Viongozi mnajisikiaje kuwahadaa Wananchi kwenye bei za bidhaa na huduma mbalimbali?

Viongozi mnajisikiaje kuwahadaa Wananchi kwenye bei za bidhaa na huduma mbalimbali?

Ukinunua kifurushi cha mwezi haraka haraka hata wiki 3 hazifiki, nunua cha wiki napo unabaniwa mara network igome zina baki MB kibao wiki imepita hiyo, inchi sijui tulirogewa wapi na mchawi yupi labda tungemjua tuanze naye, kabla mtu hajawa kiongozi anayo yaongea duu utasema hapa tumepata subili aingie jikoni uwiii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] tunalewa mabuja mabuja tu
 
Daah poleni sana,mama ni mchumi mzuri hope ataweka mambo sawa.
Vipi labda kuhusu gharama za uendeshaji?
Am sure wana strong reason na watatupa maelezo.

ataweka mambo sawa haya jidanganye kwa maneno yake mazuri ya pwani tarehe 7/4 mafuta yamepanda na tigo bando ipo juu pamoja na rais kuzuia hakuna kitu mnalewa na maneno matamu
 
Back
Top Bottom