Viongozi nchi za kiislamu wazungumzia vita vya Gaza kwa hamasa lakini bora wangenyamaza

Viongozi nchi za kiislamu wazungumzia vita vya Gaza kwa hamasa lakini bora wangenyamaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.

Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi Erdogan amesema vita vikimalizika Benjamin Netanyahu itabidi ashtakiwe kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita.

Kiongozi wa Jordan mfalme Abdalla yeye akataka Umoja wa mataifa uilazimieshe Israel kusitisha vita huko Gaza.

Emir wa Qattar, Tamim althani akasema ni aibu kubwa kwa ulimwengu kuacha vita viendelee kwa ukatili namna hii huko Gaza.

Viongozi wote watatu tunaweza kusema wamezungumza utumbo na upuuzi wa hali ya juu. Afadhali wangenyamaza tu wakaficha ujinga wao.

Tuanze na Erdogan.Kwanini anasubiri vita viishe na ushindi uende kwa Benjamin Netanyahu.Kwani akishtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita ndio itakuwa nini na jee hata akihukumiwa kifo jambo ambalo si rahisi.

Je, kifo chake hicho yeye mmoja itakuwa ni sawa na kuipoteza Gaza au ni sawa na vifo vya watu zaidi ya 20000 na hasara ya tillion za dola.Jee yeye muda huu hana msaada mwengine wa kuzuia vita zaidi ya mdomo wake na utabiri wa bundi.

Emir wa Qattar ni moja ya watawala wa mashariki ya kati ambao wana mchango mkubwa kwa maslahi ya wapalestina na ana huruma sana juu yao. Hata hivyo yeye hakupaswa kuwa na maoni kama ya kwangu mimi.Kwanza nchini kwake kuna vituo vikubwa vya jeshi la Marekani ambavyo mara kadhaa vimetumika kupiga nchi za waislamu wenzake kama vile Afghanistan, Iraq na Libya. Angepaswa kama amekasirika avifunge kabisa.Na kama maumivi yake ni makubwa akiona watoto na raia wanauliwa na kunyimwa chakula basi na arushe ndege zake za kisasa akapige ndani ya Israel au apige maslahi ya Israel na Marekani ambayo yamemzunguka kila upande.

Mfalme Abdalla wa Jordan naye anataka umoja wa mataifa uilazimishe Israel isitishe vita.Kwani yeye hajui kuwa Israel ina maazimio zaidi ya 200 kuhusu Palestina na yote imeyapuuza.Kutakuwa na kitu gani kipya cha kuilazimisha kutekeleza agizo hilo jipya.

Yeye akiwa ndio jirani wa karibu zaidi na Israel anashindwa nini kuachia vijana wake kwenda kuokoa mashamba na majumba ya wapalestina yanayovunjwa na kuporwa na wazayuni sambamba na kufukuzwa kwenye mashamba yao.
 
Afadhari ya hao wameongea na kuonyesha hasira zao. Adui wa umoja wa uislamu ni saudia ma misri. Viongozi na raia wengi wa hizo nchi ni wanafki wakubwa na ndio marafiki wakubwa wa Israel
Huyo wa Jordan hata akisema maneno yake hayana umuhimu wowote bila vitendo.Nafasi ile ingekuwa wapo Houth wa Yemen wala vita visingeendelea.

Mimi nina shaka kuwa kuwa katika ikulu zao kuna ukiritimba ambao unawazuia viongozi hao kufuatilia vita wao binafsi.Huwa wanaletewa ripoti tu kwenye karatasi.

Wangeona watu wa Gaza wanavyogaragazwa kwa vifo na mateso basi lazima wangechukua hatua.

Haijawahi kutokea watu kuuliwa hadharani namna hii huku watu wakiangalia.
 
