Viongozi mmeshachuma vya kutosha achieni ofisi, vijana mkajifunze kwa Ally Hapi

Viongozi mmeshachuma vya kutosha achieni ofisi, vijana mkajifunze kwa Ally Hapi

Unazijua vii-eite wewe? (In Harakaharaka's voice [emoji1787][emoji1787])
Huyu chawa wa hapi katumwa......hapi alikuwa mkuu wa mkoa mara rais wa mchongo kamuweka pembeni sasa aigwe kwa lipi.
 
Unazijua vii-eite wewe? (In Harakaharaka's voice 🤣🤣)
Na diabetes je? Na ndugu yake anaitwa Cardiovascular heart diseases !! Hii dunia ukiifikiria sana ni bora ukawa mtu wa kutenda mema tu kwa binadamu wenzako na hata kwa viumbe wengine !! Kwa maana This world is not our home !!!
 
Back
Top Bottom