Viongozi gani hao waliomuona “Dada wa Watu Nyani” na waimbaji wenzake?

alimtaja kwa majina, na baada ya kuondolewa na kupewa ubalozi, ameendelea kusema hajaridhishwa alitakiwa aachishwe kwazi kabisa na ashitakiwe. sema wameamua kumpuuza tu na yeye anaendelea kuwachafua.
Kwani huyo mwanaye alikuwa na nafasi gani katika jamii hadi TISS imuone ni mtu hatarishi kwa Usalama wa Taifa letu?

Ni siri gani nyeti alizokuwa nazo?
 
Kwani huyo mwanaye alikuwa na nafasi gani katika jamii hadi TISS imuone ni mtu hatarishi kwa Usalama wa Taifa letu?

Ni siri gani nyeti alizokuwa nazo?
of course ukimsikiliza sana mbarikiwa utakuta ni nadharia tu, hakuna uhalisia. yeye anaamini walifanya hivyo ili kumkoma yeye kwasababu ya usumbufu wake. kama walikuwa na uwezo kufanya hivyo, si wangemmaliza yeye badala ya mtoto? kwamba mbarikiwe ndio awe mtu wa muhimu sana kwa serikali kwa sababu tu ametaka kufungua kanisa? au ndio serikali iwe imemshinda kweli hadi iende kwa mwanae?, inaonyesha kidogo kama nati zimelegea kichwani kwake. ni frustrations tu.
 
Kwa maelezo haya, naiunga mkono Serikali kwa hatua inazochukua dhidi ya huyu hayawani Mwakipesile
 
Mungu akubariki sana ndugu Uzima Tele .
Nilikuwa na hasira sana na mambo kadhaa yanayoendelea nchini mwetu,ila baada ya kusoma mchango wako huu juu hapo,nimejikuta narudi kwenye maandiko na hasira zote kuisha.
Ubarikiwe sana.
 
Kikinuka msebule mkuu tiss yenyewe mchumba tu
 

Nashangaa mbona mbunge wangu walikuwa wanamwita sokwe,siku moja akaamua kuwa mandonga baada ya kupigwa picha,sikuona polisi aliemsaidia.
 
Hivi DG wa TISS anamkuta wapi mtoto wa Mwakipesile mpaka amuue? Kwa kitu gani hasa.?
Una akili kweli wewe kwa kuuliza hili swali?

DG is not a person. Is an institution. Amri tu inatosha kumaliza kila kitu..

Kuhusu kanisa lake kusajiliwa, nafikiri hajakidhi vigezo vya kusajiliwa otherwise angekuwa amekwisha pewa usajili. Lakini hata mimi ningekuwa MSAJILI wa madhehebu nisingempa usajili kwa namna kichwa chake kinavyopata moto. Yule ni mgonjwa wa akili na anahitaji tiba.
Huna taarifa za kutosha na ndiyo maana "unafikiri" tu.

Kwa taarifa yako hiyo ya "kutokidhi vigezo" sio sababu hata chembe. Sababu ni kuisema na kukemea uovu na maovu ya serikali na viongozi wake serikali na hivyo kuwakera wana wa ibilisi na wao kutumia vibaya mamlaka yao kukomoa watu kama huyu..!
Kuhusu mifano ya Biblia. Nakuomba tu ushukiwe na Roho Mtakatifu ili akuwezeshe upate ufahamu mzuri wa Biblia na siyo kunukuu hovyo kama ulivyonukuu.
Haa haa 🥺🥺🥱🥱. Pole sana ndugu
Kwa hiyo wamuona huyo mwendawazimu Mwakipesile sawa na Nabii Eliah?
Si tu kumlinganisha na Nabii Eliya bali na Yesu Kristo mwenyewe kama anavyosema;

Mathayo 21:21
"....Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka, ukatupwe baharini, litatendeka..."
Na nyie Mapentekoste ndiyo mnasbabisha Waisalmu watudharau Wakristu kwa hivyo vimadhehebu uchwara vyenu.
Asimamaye katika kweli ya Mungu huwa hasubiri kuheshimiwa na watoto wa yule mwovu maana wao siku zote hupingana na haki na kweli ya Mungu.

Yesu hakuwa kuheshimiwa ktk maisha yake yote hapa duniani..
Kanisa gani litakuwa Isyesye kwenye kichochoro ndani ya pagala?
Unaelewa maana ya "kanisa?". Maana yake ni hii👇👇

1 Wakorintho 6: 19-20
"...Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu...?" Wala ninyi si mali yenu wenyewe;

Mtu awe anaishi Isesye au shimoni, kijijini, milimani au mjini au kibandani au kwenye jengo lenye ghorofa, ama popote pale ili mradi ana roho mtakatifu ndani yake basi huyo ndiye kanisa na Mungu anaishi ndani yake..!!
Nyie siyo wa Mungu bali ni wa shetani tu
Haishangazi. Yesu hakuitwa wa shetani tu bali aliambiwa na watu wanafiki na wasiojua dizaini yako kuwa "ana pepo belizebuli".

Na shida yako wewe Huihui2 ni moja tu. Ni kwa sababu hujui tu. Ukijua utawajua walio wa Mungu na walio wa shetani kwa urahisi sana
Mungu akubariki sana ndugu Uzima Tele .
Nilikuwa na hasira sana na mambo kadhaa yanayoendelea nchini mwetu,ila baada ya kusoma mchango wako huu juu hapo,nimejikuta narudi kwenye maandiko na hasira zote kuisha.
Ubarikiwe sana.
Amen🙏🙏 ndugu residentura
 
Hiyo Dola inadondoshwa kutoka angani? Ni ya kutishia? au ni ya kuwatumikia wananchi?
 
Takataka tu hizi, hatuwezi kuziacha zikaendelea nchini kwetu. Lazima mamlaka zisafishe madhehebu uchwara yanayoibuka Mbeya kila uchwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…