Viongozi wa Afrika wanaweza kuwasuluhisha Wazungu wanaopigana?

Viongozi wa Afrika wanaweza kuwasuluhisha Wazungu wanaopigana?

Halafu juzi hapo kuna usi niliusoma ukimnukuu Putin akimshangaa Zelensky kwa kuwasaidia waafrika wakati waafrika ni wavivu.

Sasa sijajua hao maraisi hawakuisikia hiyo habari au wameamua kuipotezea.

Au haikuwa taarifa ya kweli
Nadhani ni kichekesho, tunashindwa kusuluhisha watu wetu tutawaweza Wazungu? Wanatucheka
 
Kuna viongozi wa Afrika wakiongozwa na Ramaphosa wako Ukraine na Urusi kuwaambia waache kupigana, je, ni sawa kufanya hivyo? wataweza? au walipaswa kuanzia na Sudan, Somalia, DR Congo na Ethiopia kabla ya kwenda Ulaya?
Wamekwenda kuomba chakula kutoka Ukraine na kumwambia Putin hasizuie usafirishaji
 
Sasa viongozi wa Africa watatatua migogoro ya wazungu wataweza? Ya kwao yamewashinda, huyo Ramaphosa nchini kwake watu wanapigana risasi hadharani, kwann asi suruhishe kwake kwan??

Umbea na kupenda kuzurura ulaya ndo kinachowapeleka huko.
Wanakera mnoo, mxxxxxiiiiiieeeew
 
Wa ngese tu hao,walishindwa kusimama pamoja na kuzuia NATO kuvamia Libya na kumuua Ghadafi.Wanafki sana hawa.Si wakasuluhishe Somalia huko.
 
Wameshindwa kupambana na umaskini kwenye nchi zao wataweza kumaliza vita ya wazungu
Achana na umaskini mkuu, hawa wameshindwa kupambana na njaa zao pamoja na kuwa ardhi na maji ya kutosha kwenye bara lao.
 
Hii ni sawa na swala kuamulia ugomvi wa chui wanaoparurana makucha na meno. Ni heri Rais wetu hakwenda huko, maana ni safari ambayo CAG angelazimika kuipekuwa.
 
Ngoja niwe mimi tu ninataka kuamini uenda Putin akakubaliana na ombi la Marais wa Africa juu ya Ukraine.
Ile sio vita kati ya Ukraine na Urusi, bali ni vita ya US na UK kwa upande mmoja na URUSI kwa upande mmoja. Viongozi wa Afrika kwenda kwa zeelensky ni kuonyesha kuwa wameenda kujifaragua TU. Mimi ningewasifu kama safari Yao hii ingekuwa kwenda kuonana na Biden/NATO na Putin kuwaambia waache vita. Hata hivyo Mzee Mpili hawezi kumpa ushauri Bakhereza wa namna ya kufanya biashara. Wazungu wanawadharau sana Waafrika ambao wanashindwa hata kuwapa watu wao chakula na maji ya kunywa.
 
Niliona picha jana yaani ni kama mzungu anamwambia leave us alone.
 
Yaani hapo wameshinikizwa tu kwenda huko ili walau waonekane wali against Rusia! Wasuluhishe kwanza
Sudan
Somalia
Congo
Boko Haram

Huu ulikuwa wakati wa Africa kujiimarisha kiuchumi wakati ulaya wanavurugana na Rusia.
 
Yaani hapo wameshinikizwa tu kwenda huko ili walau waonekane wali against Rusia! Wasuluhishe kwanza
Sudan
Somalia
Congo
Boko Haram

Huu ulikuwa wakati wa Africa kujiimarisha kiuchumi wakati ulaya wanavurugana na Rusia.
Kweli kaka huu ndio ule wakati wa Waafrika kuwalisha Wazungu, wahindi na Waarabu na waafrika kulishana na kuuziana wenyewe kwa wenyewe vita ikiisha wanaikuta Africa ikiwa donner countries.

Waafrika badala ya kulia na mbolea kutoka Urusi tuwafundishe watu wetu namna ya kutumia kinyesi Cha binadamu vyooni, samadi na mavi ya kuku vitume kukuzia mazao Yao wazalishe sana ngano, mchele, maharage, shairi, dengu, choroko, strawberry, nk twende tukawalishe Wazungu.
 
Ile sio vita kati ya Ukraine na Urusi, bali ni vita ya US na UK kwa upande mmoja na URUSI kwa upande mmoja. Viongozi wa Afrika kwenda kwa zeelensky ni kuonyesha kuwa wameenda kujifaragua TU. Mimi ningewasifu kama safari Yao hii ingekuwa kwenda kuonana na Biden/NATO na Putin kuwaambia waache vita. Hata hivyo Mzee Mpili hawezi kumpa ushauri Bakhereza wa namna ya kufanya biashara. Wazungu wanawadharau sana Waafrika ambao wanashindwa hata kuwapa watu wao chakula na maji ya kunywa.
No matter how many conspiracy theories you people post, it will never change the absolute, undisputed fact that the war started when Putin cowardly invaded a sovereign country after spending weeks denying an invasion was imminent.

It will also never change the fact that the Germans, Macron and Biden desperately tried to head off the war. From repeated trips or calls to Moscow to extracting assurances from Putin that an invasion wouldn’t happen.

One side started this war. I love Seeing you people vomit blood because the western countries are helping to arm Ukraine to resist their cowardly neighbor
 
No matter how many conspiracy theories you people post, it will never change the absolute, undisputed fact that the war started when Putin cowardly invaded a sovereign country after spending weeks denying an invasion was imminent.

It will also never change the fact that the Germans, Macron and Biden desperately tried to head off the war. From repeated trips or calls to Moscow to extracting assurances from Putin that an invasion wouldn’t happen.

One side started this war. I love Seeing you people vomit blood because the western countries are helping to arm Ukraine to resist their cowardly neighbor
Unaongea ujinga, msikie huyu
 
Ramaphosa anatoa sababu za njaa ya Afrika kama sababu ya kuacha mapigano badala ya maisha ya watu wa Urusi na Ukraine yanayopotea. Hii ni ajabu kabisa.
 
Back
Top Bottom