Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitamani kuendelea na utafiti kwa vichwa tajwa hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitamani kuendelea na utafiti kwa vichwa tajwa hapo juu
Iringa..Sanga si majina ya Iringa...
Kiongozi gani mzuri katokea Pwani ?Ndio maana viongozi wazuri hutokea mikoa ya pwani maana huwa hawana majivuno, viburi na ujuaji
Wanaweza kuwa Watanzania wa kuhamia lakini siyo wa asili.Assalaam alaykum ukhty....
Mbona una "double standards"?!!
Kwa hiyo wakazi wa Mbeya wengi si watanzania?? Like seriously ?!!
Kwa hiyo ndugu zako wadigo na wasegeju wa Tanga ni wakenya wa Mombasa?!!!
[emoji1787]Kiongozi gani mzuri katokea Pwani ?
Mtanzania wa asili ni nani ?Wanaweza kuwa Watanzania wa kuhamia lakini siyo wa asili.
Ndio wapo wengi ana uraia wa nchi mbili, hatra wamasai. wamakonde wengi ni wa nchiu mbili.
Hilo mbona linajulikana Tanzania, siyo geni.
MsukumaMtanzania wa asili ni nani ?
Hakuna, Tanzania yenyewe ni nchi changa inayojumuisha nchi mbili.Mtanzania wa asili ni nani ?
[emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]Msukuma
Yakhe mambo usiyojua we kaa kimya tu, si zile boti zenu nahodha akaa nyuma!Mbeya wengi ni wajivuni wa Zambia na Malawi wamejipachika tu unyakyusa.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]Hakuna, Tanzania yenyewe ni nchi changa inayojumuisha nchi mbili.
. Asili ya watu wa ardhi hii kabla ya ujio wa Wajerumani ni wa Zenjibar.
[emoji1787][emoji1787]Yakhe mambo usiyojua we kaa kimya tu, si zile boti zenu nahodha akaa nyuma!
Mkuu tena wanyakyusa ukute ni mwanamke ni wanafiki huku wakijificha kwenye ucha Mungu.Nitafuatilia hili
Hilo swali anaweza kulijibu FaizaFoxy anajua fika majukumu ya nahodha.[emoji1787][emoji1787]
Huko nyuma majukumu yake huyo nahodha yana mwongozo gani ?!!
Mkuu kule unyakyusani kuna "sehemu "ina baadhi ya wanawake watata hivi [emoji1787][emoji1787]Mkuu tena wanyakyusa ukute ni mwanamke ni wanafiki huku wakijificha kwenye ucha Mungu.
Alafu chunguza hata mtaani kwako ukikuta mwanamke wa kinyakyusa either single mother au ameachika au kama ana mume basi mume hana sauti.
[emoji1787][emoji1787]Hilo swali anaweza kulijibu FaizaFoxy anajua fika majukumu ya nahodha.
[emoji1787]Watanzania wote hatuwezi kuwa kama Wagogo ambao miaka 60 ya Uhuru bado unadanganywa kuwa endelea kunywa Uji wa Ubuyu na Viwavi jeshi eti mambo yatanyooka.
Wakati Viongozi wakifuja na kujilipa mishahara minono na MaV8 hapo Dodoma.
Soma kijana, hakuna kisiwa kinaitwa "bar" Kiarabu, k"bar" ndipo unapata neno bara. bar arabu, bara la wazenji ndiyo zenjibar. Kule Zanzibarvisiwani ndiyo kulibaki baada ya wazungu kujikatia bara la Afrika kama keki ya besidei, ndio wazungu kama kawaida yao ya kubadili majina wakapaita Zanzibar.[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]
Dadangu "faswbir swabran jamiila"
Seriously ?!!
Zenjibar ipi ?!!
Hivi "visiwa vya Zanzibar" ama zinji (nyeusi)?!!
Sawa....Soma kijana, hakuna kisiwa kinaitwa "bar" Kiarabu, k"bar" ndipo unapata neno bara. bar arabu, bara la wazenji ndiyo zenjibar. Kule Zanzibarvisiwani ndiyo kulibaki baada ya wazungu kujikatia bara la Afrika kama keki ya besidei, ndio wazungu kama kawaida yao ya kubadili majina wakapaita Zanzibar.
Jisomee hisgtoria kidogo. Zenjbar makao makuu yake yalikuwa yanaitwa Raptha, enzi na enzi, baadae yakahamia Kilwa.