Viongozi Simba mnatuonaje?

Viongozi Simba mnatuonaje?

Alexander Lukashenko

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2017
Posts
4,140
Reaction score
9,667
Viongozi wa Simba mnatuonaje?

Mnadhani mashabiki wote ni maamuma?

Mnatengeneza Zogo la makusudi ili mumtupie lawama Kocha? Awamu hii tumewashika pabaya ama zenu ama Zetu.

Robertinho ni Kocha mzuri ila atafeli kwakuwa anafanya kazi na Viongozi wapumbavu, kama kuna mtu aliona namna Simba ilikuwa inacheza last season atakubaliana na Mimi. Simba ile iliyocheza dhidi ya Waydad AC away huwezi kuniambia ilikuwa inafundishwa na kocha Mzembe, ntakukatalia.

KWANINI SIMBA INAFANYA VIBAYA SAIV?

1. SIMBA HAIKUWA NA PRE SEASON.
Viongozi mnapenda kuzungumzwa na vyombo vya habari. We had a "Fancy" pre season, ila isiyokamilifu. Pre season ya "mafungu mafungu" Team imeenda pre season na wachezaji wachache, wengi kati ya hao wachache sio "regulars".

Chama, Baleke, Malone, Ngoma, Miq, Onana, Kramo na wengine nilio wasahau.
Hawajaanza pre season na wenzao.

Matokeo yake yanaonekana uwanjani saiv.

2. Mnampangia kikosi kocha.
( Miq kuanza leo, inaelezea hili ).

3.Mmesajili wachezaji wa mashabiki sio wachezaji wa kocha.

Tuombee Mungu team ichanganye Mapema, Vinginevyo itatuwia Ugumu.
 
Nina uhakika leo kama si kile kichaka cha matokeo ya penati walichojificha viongozi wa Simba hali ingekua mbaya sana.
Leo yanga walistahili kushinda ila mpira ume kataa.
Yanga watazidi kuimarika na sina shaka vikombe vinakuja.
Hakuna mwana simba yoyote aliyekua na Amani mpaka matuta yalipo jibu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nina uhakika leo kama si kile kichaka cha matokeo ya penati walichojificha viongozi wa Simba hali ingekua mbaya sana.
Leo yanga walistahili kushinda ila mpira ume kataa.
Yanga watazidi kuimarika na sina shaka vikombe vinakuja.
Hakuna mwana simba yoyote aliyekua na Amani mpaka matuta yalipo jibu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mimi si Yanga wala sihadaiki na matokeo.......
Matatizo ya ysnga watazungumza wanayanga.
 
Viongozi wa Simba mnatuonaje?

Mnadhani mashabiki wote ni maamuma?

Mnatengeneza Zogo la makusudi ili mumtupie lawama Kocha? Awamu hii tumewashika pabaya ama zenu ama Zetu.

Robertinho ni Kocha mzuri ila atafeli kwakuwa anafanya kazi na Viongozi wapumbavu, kama kuna mtu aliona namna Simba ilikuwa inacheza last season atakubaliana na Mimi. Simba ile iliyocheza dhidi ya Waydad AC away huwezi kuniambia ilikuwa inafundishwa na kocha Mzembe, ntakukatalia.

KWANINI SIMBA INAFANYA VIBAYA SAIV?

1. SIMBA HAIKUWA NA PRE SEASON.
Viongozi mnapenda kuzungumzwa na vyombo vya habari. We had a "Fancy" pre season, ila isiyokamilifu. Pre season ya "mafungu mafungu" Team imeenda pre season na wachezaji wachache, wengi kati ya hao wachache sio "regulars".

Chama, Baleke, Malone, Ngoma, Miq, Onana, Kramo na wengine nilio wasahau.
Hawajaanza pre season na wenzao.

Matokeo yake yanaonekana uwanjani saiv.

2. Mnampangia kikosi kocha.
( Miq kuanza leo, inaelezea hili ).

3.Mmesajili wachezaji wa mashabiki sio wachezaji wa kocha.

Tuombee Mungu team ichanganye Mapema, Vinginevyo itatuwia Ugumu.
Nahisi hata Boko alipangwa na viongozi.
 
