Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #21
Hata Usa watu wanapigwa risasi,sio sababu ya kuchafua taswira ya taifa letu.Acha porojo. Kuna watu walipigwa risasi 16. Wewe unajua mpaka mtu akimbie nyumba na biashara zake ni mchezo siyo? Tena mwanaume? Shut up.