Uchaguzi 2020 Viongozi wa CHADEMA hatua mlizochukua zitawatia aibu kubwa

Uchaguzi 2020 Viongozi wa CHADEMA hatua mlizochukua zitawatia aibu kubwa

Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.

Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?

Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.

Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?

Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?

Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.

Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.

Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Upinzani tanzania haupo kwa maslahi ya taifa ndio maana chadema itafutika. Sasa hivi uongozi umetawanyika utafikiri panya wamesambaratishwa kwenye maficho yao. Kila mmoja anatafuta kuficha aibu ya kushindwa. Walijidai eti wameibiwa kura bwana zao kupitia yule mwanasheria shoga armsterdam kawashauri waandamane. Mara ikabainika hakuna wa kuwaunga mkono maana ni kweli wamepigwa kwenye sanduku la kura.
Kilichobaki ndio hii drama ya ukimbizi kwa mabasi ya umma kuvuka mpaka na kusubiriwa na taxi huku wanasheria wa kigeni wakifurahia dili kubwa kulipwa na mabeberu wenye kuwaongoza wanasesere wa chadema. Baba lao tundu lissu limevamia ubalozi wa ujerumani kulazimisha malazi eti linatishiwa amani wakati limekata anga ya tanzania kwa chopa miezi miwili huku likiwatukana wananchi na rais wao mpendwa. Eti miradi ya maendeleo ni vitu havina maana na vibali vya machinga vimeandaliwa kijinga wakati machinga na mama ntilie hakuna mtu anawabugudhi biashara zao.
 
Maajabu ina maana maumivu yote wanayopitia huyaoni!!???? Au hata ya mdude,nusrat,mawazo na mengine mengu huyajui!!???
Mada kuu haijadili masuala ambayo yapo mahakamani. Tunajadili huu upotoshaji wa kutafuta ukimbizi wa kitapeli.
 
Kama mmeshindwa kumuhakikishia Lissu ulinzi wake mpaka leo, unataka wafanyeje? unaweza kukaa sehemu usiyo na amani?

Upinzani sio uadui, fungueni akili zenu.
Wewe serikali imekuandikia barua ya kukuhakikishia ulinzi? kipindi anazunguka na kufanya kampeni usiku alikuwa amendikiwa barua ya kuhakikishiwa ulinzi? Hoja ya kitoto kweli
 
Kama mmeshindwa kumuhakikishia Lissu ulinzi wake mpaka leo, unataka wafanyeje? unaweza kukaa sehemu usiyo na amani?

Upinzani sio uadui, fungueni akili zenu.
Waende tu kokote wanakotaka kwenda, lakini Tanzania itabaki salama na hakuna wa kuiyumbisha!
 
Kichwa
Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.

Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?

Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.

Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?

Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?

Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.

Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.

Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Wewe kichwa panzi na wenzio msijiganganye kuwa CHADEMA imefeli! Kama una akili za kuvukia barabarani sawa tutakuelewa na kukusamehe kwani nao ni ulemavu.

Ila kila Mtanzania mwenye akili anajuwa kuwa DIKTETA wa CHATO ameiba kura kwa kutumia NEC, POLISI na TISS.

Kwa ufikiri na utathmini kama unatumia kichwa chako vizuri, usije ukawa unaichosha shingo bure
 
Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.

Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?

Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.

Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?

Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?

Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.

Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.

Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Mhe kasema
HAFANYI TENA UTEUZI.

Save Your Energy.

#YNWA
 
Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.

Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?

Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.

Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?

Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?

Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.

Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.

Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.


Wewe na makalio yako upo kijiweni bila kuwa na wasiwasi na maisha yako lakini wenzako vijana kama Lema wana uchungu wa nchi yao na maisha yao wameambiwa yako hatarini na wazalendo ndani ya usalama wa taifa. Wewe badala ya kufiria nchi yetu imefikaje hapa unafikiria Chadema! hawa ndiyo tunaosema misukule
 
Wewe na makalio yako upo kijiweni bila kuwa na wasiwasi na maisha yako lakini wenzako vijana kama Lema wana uchungu wa nchi yao na maisha yao wameambiwa yako hatarini na wazalendo ndani ya usalama wa taifa. Wewe badala ya kufiria nchi yetu imefikaje hapa unafikiria Chadema! hawa ndiyo tunaosema misukule
Nasikia Mbelgiji kakwea pipa? Sasa ka kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona kaondoka kwa amani?
 
