Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
Hilo lenyewe lina kula bureWe chawa wa mama Samia The Sunk Cost Fallacy 2 njoo huku unaitwa
Dah!Tumekwama sana.Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Kila siku tunahesabu dari.Dah!Tumekwama sana.
Jamii haipati milo mitatu iliyo kamili.Tutarajie afya mbovu,udumavu,hasira,sonona,ugomvi wa familia,kukondeana,kuvaa nguo nyembamba na kuziita ni fashions,taharuki,kuchukiana,kununanuna na upotevu wa amani mioyoni mwa wanajamii.Kila siku tunahesabu dari.
Maharagwe una hesabu punje.
Ufanisi na nguvu kazi, itatoka wap ndugu?Suluhu ni kula mlo mmoja ndugu
Ni robo suluhu hiyo.Mlo mmoja wenyewe haujakamilika.Ni mateso bila kulia machozi.😂😂😂Suluhu ni kula mlo mmoja ndugu
Ngoja maDr wa uchumi wa mlimani waje waweke hesabu sawaMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
WACHA WATUUE TULIWACHAGUA WENYEWE KWA MBWEMBWE ZOTE[emoji779][emoji779]Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]
[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Naona vitambi vitapungua sana awamu hiiNi robo suluhu hiyo.Mlo mmoja wenyewe haujakamilika.Ni mateso bila kulia machozi.😂😂😂
Maharagwe ya mbeya na ushuzi ni mama na mtoto.Na mtu mwenye stress lazima awe na madonda ya tumbo,
Maharage hayo na madonda moto lazima uwake.
Bomu Hilo kuripuka, ni suala la muda tu.
Nawakumbusha tuu kwambaWe chawa wa mama Samia The Sunk Cost Fallacy 2 njoo huku unaitwa