Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sijidhalilishi.unajidhalilisha kwa faida ya nani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijidhalilishi.unajidhalilisha kwa faida ya nani ?
Hata sinywi hiyo sumu.Kama imekuuma kunywa sumu
Ni jambo jema sanaLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Punda waseme wananchi hawataki katiba mpyaLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Kauli za kichawi zimeijaa midomo yao na mioyo yao. Hawachelewi kusema walikuwa wanaenda kuvunja darajaNi vizuri wasilielewe jina la Basi maana hawatakawia kusema kuwa ni maandamano yanafanyika kwenye Basi.
Labda lata siyo nchiKuna siku CHADEMA itaongoza nchi hii. Karibia wataiva na kupata uchungu sahihi wa nchi yao. Bado kidogo
Mlinifariji nilipokuwa mfungwa. Hawa watu ni wa MunguLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
🤣😅Mbeya ni nchi rais wao ni Sugu...mwisho wa kunukuu.
Huyo jamaa yako niliyemjibu hukumuona au unajifanya huoni?hamna hoja nyie mamluki
humu jf unachotakiwa kufanya ni kuhangaika na mada tu , mambo ya kutafuta sura za watu utayawezea wapi ?Huyo jamaa yako niliyemjibu hukumuona au unajifanya huoni?
Hiyo ndio chenga ya mwili mliyopigwaErythrocyte Siku hizi Toyota coster inaitwa bus?[emoji23][emoji1787]
Kama wamefika nalo magereza basi kwishney, namba na jina wamechukua.Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
walipofika mahali wakalificha wakachukua daladala Eicher ya Pugu- Kariakoo ndio wakaingia nalo magerezaKama wamefika nalo magereza basi kwishney, namba na jina wamechukua.
Mungu ilaani ChademaLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Asie na wake ana Mungu.. CHADEMA ni MPANGO wa MUNGU.. ✌🏽✌🏽✌🏽