Kwa taarifa yako sio waarabu wote wana support ugaidi wa Hamas ndio maana wanasita kuanzisha vita kwa sababu ambazo hazina mashiko…
 
Huyo wa Jordan hata akisema maneno yake hayana umuhimu wowote bila vitendo.Nafasi ile ingekuwa wapo Houth wa Yemen wala vita visingeendelea.
Mimi nina shaka kuwa kuwa katika ikulu zao kuna ukiritimba ambao unawazuia viongozi hao kufuatilia vita wao binafsi.Huwa wanaletewa ripoti tu kwenye karatasi.Wangeona watu wa Gaza wanavyogaragazwa kwa vifo na mateso basi lazima wangechukua hatua.
Haijawahi kutokea watu kuuliwa hadharani namna hii huku watu wakiangalia.

Wewe umechukua hatua gani zaidi ya kulialia nyuma ya keyboard na kutoa lawama
 
Huyo wa Jordan hata akisema maneno yake hayana umuhimu wowote bila vitendo.Nafasi ile ingekuwa wapo Houth wa Yemen wala vita visingeendelea.
Mimi nina shaka kuwa kuwa katika ikulu zao kuna ukiritimba ambao unawazuia viongozi hao kufuatilia vita wao binafsi.Huwa wanaletewa ripoti tu kwenye karatasi.Wangeona watu wa Gaza wanavyogaragazwa kwa vifo na mateso basi lazima wangechukua hatuana ardhi zao
Haijawahi kutokea watu kuuliwa hadharani namna hii huku watu wakiangalia.
Nyie kama vile hamjielewi, nchi za kiarabu wakiingia vita na Israel kuna nchi zitamegwa tena, Jordan, Egypt ndo majirani wa Israel bado wanakumbukumbu mbaya sana ya kupigwa mpaka ardhi zao kuchukuliwa, vita ikitokea nchi zitakazopata hasara zaidi ni Jordan na Egypt, Israel hana cha kupoteza ni
 
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.

Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi Erdogan amesema vita vikimalizika Benjamin Netanyahu itabidi ashtakiwe kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita.

Kiongozi wa Jordan mfalme Abdalla yeye akataka Umoja wa mataifa uilazimieshe Israel kusitisha vita huko Gaza.

Emir wa Qattar, Tamim althani akasema ni aibu kubwa kwa ulimwengu kuacha vita viendelee kwa ukatili namna hii huko Gaza.

Viongozi wote watatu tunaweza kusema wamezungumza utumbo na upuuzi wa hali ya juu. Afadhali wangenyamaza tu wakaficha ujinga wao.

Tuanze na Erdogan.Kwanini anasubiri vita viishe na ushindi uende kwa Benjamin Netanyahu.Kwani akishtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita ndio itakuwa nini na jee hata akihukumiwa kifo jambo ambalo si rahisi.

Je, kifo chake hicho yeye mmoja itakuwa ni sawa na kuipoteza Gaza au ni sawa na vifo vya watu zaidi ya 20000 na hasara ya tillion za dola.Jee yeye muda huu hana msaada mwengine wa kuzuia vita zaidi ya mdomo wake na utabiri wa bundi.

Emir wa Qattar ni moja ya watawala wa mashariki ya kati ambao wana mchango mkubwa kwa maslahi ya wapalestina na ana huruma sana juu yao. Hata hivyo yeye hakupaswa kuwa na maoni kama ya kwangu mimi.Kwanza nchini kwake kuna vituo vikubwa vya jeshi la Marekani ambavyo mara kadhaa vimetumika kupiga nchi za waislamu wenzake kama vile Afghanistan, Iraq na Libya. Angepaswa kama amekasirika avifunge kabisa.Na kama maumivi yake ni makubwa akiona watoto na raia wanauliwa na kunyimwa chakula basi na arushe ndege zake za kisasa akapige ndani ya Israel au apige maslahi ya Israel na Marekani ambayo yamemzunguka kila upande.

Mfalme Abdalla wa Jordan naye anataka umoja wa mataifa uilazimishe Israel isitishe vita.Kwani yeye hajui kuwa Israel ina maazimio zaidi ya 200 kuhusu Palestina na yote imeyapuuza.Kutakuwa na kitu gani kipya cha kuilazimisha kutekeleza agizo hilo jipya.

