Viongozi Simba mnatuonaje?

Viongozi Simba mnatuonaje?

Simba ina tatizo kwa sisi mashabiki kutaka wachezaji tuwatakao sisi ndo acheze.
Miq hakupaswa sajiliwa ila ndo hivyo kawa gharama kwa timu.

Huyu kipa wa leo naye asianiniwe
Wabongo sisi ni wajuaji mno.
Mara Chama hivi..........
Miq hivi, phiri .....
Mtu hata team ya darasa hajawahi Fundisha ila mdomo sasa.
 
Lipia kadi yako ya uwanachama kwanza sw.maneno kidogo tu.
 
Jifarijini tu lakini timu yenu Simba mbovu sana

Katika mechi 2 za Ngao ya hisani mmeshindwa hata kufunga goli Moja ndani ya dakika 90

Usikalili mpira mkuu
Argentina alipigwa na Saudi Arabia
Akawa BINGWA

Croatia alitawala mpira wote kwenye Uefa Nations Spain akabeba ubingwa
Man City hakupata hata shot on target moja against Liverpool community shield 2022
Kilichotokea akabeba makombe yote
 
Jifarijini tu lakini timu yenu Simba mbovu sana

Katika mechi 2 za Ngao ya hisani mmeshindwa hata kufunga goli Moja ndani ya dakika 90
Mbali na Udhaifu wote Simba Bingwa.
Maana yanga nao ni Hovyo pia, jana walikuwa na on target 1 tu.
 
Mbali na Udhaifu wote Simba Bingwa.
Maana yanga nao ni Hovyo pia, jana walikuwa na on target 1 tu.

Simba alikuwa na on target ngap? AU tuache on target basi alikuwa na off target ngap ?

Kuna time izi dab au fainal uwa na matokeo yake tu kuna mda team bora ufungwa na team yakawaida . Kwa jana simba hawakuwa na mchezo mzur uwanjan ila wakawa mabingwa tuna mpongeza mtan kwa ilo

Nazan sikuiz mashabik wa yanga wanaujua mpira wanaiyona team yao jinsi ilivyo na wanaiamin na wanaamin walikuwa bora uwanjan lakin fainal inamatokeo yake tu kinacho waumiza n kupoteza ngao na sio kwamba wana timu mbovu ndio maana hausikii kelele zile za mbona kocha hamchezesh flan au mbona kocha kampanga flan wakat flan yupo nje in shot wanawaamin wachezaj wao na usajil uliyofanya

YANGA WANAUMIA KWA KUPOTEZA NGAO LAKIN WANAJIVUNIA KWA KUWA NA TIMU NZURI . ILA NAKUAKIKISHIA YANGA ANGESHINDA JANA KULE KWA NDUGU ZETU KUZINGE KALIKA WASHUKURU MUNGU PENAT ZIMEAMUA WAO KUWA BINGWA NDIO WAMEPATA KICHAKA CHA KUJIFICHIA

ALL IN ALL HONGERA MTANI HII MISIMU MIWIL ULIKUWA KINYONGE SANA ANGALAU SASA UNAONYESHA ATA NYUSO YA FURAHA [emoji28][emoji28]
 
Simba alikuwa na on target ngap? AU tuache on target basi alikuwa na off target ngap ?

Kuna time izi dab au fainal uwa na matokeo yake tu kuna mda team bora ufungwa na team yakawaida . Kwa jana simba hawakuwa na mchezo mzur uwanjan ila wakawa mabingwa tuna mpongeza mtan kwa ilo

Nazan sikuiz mashabik wa yanga wanaujua mpira wanaiyona team yao jinsi ilivyo na wanaiamin na wanaamin walikuwa bora uwanjan lakin fainal inamatokeo yake tu kinacho waumiza n kupoteza ngao na sio kwamba wana timu mbovu ndio maana hausikii kelele zile za mbona kocha hamchezesh flan au mbona kocha kampanga flan wakat flan yupo nje in shot wanawaamin wachezaj wao na usajil uliyofanya

YANGA WANAUMIA KWA KUPOTEZA NGAO LAKIN WANAJIVUNIA KWA KUWA NA TIMU NZURI . ILA NAKUAKIKISHIA YANGA ANGESHINDA JANA KULE KWA NDUGU ZETU KUZINGE KALIKA WASHUKURU MUNGU PENAT ZIMEAMUA WAO KUWA BINGWA NDIO WAMEPATA KICHAKA CHA KUJIFICHIA

ALL IN ALL HONGERA MTANI HII MISIMU MIWIL ULIKUWA KINYONGE SANA ANGALAU SASA UNAONYESHA ATA NYUSO YA FURAHA [emoji28][emoji28]
Herufi kubwa unamuandikia nani mkuu?
 
