Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hasara aliyoipata mama yako haipimikiWanyakyusa na wakurya ndio misukule wa waaminifu wa wachagga, kwahiyo sioni jambo la ajabu
unajidhalilisha kwa faida ya nani ?Wanaenda kuliona ligaidi.
Mama yako anadhani alizaa mtoto, bahati mbaya umegeuka msukule wa mboweHasara aliyoipata mama yako haipimiki
Kama imekuuma kunywa sumuWanaenda kuliona ligaidi.
Hizi fitina za ukabila hazitafanikiwa unapoteza nguvu zako bureWanyakyusa na wakurya ndio misukule wa waaminifu wa wachagga, kwahiyo sioni jambo la ajabu
Sina muda wa fitna. Nilichozungumza ndio ukweli ambao kila mtu anaujuaHizi fitina za ukabila hazitafanikiwa unapoteza nguvu zako bure
Ukabila ni aibu kwa wanaokutumaSina muda wa fitna. Nilichozungumza ndio ukweli ambao kila mtu anaujua
Kijakazi wa Mbowe unahanagaika sana.Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Wanaoufanya ndio mataahira waliopitwa na wakatiUkabila ni aibu kwa wanaokutuma
Jikite kwenye madaKijakazi wa Mbowe unahanagaika sana.