greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Kikwete....ππππππ π πKiongozi gani mzuri katokea Pwani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete....ππππππ π πKiongozi gani mzuri katokea Pwani ?
Nimeoa kwenu ila tabia zenu kama jamaa alivyoandika hata ofcn mnaboa sanaUwezo na kujielewa kwa watu kunakuwasha sana.
Nani aliyekudanganya kuwa Tuntemeke Sanga alikuwa ni Mnyakyusa?
Nyelele ni sisimizi? Mh! Na nyenyere ni nani Sasa eti we shangazi?Labda nibadilishe, ulisomea shule Zambia, nadhani Zambia kaskazini nyelele ni sisimizi kama sijakosea, Tanzania hatuna nyelele japo wapo akina nyerere.
Ukiona wanakuboa ujue wameshakuchoka na sasa wanawapeni mnachostahili ili mgawane hizo boringNimeoa kwenu ila tabia zenu kama jamaa alivyoandika hata ofcn mnaboa sana
Kwa ujinga wako nyelele ni Nyerere! Sipendi kulumbana na wajinga, acha kabisa.Nyelele ni sisimizi? Mh! Na nyenyere ni nani Sasa eti we shangazi?