Uchaguzi 2020 Viongozi wa CHADEMA hatua mlizochukua zitawatia aibu kubwa

Uchaguzi 2020 Viongozi wa CHADEMA hatua mlizochukua zitawatia aibu kubwa

Subiri wawamalize wapinzani next mtakua wa nyumba mmoja kipindi hiki mtaitisha press kabisa kumuita mfalme "mshamba"
 
Kama mmeshindwa kumuhakikishia Lissu ulinzi wake mpaka leo, unataka wafanyeje? unaweza kukaa sehemu usiyo na amani?

Upinzani sio uadui, fungueni akili zenu.
Hawataki tuwe tunapokezana kama usa .
 
Kwani mipango ya kumuu tundu lissu kipindi mlichukua muda gani kupanga? Si tundu lissu alikuwa anazunguka kama kawaida na siku anapigwa risasi alikuwa dodoma katika shughuli za kibunge? Au wewe ambacho kimekuumiza sana ni nini?kuwa amewahi kuondoka kabla ya mipango kukamilika?

Mnapo panic hivi inaleta maswali mengi sana. Maana watu wengi wa aina flani wamekasirika mpaka tunashangaa.mimi nlisema "aaaah....kama anafeel hayupo salama aende aendako" wewe umekasirika sana.
 
SASA MBONA KAMA CCM WANAUMIA ZAIDI CHADEMA NA WENZAO KUKOSEKANA BUNGENI ......NDIO MAANA WANASEMA HAKUNA SIMBA BILA YANGA NA HAKUNA YANGA BILA SIMBA .

RAHA YA BUNGE KUWE NA UPINZANI INAFANYA MIJADALA IWE MIKALI NA HESHIMA INAKUWAKO ....SIONI KINGINE ZAIDI YA KUTENGENEZA DRAMA ILI KUBAKIA RELEVANT
 
Kura ziliibiwa wapi? Mnatengeza clip za uongo kuaminisha watu upuuzi! Kama waliiba si mfungue kesi na sio kwende nje kuwa wakimbizi.
Unatengeneza clip ambayo maaskari polis wakionekana humo kwa utambulisho wa sura na namba zao za kazi. Halafu polis hawa wa kwetu wenye inteligensia kali ya kunasa wakuaje hivi hivi? Kweli akili za mafiem anajua tuzitwist yule bwana anayeitwa Harakaharaka wa pale Lumumba. Kuweni na hata chembe ya iabu basi, kwani hamjaridhika tu na huo wizi wa kura? Mnataka nini zaidi? Sasa kama mtu anaondoka na kukuacha utawale bado kuna shida?
 
Wakati mwingine jaribu kuuhusisha ubingo wako wakati unajiandaa kutoa hoja .Viongozi wa Chadema watapata aibu gani kwa kukimbia nchi. Lema ameshapata kesi ngapi za kubambikiwa katika maisha yake .vyombo vya polisi vinamtendea Lema haki.

Je, Mbowe amevamiwa mara ngapi nyumbani kwake na ushahidi wa video kuwepo bila taasisi zinazohusika kufuatilia matukia haya ya kijambazi .
 
Nikuulize kijana wa kitanzania chagu wa malunde unaweza kuishi kwa amani nyumbani kwa babako wakati huo huo unaambiwa babako anataka kukuchinja?

Otherwise haya maisha ya kuishi nchini mwako huku unaogopa kumtaja hata kwa wema rias wa nchi unadhani uliowahi kuona wapi?

Marais waliopita wao hawakuwa na nguvu kama aliyo nayo huyu?
 
Nikuulize kijana wa kitanzania chagu wa malunde unaweza kuishi kwa amani nyumbani kwa babako wakati huo huo unaambiwa babako anataka kukuchinja?

Otherwise haya maisha ya kuishi nchini mwako huku unaogopa kumtaja hata kwa wema rias wa nchi unadhani uliowahi kuona wapi?

Marais waliopita wao hawakuwa na nguvu kama aliyo nayo huyu?
Unashahidi kuwa kuna mtu kaambiwa atachinjwa? Watu wanamkosoa sana tu JPM ila cha msingi tumia lugha ya staha.
 
Kama mmeshindwa kumuhakikishia Lissu ulinzi wake mpaka leo, unataka wafanyeje? unaweza kukaa sehemu usiyo na amani?

Upinzani sio uadui, fungueni akili zenu.
Wakati anafanya kampeni al8kuwa analindwa na nani?
Mbona palikuwa na walinzi wake na baada ya kampeni wamefutwa kazi?
 
Tena ni manyang'ao pekee wanaweza kumtukuza Jiwe
Ok, Mimi ni Daktari, nasema ivi WATU WALIKUFA KWA COVID-19 na katika Hosp yetu karibu vifo 54 vilitokana na janga hili.



Turudi kwa Mada yako.. Mimi nadhan ni mpumbavu pekee na punguani ambaye atasimama mbele ya watu kusema uchaguzi ulikua huru na haki.


Ni mpumbavu pekee anayeweza jitia upofu kiasi cha kutokuona mauaji, mateso na manyanyaso, wizi wakura ambao umefanyika kipindi hiki.


Mi nadhan ni watu wenye njaa, wajinga na wahuni kama WEWE ndio mnaweza kushupaza shingo kwaajili ya Upumbavu.



#KATAAKATAKATAKUALIJINGA#
 
Mi pia jirani yangu mwalimu kanipa ushuhuda
Mimi nmewarekodi wasimamizi wa uchaguzi zaidi ya 5

Wanakiri haya

1--Kura feki zilikuapo nyumban kwao hata kabla ya uchaguzi

2-ambao hawakua na Kura, iliwalazim kuwapa karatasi zaidi ya 10 kila mpiga kura wa CCM .

3-Mawakala walishudia, na ukileta ujinga unatolewa nje au wanakuitia polisi.
 
Lisu aliambiwa sana na akaripoti hakuna hatua zilizochukuliwa, kapigwa marisasi hakuna hatua zaidi ya kusema aje ahojiwe.
Amekuja na hakuna alomhoji.

Masheitwani wanapeta mitaani na mibunduki kusaka waana wa Mungu
[emoji867]

Unashahidi kuwa kuna mtu kaambiwa atachinjwa? Watu wanamkosoa sana tu JPM ila cha msingi tumia lugha ya staha.
 
Lisu aliambiwa sana na akaripoti hakuna hatua zilizochukuliwa, kapigwa marisasi hakuna hatua zaidi ya kusema aje ahojiwe.
Amekuja na hakuna alomhoji.

Masheitwani wanapeta mitaani na mibunduki kusaka waana wa Mungu
💪
 
Back
Top Bottom