Salaam, Shalom!
Sintofahamu inaendelea katika vyama vya siasa, wakati huu ni chama cha kijani.
Katibu Mkuu wa chama cha kijani ametoka mbele na kukubali kukaa meza moja na kupata picha ya pamoja na katibu mkuu mwenzie wa chama cha bluu, akaenda mbali zaidi kwa kukemea mauaji ya wananchi yanayofanyika na wasiojulikana, kisha akaagiza vyombo vikomeshe hali hiyo, kwa mbali niliona pressure ya wananchi ikishuka na tabasamu KUREJEA.
Upande wa pili, Mwenyekiti wa chama cha kijani, anatoka kuuambia umma kuwa kifo ni kifo tu, kwamba wananchi wasihamaki ilhali kifo hicho kimetokana na mauaji tena ya mtu kutekwa hadharani na kufungwa pingu kisha kwenda kuuwawa🤔
Sasa swali linakuja,
Je, kati ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama cha Kijani, wananchi wamuelewe nani?
MUNGU ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Sintofahamu inaendelea katika vyama vya siasa, wakati huu ni chama cha kijani.
Katibu Mkuu wa chama cha kijani ametoka mbele na kukubali kukaa meza moja na kupata picha ya pamoja na katibu mkuu mwenzie wa chama cha bluu, akaenda mbali zaidi kwa kukemea mauaji ya wananchi yanayofanyika na wasiojulikana, kisha akaagiza vyombo vikomeshe hali hiyo, kwa mbali niliona pressure ya wananchi ikishuka na tabasamu KUREJEA.
Upande wa pili, Mwenyekiti wa chama cha kijani, anatoka kuuambia umma kuwa kifo ni kifo tu, kwamba wananchi wasihamaki ilhali kifo hicho kimetokana na mauaji tena ya mtu kutekwa hadharani na kufungwa pingu kisha kwenda kuuwawa🤔
Sasa swali linakuja,
Je, kati ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama cha Kijani, wananchi wamuelewe nani?
MUNGU ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