Viongozi wa Simba mnatuonaje?

Mnadhani mashabiki wote ni maamuma?

Mnatengeneza Zogo la makusudi ili mumtupie lawama Kocha? Awamu hii tumewashika pabaya ama zenu ama Zetu.

Robertinho ni Kocha mzuri ila atafeli kwakuwa anafanya kazi na Viongozi wapumbavu, kama kuna mtu aliona namna Simba ilikuwa inacheza last season atakubaliana na Mimi. Simba ile iliyocheza dhidi ya Waydad AC away huwezi kuniambia ilikuwa inafundishwa na kocha Mzembe, ntakukatalia.

KWANINI SIMBA INAFANYA VIBAYA SAIV?

1. SIMBA HAIKUWA NA PRE SEASON.
Viongozi mnapenda kuzungumzwa na vyombo vya habari. We had a "Fancy" pre season, ila isiyokamilifu. Pre season ya "mafungu mafungu" Team imeenda pre season na wachezaji wachache, wengi kati ya hao wachache sio "regulars".

Chama, Baleke, Malone, Ngoma, Miq, Onana, Kramo na wengine nilio wasahau.
Hawajaanza pre season na wenzao.

Matokeo yake yanaonekana uwanjani saiv.

2. Mnampangia kikosi kocha.
( Miq kuanza leo, inaelezea hili ).

3.Mmesajili wachezaji wa mashabiki sio wachezaji wa kocha.

Tuombee Mungu team ichanganye Mapema, Vinginevyo itatuwia Ugumu.
Mzee, changia kambi na usajili ili wachezaji wafike kambini mapema. Usajili ni jambo la muhimu zaidi kuliko kambi. Ukikosea kufanya usajili kwa ajili ya kuwaridhisha wajinga wachache kwa kuwawahisha wachezaji kambini, utajikuta umesajili haraka haraka na una magarasa yaliyosaini miaka miwili, kuvunja mkataba inakuwa shughuli, wakati kambi unaweza ukachelewa lakini Haina deadline, wachezaji wataendelea kuelewana hata kama mwanzo watakuwa hawaelewani vizuri
 
Mzee, changia kambi na usajili ili wachezaji wafike kambini mapema. Usajili ni jambo la muhimu zaidi kuliko kambi. Ukikosea kufanya usajili kwa ajili ya kuwaridhisha wajinga wachache kwa kuwawahisha wachezaji kambini, utajikuta umesajili haraka haraka na una magarasa yaliyosaini miaka miwili, kuvunja mkataba inakuwa shughuli, wakati kambi unaweza ukachelewa lakini Haina deadline, wachezaji wataendelea kuelewana hata kama mwanzo watakuwa hawaelewani vizuri
wAlishtukizwa kuwa wanatakiwa kusajili?
 
Mzee, changia kambi na usajili ili wachezaji wafike kambini mapema. Usajili ni jambo la muhimu zaidi kuliko kambi. Ukikosea kufanya usajili kwa ajili ya kuwaridhisha wajinga wachache kwa kuwawahisha wachezaji kambini, utajikuta umesajili haraka haraka na una magarasa yaliyosaini miaka miwili, kuvunja mkataba inakuwa shughuli, wakati kambi unaweza ukachelewa lakini Haina deadline, wachezaji wataendelea kuelewana hata kama mwanzo watakuwa hawaelewani vizuri
Muulize huyo bwege Azam waliwahi pre Season mapema sana asubuhi na wachezaji wote vipi nao viongozi wao wanampangia Mwalimu? mbona juzi walicheza kama timu la darasa la nne c. Aache ujinga aheshimu taaluma za watu.
 
Nina uhakika leo kama si kile kichaka cha matokeo ya penati walichojificha viongozi wa Simba hali ingekua mbaya sana.
Leo yanga walistahili kushinda ila mpira ume kataa.
Yanga watazidi kuimarika na sina shaka vikombe vinakuja.
Hakuna mwana simba yoyote aliyekua na Amani mpaka matuta yalipo jibu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Timu bora ni ile inayopata matokeo hata ikicheza vibaya..