Yeye akiwa ndio jirani wa karibu zaidi na Israel anashindwa nini kuachia vijana wake kwenda kuokoa mashamba na majumba ya wapalestina yanayovunjwa na kuporwa na wazayuni sambamba na kufukuzwa kwenye mashamba yao.
Wewe unaoombea angalau dua usiku ukiamka? Au ndio unalaumu tu?
 
Wewe unaoombea angalau dua usiku ukiamka? Au ndio unalaumu tu?
Kuhusu dua naamini mimi ndio miongoni mwa hao dua zao zinazofanya kazi Gaza.

Na hizi lawama zangu ni sehemu ya kuhamasisha wengine wachukue hatu au wafanya kama mimi.

Na lawama hizi ni wazi kuwa mimi ningekuwa kiongozi wa moja wa hizo nchi basi ushindi ungeshapatikana mapema.

Bila kuangalia kwa umakini kinachoendelea na kujua wapi kuna kasoro na kuziweka hadharani itakuwa na sisi pia hatukuteleleza wajibu ulio ndani ya uwezo wetu.Huku mitaani nako huwa naangalia mwenendo wa hsisia za watu.Kuna waislamu ambao hawana msaada wowote na wako wanaojitahidi.

Kuna misikiti wakati vita vibaya vinaendelea waa wanazungumzia umuhimu wa kutoa sadaka ili umeme usikatike.Wangezungumzia ubaya wa vita,namna waislamu wanavyopigana na kusaidiana wakati wa shida na kuwazindua watu angalau waombe dua wawe ni sehemu ya askari huko Gaza.

Unajua balozi zote za hizo nchi zina wafanyakazi wao wanaoingia JF kufuata maoni na kupeleka kwa balozi wao.Kwa vile mimi sio kiongozi wa hizo nchi naamini salamu zimefika na wasipofanya wasubiri adhabu zao za duniani na akhera.
 
Hao waarabu wangekuwa na akili timamu ningewaelewa kama wangesema kuwa Israel wasimamishe vita alafu wao waingie kuwasaka Hamas na kuwaondoa Palestina kwani Hamas ndiyo wachokozi.
Tofauti na hapo wamepanua midomo badala ya kupanua akili.
 
Yaan wewe unajua kuliko raisi wa Uturuki?
Bangi imekua ni janga sasa, vijana wetu wanaangamia
 
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.

Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi Erdogan amesema vita vikimalizika Benjamin Netanyahu itabidi ashtakiwe kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita.

Kiongozi wa Jordan mfalme Abdalla yeye akataka Umoja wa mataifa uilazimieshe Israel kusitisha vita huko Gaza.

Emir wa Qattar, Tamim althani akasema ni aibu kubwa kwa ulimwengu kuacha vita viendelee kwa ukatili namna hii huko Gaza.

Viongozi wote watatu tunaweza kusema wamezungumza utumbo na upuuzi wa hali ya juu. Afadhali wangenyamaza tu wakaficha ujinga wao.

Tuanze na Erdogan.Kwanini anasubiri vita viishe na ushindi uende kwa Benjamin Netanyahu.Kwani akishtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita ndio itakuwa nini na jee hata akihukumiwa kifo jambo ambalo si rahisi.

Je, kifo chake hicho yeye mmoja itakuwa ni sawa na kuipoteza Gaza au ni sawa na vifo vya watu zaidi ya 20000 na hasara ya tillion za dola.Jee yeye muda huu hana msaada mwengine wa kuzuia vita zaidi ya mdomo wake na utabiri wa bundi.

Emir wa Qattar ni moja ya watawala wa mashariki ya kati ambao wana mchango mkubwa kwa maslahi ya wapalestina na ana huruma sana juu yao. Hata hivyo yeye hakupaswa kuwa na maoni kama ya kwangu mimi.Kwanza nchini kwake kuna vituo vikubwa vya jeshi la Marekani ambavyo mara kadhaa vimetumika kupiga nchi za waislamu wenzake kama vile Afghanistan, Iraq na Libya. Angepaswa kama amekasirika avifunge kabisa.Na kama maumivi yake ni makubwa akiona watoto na raia wanauliwa na kunyimwa chakula basi na arushe ndege zake za kisasa akapige ndani ya Israel au apige maslahi ya Israel na Marekani ambayo yamemzunguka kila upande.

Mfalme Abdalla wa Jordan naye anataka umoja wa mataifa uilazimishe Israel isitishe vita.Kwani yeye hajui kuwa Israel ina maazimio zaidi ya 200 kuhusu Palestina na yote imeyapuuza.Kutakuwa na kitu gani kipya cha kuilazimisha kutekeleza agizo hilo jipya.

Yeye akiwa ndio jirani wa karibu zaidi na Israel anashindwa nini kuachia vijana wake kwenda kuokoa mashamba na majumba ya wapalestina yanayovunjwa na kuporwa na wazayuni sambamba na kufukuzwa kwenye mashamba yao.
Zaidi ya maneno unataka wafanye nini? Ni bora hao wamesema nawe ukasikia ,wewe umefanya nini kuwasadia hao wapalestina.
Edogani hana sifa ya kuilaumu Israel, Yeye ni muuaji na mtekaji wa Wakurdi au hujui? Ndiyo maana jumuia ya kimataifa inampuuza.
Qatar ni mmoja wa donars wa Hamasi na kundi lake la kijeshi, ulimwengu unajua. Joldan ana mkataba wa amani na Israel dunia inajua.
Kinachowauma ni kuona waliowafunga ugaidi wanaoangamia kama siyo kumalizwa kabisa.
Habari za leo unazo idf ipo khan yunus. Baada ya hapo Hamas watakuwa wamepigwa vibaya sana
 
Zaidi ya maneno unataka wafanye nini? Ni bora hao wamesema nawe ukasikia ,wewe umefanya nini kuwasadia hao wapalestina.
Edogani hana sifa ya kuilaumu Israel, Yeye ni muuaji na mtekaji wa Wakurdi au hujui? Ndiyo maana jumuia ya kimataifa inampuuza.
Qatar ni mmoja wa donars wa Hamasi na kundi lake la kijeshi, ulimwengu unajua. Joldan ana mkataba wa amani na Israel dunia inajua.
Kinachowauma ni kuona waliowafunga ugaidi wanaoangamia kama siyo kumalizwa kabisa.
Habari za leo unazo idf ipo khan yunus. Baada ya hapo Hamas watakuwa wamepigwa vibaya sana
Hiyo mikataba na Israel wao peke yao ndio wanaoiheshimu.Wangetumia kipengele chochote katika mkataba alipoharibu Israel wakakatisha mkataba mara moja.
Bahrain peke yake ndio yuko njiani kuachana na mkataba wa Abraham.
 
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.

Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi Erdogan amesema vita vikimalizika Benjamin Netanyahu itabidi ashtakiwe kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita.

Kiongozi wa Jordan mfalme Abdalla yeye akataka Umoja wa mataifa uilazimieshe Israel kusitisha vita huko Gaza.

Emir wa Qattar, Tamim althani akasema ni aibu kubwa kwa ulimwengu kuacha vita viendelee kwa ukatili namna hii huko Gaza.

Viongozi wote watatu tunaweza kusema wamezungumza utumbo na upuuzi wa hali ya juu. Afadhali wangenyamaza tu wakaficha ujinga wao.

Tuanze na Erdogan.Kwanini anasubiri vita viishe na ushindi uende kwa Benjamin Netanyahu.Kwani akishtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita ndio itakuwa nini na jee hata akihukumiwa kifo jambo ambalo si rahisi.

Je, kifo chake hicho yeye mmoja itakuwa ni sawa na kuipoteza Gaza au ni sawa na vifo vya watu zaidi ya 20000 na hasara ya tillion za dola.Jee yeye muda huu hana msaada mwengine wa kuzuia vita zaidi ya mdomo wake na utabiri wa bundi.

