Viongozi na Wanasiasa acheni kiburi na majivuno, hamtafika kokote. Mkumbukeni Tuntemeke Sanga

Huyu jamaaaa angetufikisha mbali sana…..
 
Huyu Tuntemeke sio wa eneo moja la makete na Reverend Mtikila ?
 
Uwezo na kujielewa kwa watu kunakuwasha sana.
Nani aliyekudanganya kuwa Tuntemeke Sanga alikuwa ni Mnyakyusa?
Nimeoa kwenu ila tabia zenu kama jamaa alivyoandika hata ofcn mnaboa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…