Nasikia Mbelgiji kakwea pipa? Sasa ka kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona kaondoka kwa amani?

Ukiukwaji wa haki za binadamu unajua hata maana yake ndugu? vijana wengi maboya siku hizi. Yaani ukitoka kwenye balozi ya ujerumani na kwenda airport na kusafiri ina maana kila kitu poa !!! acheni kuwa misukule na fungueni macho yenu
 
Ukiukwaji wa haki za binadamu unajua hata maana yake ndugu? vijana wengi maboya siku hizi. Yaani ukitoka kwenye balozi ya ujerumani na kwenda airport na kusafiri ina maana kila kitu poa !!! acheni kuwa misukule na fungueni macho yenu
Huna akili we bwege, kama wangetaka kumkamata wangemkata,hujui sheria za kimataifa we fala, ndani ya ubalozi alikuwa na kinga. Huku nje walikuwa wanaweza kufanya lolote kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu
 
Huna akili we bwege, kama wangetaka kumkamata wangemkata,hujui sheria za kimataifa we fala, ndani ya ubalozi alikuwa na kinga. Huku nje walikuwa wanaweza kufanya lolote kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu

Haki za binadamu ni zaidi ya shikashika Lissu hajapigwa risasi? Nani kashikwa mpaka leo? Kesi inaendeleaje mbona alirudi na kesi bado haijaendelea. Tunavyosema kula misukule na vichwa panzi ni hawa. Nchi imefika hapa kwasababu ya vichwa panzi kama hivi
 
Huna akili we bwege, kama wangetaka kumkamata wangemkata,hujui sheria za kimataifa we fala, ndani ya ubalozi alikuwa na kinga. Huku nje walikuwa wanaweza kufanya lolote kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu
Hivi chadema wangekua wamechukua majimbo yote kasoro mawili kwenye uchaguzi, halafu CUF na CCM wakapata kitu kimoja kimoja mngesema CCM waachiwe baadhi ya majimbo ili kuweka balance bungeni?

Chadema tafuteni mlipokosea mtengeneze..... manenomaneno, matusi, uasi, ukimbizi hautamsaidia mtanzania yoyote zaidi ya hao viongozi wenu wabinafsi na wanaojifikiria wenyewe.

Chama mlikinajisi wenyewe kwa kumwita mliyemtuhumu fisadi kugombea urais, tena mbaya zaidi mlimkaribisha baada ya chama chake kumwambia hawawezi kumpa nafasi ya kuongoza dola sababu sio muadilifu.

Nyie sababu ya tamaa zenu za pesa mkamsafisha bila haya ili mshirikiane nae kufisadi nchi.
Hamkujifunza kwa Lowasa 2015........

Na ilipofika 2020 mkakinajisi tena chama kwa kumuweka mgombea mtetezi wa mataifa ya nje asiyejali maslahi ya wananchi. Eti mgombea wenu akaanza kampeni awe mbwembwe huku akiwatukana watanzania wasomi na wasio wasomi hadi maJaji kuwa hawajui kiingereza, eti mkawadharau police na kuwaambia wamechoka na wana hali mbaya, mgombea wenu akawa mjuaji wa kila kitu akamdharau hadi baba wa taifa Nyerere. Kwa kampeni zake hakuna kilichofanyika Tanzania tangu wazungu waondoke.... analazimisha eti hata kwenye reli hakuna kilichofanyika ila reli imejengwa na mjerumani
Juu ya yote akawaahidi waliomtuma hadi kwenye ilani ya chama chenu kwamba akiingia ikulu ataweka madini kama dhamana kwao ili wampe pesa.