Emir wa Qattar ni moja ya watawala wa mashariki ya kati ambao wana mchango mkubwa kwa maslahi ya wapalestina na ana huruma sana juu yao. Hata hivyo yeye hakupaswa kuwa na maoni kama ya kwangu mimi.Kwanza nchini kwake kuna vituo vikubwa vya jeshi la Marekani ambavyo mara kadhaa vimetumika kupiga nchi za waislamu wenzake kama vile Afghanistan, Iraq na Libya. Angepaswa kama amekasirika avifunge kabisa.Na kama maumivi yake ni makubwa akiona watoto na raia wanauliwa na kunyimwa chakula basi na arushe ndege zake za kisasa akapige ndani ya Israel au apige maslahi ya Israel na Marekani ambayo yamemzunguka kila upande.

Mfalme Abdalla wa Jordan naye anataka umoja wa mataifa uilazimishe Israel isitishe vita.Kwani yeye hajui kuwa Israel ina maazimio zaidi ya 200 kuhusu Palestina na yote imeyapuuza.Kutakuwa na kitu gani kipya cha kuilazimisha kutekeleza agizo hilo jipya.

Yeye akiwa ndio jirani wa karibu zaidi na Israel anashindwa nini kuachia vijana wake kwenda kuokoa mashamba na majumba ya wapalestina yanayovunjwa na kuporwa na wazayuni sambamba na kufukuzwa kwenye mashamba yao.
kwamba Hamas hawana kosa ? ila Benjamin Netanyau ndo mwenye kosa ? Putin yupo sahihi alichofanya Ukraine , huyu anawadaaa waislam [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwamba Hamas hawana kosa ? ila Benjamin Netanyau ndo mwenye kosa ? Putin yupo sahihi alichofanya Ukraine , huyu anawadaaa waislam [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa huwa tunazungumza yale yaliyo kwenye nyoyo zaidi kwani sisi sio wanasiasa wanaozungumza ili kulinda maslahi yao.
Kama ulivyosema hapo juu ndio usahihi wake.Wacha kupiga kampeni wengine waone kuwa mimi nawahadaa.
Ukitataka kuonesha kutokuwa sahihi kwa Putin na Hamas utaishiwa na maneno na hutashinda mwishowe utajiaibishwa wewe mwenyewe.zaidi ni kuwa hayo tushayajadili kwenye nyuzi nyengine na hakuna aliyekubali kushindwa japokuwa kuna hoja mwenye akili anajuwa zina uzito zaidi.
Habari za Putin na Ukraine soma huko kwengine.Kuhusu Hamas wewe tuoneshe wapi wamekosea na ulitaka wafanye nini ili kubaki na heshima zao za kibinadamu.
Jee unadhani lile shambulio la oktoba 7 ni baya kiasi gani kupima na mashambuio waliokwisha kufanyiwa kwa miaka 75.Au ndio ule msemo mkuki kwa nguruwe.................
Israel kupigwa kofi tu imekuwa ni makelele dunia nzima na kupanda kichaa cha kuua kila mtu....
 
kwamba Hamas hawana kosa ? ila Benjamin Netanyau ndo mwenye kosa ? Putin yupo sahihi alichofanya Ukraine , huyu anawadaaa waislam [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unafahamu mgogoro wa palestina na Israel unahusu nini? Maana naona kuna uwezekano mkubwa tuna discuss na wendawazimu
 
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.

Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi Erdogan amesema vita vikimalizika Benjamin Netanyahu itabidi ashtakiwe kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita.

Kiongozi wa Jordan mfalme Abdalla yeye akataka Umoja wa mataifa uilazimieshe Israel kusitisha vita huko Gaza.

Emir wa Qattar, Tamim althani akasema ni aibu kubwa kwa ulimwengu kuacha vita viendelee kwa ukatili namna hii huko Gaza.

