Viongozi Simba hawajitambui. Eti Mgunda hawafai? wanatafuta kocha Takataka yoyote kutoka nje? au wanatafuta kocha wa Mshahara mkubwa.

Viongozi Simba hawajitambui. Eti Mgunda hawafai? wanatafuta kocha Takataka yoyote kutoka nje? au wanatafuta kocha wa Mshahara mkubwa.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Mgunda kampiga Azam na Kikosi cha Tatu na Timu nzima haieleweki. Takwimu zinambeba lakini kila siku wanatafuta kocha duu.
 
Ndiyo muda wa kupiga hela huu. Aletwe kocha mpya avurundi alafu kocha wa mpito apewe timu,na boli litembee
 
Hata Mimi nawaunga mkono, Mgunda Hana plan B mfano mechi na Kagera kipindi Cha pili Simba imezidiwa mpaka wanasawazisha lakini hakubadili chochote
 
Kwani si tumekubaliana wote kwa pamoja ya kwamba Mgunda ni spare tyre! Halafu Matola ni kocha msaidizi wa kudumu! au kuna mtazamo tofauti na huu?
Hapo sisi wana Simba tumekubaliana pasipo na shaka yoyote!
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Mgunda kampiga Azam na Kikosi cha Tatu na Timu nzima haieleweki. Takwimu zinambeba lakini kila siku wanatafuta kocha duu.
Hata mimi nakubaliana na viongozi. Mgunda ni kocha wa dharula, sio wa kumtegemea kuitengeneza timu ya muda mrefu. Acha waje makocha wa kigeni
 
Km kocha ametoka South Africa amekuja Tanzania kuifundisha Simba inatakiwa nae Mgunda aende South Africa akaifundishe Mamelodi sundowns. Kwenye maisha ukitaka ufanikiwe fanya onyesha ubora wako watu wataona usipende kulalamika..
 
Km kocha ametoka South Africa amekuja Tanzania kuifundisha Simba inatakiwa nae Mgunda aende South Africa akaifundishe Mamelodi sundowns. Kwenye maisha ukitaka ufanikiwe fanya onyesha ubora wako watu wataona usipende kulalamika..
Simba ni kubwa kuliko Mamelodi
 
Kwani nini huyo mgunda asitafte timu apambane kuonesha uwezo wake maana inachosha mtu kila siku kutumika na ashituki
 
Back
Top Bottom