Kampeni mwanzo mwisho mgombea wenu alikua akituringishia nguvu ya wazungu, akijidai wakili wake anafuatilia kitu. Watanzania walijiuliza hivi tukimpa kura atatuongoza yeye au atatuongoza kwa amri ya hao mabwana aliowaahidi kuweka mali zetu rehani kwao?

Hivi kweli hadi Karne hii bado kuna wasomi wa Tanzania tunatumia elimu tuliyo nayo kuweka rehani nchi yetu kwa wazungu badala ya kutumia ujuzi na elimu yetu kuvuna rasilimali zetu kwa faida? Tundu amelifedhehesha sana taifa

Hivi mlifikiri watanzania ni wajinga kiasi cha kumchagua mtu kama huyo kuwa rais wa nchi?
Wafuasi wa Tundu ambao ni wachache sana wana mienendo kama ya Tundu.
Tuliwashauri mapema mkawe mawakala ili mkasimamie haki mnayoiimba hapa jf hamkuskia, tena badala yake chama chenj kikatafuta ambao hadi leo hakijawalipa posho zao.

Matokeo yake kila siku mnarudi hapa kulalamika kwamba mmeibiwa kura, hivi hamjisikii aibu kila uchaguzi mnalalamikia tatizo lilelile kama sababu ya kushindwa? Hamuoni kama nyie ni chama kisichoweza kutatua matatizo ya chama wala ya wananchi?

Haya sasa wananchi wamewakataa kwenye kura, wamewakataa kwenye maandamano, wamewakataa kwenye kuigomea serikali....... na hii inaonyesha chama chenu sio cha wananchi bali ni cha viongozi ndio maana mmebaki wenyewe mkihangaika.
Ingekua wananchi wanawapenda kungekua na maandamano yasiyozuilika kama maji ya jangwani kipindi cha mafuriko ila wananchi wana raha na amani tele, hata wale mliowaandaa kwa malipo sasa wanajuta na hawawezi rudia

Kwa tamaa zenu 2015 mliua kile chama tulichokipenda, Ile chadema ya wananchi, chadema iliyokua tumaini la wanyonge, chadema ya Mzee Ndesamburo na Dr Sla na wale viongozi wengine makini. Laana itawaandama kama hamtawaambia wananchi mliwakosea ili muanze upya

Maisha sio rahisi kwa mtanzania yoyote hata kwa Rais, huu ni muda wa kujenga uchumi wetu tuliouharibu na huduma za kijamii kwa maslahi yetu wote. Acheni kulalamika sasa

Mods msidelete
 
Haki za binadamu ni zaidi ya shikashika Lissu hajapigwa risasi? Nani kashikwa mpaka leo? Kesi inaendeleaje mbona alirudi na kesi bado haijaendelea. Tunavyosema kula misukule na vichwa panzi ni hawa
Mhanga mkuu ni Lissu,mbona amekwea pipa? Tulitegemea alianzishe ukweli ujulikane
 
Mada kuu haijadili masuala ambayo yapo mahakamani. Tunajadili huu upotoshaji wa kutafuta ukimbizi wa kitapeli.
Jaribu kufikiria kama ungalikuwa ni wewe!!!!! Mara ya kwanza umefuatiliwa na ukaambiwa utapigwa risasi na baadae ukapigwa!! halafu ijirudie tena!! Chukua tahadhari!!
 
Jaribu kufikiria kama ungalikuwa ni wewe!!!!! Mara ya kwanza umefuatiliwa na ukaambiwa utapigwa risasi na baadae ukapigwa!! halafu ijirudie tena!! Chukua tahadhari!!
Jadili andiko langu kuu,achana na stori zingine.
 
Mimi nafanya shughuli zangu, njoo Segese uone tunavyopambana. Habari za uteuzi ni za kishamba na washamba kama wewe ndio wanazifikiria.
Nyie ndio mnasemaga hivi halafu mnasafirishwa hadi dodoma kwenda kushuhudia mbunge wako anavyoapishwa,,halafu unarudi nyumbani hadi sidiria ya mke wako hujabeba. Sasa kwa nini shemeji asigongwe na masela wa bavicha
 
Back
Top Bottom