa nati kwenyewe huko Sasa kama watu Kila siku wanakua hawana msimamo hao ni viongozi yaani unaenda kushikana mkono na mtu ambae unataka kumtoa kwenye ulaji wake hiyo inaingia akilinihapo wanajuanana ccm wanachezea akili za watanzania
Hahaha. Wananchi wa hapa kwetu? Mhu! Hilo sina hakika nalo. Sisi tunakosa kitu kinaitwa 'political consciousness' (utambuzi/kujitambua kisiasa). Zamani tulikuwa vizuri, lakini siyo sasa.Nachojua wananchi wengi wa Tanzania hawaukubali mfumo wa uchaguzi. CHADEMA wangewaunga mkono.
Mtu mwenye akili timamu chadema ikisusia UCHAGUZI ndio atafurahi sababu hamna jipya haya wamekubali kuwa kwenye UCHAGUZI Kuna kilichobadilika zaidi ya wizi wa kura na kudharirika kupata viti 1222 dhidi ya viti 22950 yaani inaonesha kabisa wizi wa halai ya juu umefanyikaShida ya kutoshiriki ni hii. Mfano, wananchi (kila mmoja moyoni mwake anaweza akasema 'mwaka huu napiga kura ya ndiyo kwa Chadema'). Sasa Chadema isiposhiriki, unafikiri hiyo kura itakwenda kwa nani, si ni kwa CCM? Kwa sababu wananchi wakiamua kupiga kura ya ndiyo, hujui na wanaweza wakataka wakuchague mwaka huo, then wewe unasusia, na CCM Ina mbinu nyingi za kuwaaminisha wananchi jambo fulani, na vyama vingine havina. Si hata huwa unaona habari nyingi zinazotoka kwenye vyombo vya habari ni za CCM.