Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hajawahi kumshinda MunguMungu ilaani Chadema
Mungu ibariki CHADEMA na watu wake woteLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Makamanda uchwara wanajifanya hawaoni.humu jf unachotakiwa kufanya ni kuhangaika na mada tu , mambo ya kutafuta sura za watu utayawezea wapi ?
Watia huruma kwa mitazamo duni uliyonayo.Wanyakyusa na wakurya ndio misukule waaminifu wa wachagga, kwahiyo sioni jambo la ajabu hapo.
AMEENMungu ibariki CHADEMA na watu wake wote
Hii ni ziara ya kutembelea wafungwa woteHaya majamaa mapuuzi kweli, hivi mbeya hakuna mahabusu?
Ni kweli ndiyo maana chadema haijwahi ishinda CCMShetani hajawahi kumshinda Mungu
Mimi nikiwa sina lakusema huiachia mada ipite badala ya kuandika kitu cha kitoto.Lundo la viongozi coster moja
Wako mjomba na shangazi yako.Haya majamaa mapuuzi kweli, hivi mbeya hakuna mahabusu?
Kwa akili hizi lazima utakuwa unakaa alikoolewa dadaako!Wanyakyusa na wakurya ndio misukule waaminifu wa wachagga, kwahiyo sioni jambo la ajabu hapo.
Basi gani hili ww acha kudemkaLeo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Yule mkaguzi wa wasio malaika,hata wapokea njiani kweli?Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .
View attachment 1933571
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .
Mungu ibariki Chadema
Basi jinyonge maana inakuuma.Hata sinywi hiyo sumu.
Umefika Kigoma wewe? huku kaskazini kabisa? CHADEMA imetapakaa kote nchini so ajenda ya ukabila na udini imekufa zamani sana.Wanyakyusa na wakurya ndio misukule waaminifu wa wachagga, kwahiyo sioni jambo la ajabu hapo.