Kama umefuatilia derby zote kwa miaka hii mitano utagundua Simba imekuwa vizuri kuliko hata hasimu wake lakini matokeo mengi hayakuwa upande wao.

Kucheza vizuri hakutoshi kukufanya ushinde.

Nani anastahili na nani hastahili huamuliwa na dakika 90 uwanjani.
 
Nina uhakika leo kama si kile kichaka cha matokeo ya penati walichojificha viongozi wa Simba hali ingekua mbaya sana.
Leo yanga walistahili kushinda ila mpira ume kataa.
Yanga watazidi kuimarika na sina shaka vikombe vinakuja.
Hakuna mwana simba yoyote aliyekua na Amani mpaka matuta yalipo jibu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Taarabu tupu. Mngeshinda ndani ya dak 90 kama kwa azam

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Lawama za kijinga hizi. Unachangia nini kwenye timu wewe zaidi ya kelele.
 
Timu bora ni ile inayopata matokeo hata ikicheza vibaya..

Kama umefuatilia derby zote kwa miaka hii mitano utagundua Simba imekuwa vizuri kuliko hata hasimu wake lakini matokeo mengi hayakuwa upande wao.

Kucheza vizuri hakutoshi kukufanya ushinde.

Nani anastahili na nani hastahili huamuliwa na dakika 90 uwanjani.
Lkn bahati mbaya haikuamuliwa ndani ya dk90.
 
Simba ina tatizo kwa sisi mashabiki kutaka wachezaji tuwatakao sisi ndo acheze.
Miq hakupaswa sajiliwa ila ndo hivyo kawa gharama kwa timu.

Huyu kipa wa leo naye asianiniwe
 
Viongozi wa Simba mnatuonaje?

Mnadhani mashabiki wote ni maamuma?

Mnatengeneza Zogo la makusudi ili mumtupie lawama Kocha? Awamu hii tumewashika pabaya ama zenu ama Zetu.

Robertinho ni Kocha mzuri ila atafeli kwakuwa anafanya kazi na Viongozi wapumbavu, kama kuna mtu aliona namna Simba ilikuwa inacheza last season atakubaliana na Mimi. Simba ile iliyocheza dhidi ya Waydad AC away huwezi kuniambia ilikuwa inafundishwa na kocha Mzembe, ntakukatalia.

KWANINI SIMBA INAFANYA VIBAYA SAIV?

1. SIMBA HAIKUWA NA PRE SEASON.
Viongozi mnapenda kuzungumzwa na vyombo vya habari. We had a "Fancy" pre season, ila isiyokamilifu. Pre season ya "mafungu mafungu" Team imeenda pre season na wachezaji wachache, wengi kati ya hao wachache sio "regulars".

Chama, Baleke, Malone, Ngoma, Miq, Onana, Kramo na wengine nilio wasahau.
Hawajaanza pre season na wenzao.

Matokeo yake yanaonekana uwanjani saiv.

2. Mnampangia kikosi kocha.
( Miq kuanza leo, inaelezea hili ).

3.Mmesajili wachezaji wa mashabiki sio wachezaji wa kocha.

Tuombee Mungu team ichanganye Mapema, Vinginevyo itatuwia Ugumu.
Timu ya simba haiwezi kabisa kucheza mpira na kufika golini kwa mpinzani.

Hata mpira kumiliki imekuwa ngumu.Wasipojipanga ndo basi.
 
Hivi unapomtaka mchezaji fulani, unadhani uko peke yako? Unadhani hakuna timu iliyokuwa inamhitaji Che Malone, Luis, Onana, Ngoma na Kramo, ila Simba tu? Acheni ujinga, lawama tu bila kujali juhudi zilizofanyika
Mtu mzembe lazima alaumiwe.
Timu Nyingi zilikuwa zinawataka wachezaji sawa.
Team Nyingi zilikuwa zinamtaka Chama pia? Na Baleke? Mbona hawakwenda pre season mapema.
Onana kasajiliwa mapema sana ila wakawa wanamzurulisha kwenye mikutano.

Na wala nisingelaumu kama wasinge mtengenezea Kocha mazingira ya lawama kwa Uzembe wao.
 
Back
Top Bottom