Viongozi mnaona hii movement ya NON EMPLOYED TEACHER ORGNIZATION (NETO) msifumbe macho

Viongozi mnaona hii movement ya NON EMPLOYED TEACHER ORGNIZATION (NETO) msifumbe macho

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Vijana wasomi wenye taluuma ya uwalimu wasio na ajira wameanua kuanzisha movement jiulizeni je wakiungwa mkono na taaluma nyingine hali itakuwaje, kumbukeni wazazi waliowasomesha nao wanasononeka kwaiyo hata wazazi nao watawaunga mkono, wanafunzi vyuoni watwaunga mkono

Tunajua mna mabomu mna vituo vya polisi ila kumbukeni hawa vijana washavulugwa mtafunga wangapi, mtateka wangapi, mtauwa wangapi

Nadhani ule utabiri wa hayati shekhe Yahaya unaenda tìmia ni suala la muda tu
20250220_194427.jpg
20250220_140742.jpg
 
Back
Top Bottom