Viongozi wa Simba mnatuonaje?

Mnadhani mashabiki wote ni maamuma?

Mnatengeneza Zogo la makusudi ili mumtupie lawama Kocha? Awamu hii tumewashika pabaya ama zenu ama Zetu.

Robertinho ni Kocha mzuri ila atafeli kwakuwa anafanya kazi na Viongozi wapumbavu, kama kuna mtu aliona namna Simba ilikuwa inacheza last season atakubaliana na Mimi. Simba ile iliyocheza dhidi ya Waydad AC away huwezi kuniambia ilikuwa inafundishwa na kocha Mzembe, ntakukatalia.

KWANINI SIMBA INAFANYA VIBAYA SAIV?

1. SIMBA HAIKUWA NA PRE SEASON.
Viongozi mnapenda kuzungumzwa na vyombo vya habari. We had a "Fancy" pre season, ila isiyokamilifu. Pre season ya "mafungu mafungu" Team imeenda pre season na wachezaji wachache, wengi kati ya hao wachache sio "regulars".

Chama, Baleke, Malone, Ngoma, Miq, Onana, Kramo na wengine nilio wasahau.
Hawajaanza pre season na wenzao.

Matokeo yake yanaonekana uwanjani saiv.

2. Mnampangia kikosi kocha.
( Miq kuanza leo, inaelezea hili ).

3.Mmesajili wachezaji wa mashabiki sio wachezaji wa kocha.

Tuombee Mungu team ichanganye Mapema, Vinginevyo itatuwia Ugumu.
sasa hiyo Yanga ingrkuwa ni tinu nzuri basi basi ingrshinda jana!

Yanga 2 - Kaizer 0
Yanga2 - Azam 0
Yanga0 - Smba 0 Thrn Simba anachukua ngao ya jamii

Hapo ujue Yanga hamna kitu hapo!
Subiri igi ianze!
 
Ni viongozi ndo wanaomshinikiza kocha awe anakawia kufanya sub pale timu inapolemewa? Na ni hao hao ndo walimwambia Boko akamue dk 80 zote halafu Phiri aingie kupiga penati tu? Na pia huwa wanamwambia ampe nafasi sana Saidoo tena bila kumtoa hata anapovurunda?
 
Ni viongozi ndo wanaomshinikiza kocha awe anakawia kufanya sub pale timu inapolemewa? Na ni hao hao ndo walimwambia Boko akamue dk 80 zote halafu Phiri aingie kupiga penati tu? Na pia huwa wanamwambia ampe nafasi sana Saidoo tena bila kumtoa hata anapovurunda?
Unajua mpira mkuu?
Ukiacha kushabikia kuna jambo lingine uliwahi kulifanya kuhusiana na Mpira?
 
Wabongo sisi ni wajuaji mno.
Mara Chama hivi..........
Miq hivi, phiri .....
Mtu hata team ya darasa hajawahi Fundisha ila mdomo sasa.
Hao wote ulowataja hawapaswi kuwa kwenye kikosi kwanza ni liability.

Mtu kama Bocco yupo Simba sababu kuna watu wanafaidika na uwepo wake
 
Shida ya Tanzania ndio hii kama tff viongozi wanawapingia makocha cha kufanya mambo hayo ni y'a zamani ndio maana Barbara aliweza fanya simba iwe makini alikua haendekezi vishoka
 
Unajua mpira mkuu?
Ukiacha kushabikia kuna jambo lingine uliwahi kulifanya kuhusiana na Mpira?
Mpira ninaujua. Zamani uliitwa gozi, mara tango,n.k...ulikuwa na rangi ya black & white tu ⚽ ila siku hizi una rangi nyingi tofauti tofauti. Kwa ufupi, mpira naujua.
 
Jifarijini tu lakini timu yenu Simba mbovu sana

Katika mechi 2 za Ngao ya hisani mmeshindwa hata kufunga goli Moja ndani ya dakika 90

Jiulize pia katika dkk 90 za ngao ya hisani wapinzani wameshindwa kutufunga hata goli moja.


Usiangalie upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom