Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John mbona unamlabua?Dogo ana upimbi sana huyu 😂
Si kila mnyakyusa ni kiburi.....kama unacho ni muda mwafaka badilika....kiburi si maungwana..Mimi ni mnyakyusa. Na hizo ni tabia zetu za asili. Naomba nikutaarifu tu kua jitune tu kuishi nao wakiwa hivyo popote unapo waona.
Fuatilia si wote mkuu wanguNitafuatilia hili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado hamjasema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....target ilikuwa mwabukusi[emoji2960]
Ni kweli maana wote ninaohusiana nao Kama dada To yeye hawako hivyo hata kidogo ni watu charming zaidi ni watu wanaojua utu sana .Fuatilia si wote mkuu wangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana viongozi wazuri hutokea mikoa ya pwani maana huwa hawana majivuno, viburi na ujuaji
Hakika mkuu...Ni kweli maana wote ninaohusiana nao Kama dada To yeye hawako hivyo hata kidogo ni watu charming zaidi ni watu wanaojua utu sana .
Ila najipa muda kulifuatilia hili ndugu
[emoji7]Ni kweli maana wote ninaohusiana nao Kama dada To yeye hawako hivyo hata kidogo ni watu charming zaidi ni watu wanaojua utu sana .
Ila najipa muda kulifuatilia hili ndugu
[emoji1787][emoji1787]Watu poa saaana wanyakyusa hujaishi NAO tuuu.Wote ni Watumishi wa Mungu Ni wa ukoo wa Daud.hawana hiyana..Watu Mutu.
Huyu kwani ni mnyakyusa ?Hakika mkuu...
Ila wako viburi mathalani mnyakyusa dada yangu ERTHYROCYTES....unamuonaje huyu Tusekelege Erthyrocytes?!! [emoji1787][emoji1787]
Assalaam alaykum ukhty....Mbeya wengi ni wajivuni wa Zambia na Malawi wamejipachika tu unyakyusa.
Wa Kyela huyo...IpindaHuyu kwani ni mnyakyusa ?
Nafunga utafiti wangu rasmi kwa kusema basi ni kweli wako hivyo Ila siyo wote ni baadhiWa Kyela huyo...Ipinda
[emoji44][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nafunga utafiti wangu rasmi kwa kusema basi ni kweli wako hivyo Ila siyo wote ni baadhi
Sitamani kuendelea na utafiti kwa vichwa tajwa hapo juu[emoji44][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utafiti wako kwa reference ya popoma wachache ?!![emoji1787]
Umemaliza utafiti kwa kuwapata viburi wawili ,kiburi Mwabukusi...na kiburi Erthyrocytes....[emoji1787][emoji1787]