Viongozi wote watatu tunaweza kusema wamezungumza utumbo na upuuzi wa hali ya juu. Afadhali wangenyamaza tu wakaficha ujinga wao.

Tuanze na Erdogan.Kwanini anasubiri vita viishe na ushindi uende kwa Benjamin Netanyahu.Kwani akishtakiwa kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita ndio itakuwa nini na jee hata akihukumiwa kifo jambo ambalo si rahisi.

Je, kifo chake hicho yeye mmoja itakuwa ni sawa na kuipoteza Gaza au ni sawa na vifo vya watu zaidi ya 20000 na hasara ya tillion za dola.Jee yeye muda huu hana msaada mwengine wa kuzuia vita zaidi ya mdomo wake na utabiri wa bundi.

Emir wa Qattar ni moja ya watawala wa mashariki ya kati ambao wana mchango mkubwa kwa maslahi ya wapalestina na ana huruma sana juu yao. Hata hivyo yeye hakupaswa kuwa na maoni kama ya kwangu mimi.Kwanza nchini kwake kuna vituo vikubwa vya jeshi la Marekani ambavyo mara kadhaa vimetumika kupiga nchi za waislamu wenzake kama vile Afghanistan, Iraq na Libya. Angepaswa kama amekasirika avifunge kabisa.Na kama maumivi yake ni makubwa akiona watoto na raia wanauliwa na kunyimwa chakula basi na arushe ndege zake za kisasa akapige ndani ya Israel au apige maslahi ya Israel na Marekani ambayo yamemzunguka kila upande.

Mfalme Abdalla wa Jordan naye anataka umoja wa mataifa uilazimishe Israel isitishe vita.Kwani yeye hajui kuwa Israel ina maazimio zaidi ya 200 kuhusu Palestina na yote imeyapuuza.Kutakuwa na kitu gani kipya cha kuilazimisha kutekeleza agizo hilo jipya.

Yeye akiwa ndio jirani wa karibu zaidi na Israel anashindwa nini kuachia vijana wake kwenda kuokoa mashamba na majumba ya wapalestina yanayovunjwa na kuporwa na wazayuni sambamba na kufukuzwa kwenye mashamba yao.
Hakika bora wangenyamaza.
 
Katika uchunguzi wangu bunafsi wa kidiplomasia kuhusu hi vita Kuna vitu nimegundua

1) Hi vita iliota kama uyoga na nchi zote za kiarabu na kiislam zikapatwa na mshangao Kwa Nini Hamas walitanya lile shambulio October 7

a) Inawezekana kabisa lile shambulio halikufanywa na Hamas ila ni mpango wa Marekani Ili nchi za Mashariki ya kati zingie vitani yeye aendelee kuwa super power

b) Kama ni Hamas ndio waliofanya lile shambulio Kwa Nini wasiendelee kutumia hizo silaha kama walizozitumia October 7

c) Kwanini majeshi ya Israel yalenge Hospital, Shule na makazi ya watu badala ya wanamganbo wa Hamas

d) Netanyau anajua kama mabomu yake hayawapati wanamganbo wa Hamas ila yanaua watoto, wagonjwa na wanafunzi maana Hamas wapo na wanaongea nao kuhusu mateka yawezekana hawa sio Hamas original ni Hamas wa mchongo

e) Nchi za kiarabu na kiislam zipo kimya zikiingalia UN itachukua hatua gani wakati Netanyau akiua watoto, wagonjwa na wanafunzi wasio Jua hata kushika siraha

f) Nchi za kiarabu na kiislam zipo kimya na hazina mpango wa kuingia vitani Ili kuuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wapenda vita ila huwa wanalazimishwa na Na Marekani kuanzisha vita

Conclusion yangu ni kwamba wale walikuwa Hamas wa mchongo Ili kuleta mtafaruku usio wa lazima na ndio maana watu wametulia kimya wanawangalia

Siku Siri ikifichuka kuwa lile shambulio la October 7 halikuwa la Hamas Israel itashambuliwa na kubakia majivu
 
Back
Top Bottom